Eldoret Messianic United.

Eldoret Messianic United. We're a United Messianic family across the globe,with members across the Messianic divide,,,feel free to share and post any religious items

Blessed day, enjoy your Lord supper and feast of unleavened Bread đź‘‹
04/04/2023

Blessed day, enjoy your Lord supper and feast of unleavened Bread đź‘‹

29/09/2022

**Somo la Oktoba 1, 2022 (Tishrei 6, 5783)**

**ISRAELI SHAHIDI WA BWANA**

**Somo Kuu: Hesabu 23.**

**Fungu La Kukariri: Isaya 43:12.**

1. Je! Hatima ya mwisho ya lsraeli ni gani? Kutoka 19:6.

2. Je, Waisraeli walikusudiwa kuunganishwa na mataifa au watabaki pekee yao? Kumbukumbu la Torati 33:28; Hesabu 23:9.

3. Je, Bwana aliiweka mipaka ya Israeli tangu awali? Kumbukumbu la Torati 32:8; 2 Samweli 7:10.

4. Katika hali ya dhambi, ni nini kingetokea kwa Israeli? Yeremia 30:11.

5. Je, taifa la Israeli lingeangamizwa milele? Yeremia 31:33.

6. Je! Watu wana maoni gani kuhusu Israeli? Yeremia 33:24.

7. Jibu ni gani? Yeremia 31:35-37; 33:25,26.

8. Baada ya kuadhibiwa, ni nini ambacho hatimaye kitawapata Israeli? Yeremia 33:7-9.

9. Ni ahadi gani za Abrahamu zitatimizwa wakati huo katika Israeli? Yeremia 33:14-16.

10. Je! Agano jipya litafanywa na watu gani? Yeremia 31:31-34.

11. Je! Ni mfalme gani atakayetawala juu ya Israeli takatifu? Luka 1:30-33; 22:29,30.

12. Waliokombolewa na Bwana wataingia kwa malango ya mji. Ni majina gani yataandikwa juu ya milango? Ufunuo 21:12; Ezekieli 48:31-35; (Angalia pia Wagalatia 3:29 na Mwanzo 12:3).

29/09/2022

Lesson for October 1, 2022 from Jerusalem 7th Day Church of God

ISRAEL THE LORD’S WITNESS

Scripture Reading: Numbers 23
Memory Verse: Isaiah 43:12

1. What is lsrael’s ultimate destiny? Exodus 19:6.
2. Was Israel destined to become amalgamated with the nations or remain separate? Deuteronomy 33:28; Numbers 23:9
3. Did the Lord pre-ordain Israel’s future territory? Deuteronomy 32:8; 2 Samuel 7:10.
4. In case of sin, what would happen to Israel? Jeremiah 30:11
5. Would Israel finally be destroyed forever?
Jeremiah 31:33
6. What is the opinion of the people regarding
Israel? Jeremiah 33:24
7. What is the answer? Jeremiah 31:35-37;
33:25,26
8. After chastisement what is finally in store forIsrael? Jeremiah 33:7-9
9. What Abrahamic promises will then be fulfilled in Israel? Jeremiah 33:14-16
10. With what people will the new covenant be made? Jeremiah 31:31-34
11. What king will rule over a righteous Israel? Luke 1:30-33; 22:29,30
12. The redeemed of the Lord will enter through the gates into the City. What names will be written above the gates? Revelation 21:12; Ezekiel 48:31-35; (Consider also Galatians 3:29 and Genesis 12:3)

25/09/2022

From the Holy Land, I wish you a happy Jewish New Year 5783! 🍎🍯

Ever since I shared my WhatsApp/iMessage number with you guys, I spoke with so many of you, but I was especially touched today when someone from Lebanon messaged me and was telling me how he used to think that Israel was his enemy, until he researched the history of Israel and begun loving his neighbor Israel.

May this year bring more peace to the Middle East. Feel free to message me at +972 58 707 2163. I love getting to know you. 🤩

10/09/2022

Lesson for September 10, 2022

STEWARDSHIP

As Christ’s disciples, we are called to labor in His service, follow in His footsteps and forsake the world. But He does not ask us to endure hardship to no end. There is a glorious prize to be won through faithful Stewardship, and whatever suffering we endure in this life will be more than compensated in the next.

Scripture Reading: Matthew 19:16-30.

Memory Verse: Revelation 21:4.

1. When Jesus Christ commenced His earthly missionary work, how many men did He
choose to assist Him? Luke 6:13

2. What did he present and expound to them concerning conditions of service? Luke 9:23,24, 25-26; 14:25-27, 33, 12:33.

3. Did they accept the conditions of Jesus? Luke 5:11, 27, 28; Matt. 4:18-22.

4. Did they all accept unanimously? John 6:60, 66.

5. What question did Peter ask Christ? Matt. 19:27.

6. What was Jesus’ response? Vs. 28-30.
7. If we suffer with Him, shall we also reign with Him? 2 Tim. 2:12.

8. Is the human mind able to comprehend what God has in store for those who love Him?
Isa. 64:4; 1 Cor. 2:9.

9. What promises are made to the living and the dead in Christ? 1 Cor. 15:50-53; Isa. 26:19.

Feel free to join our WhatsApp groupFor interactive discussion about religion...
07/09/2022

Feel free to join our WhatsApp group

For interactive discussion about religion...

WhatsApp Group Invite

19/08/2022

Somo La Agosti 20, 2022 (Av 23, 5782)

MAWAIDHA KWA WAUMINI

Somo Kuu: Yohana 12

Fungu La Kukariri: Yohana 12:35.

1. Je, wanafunzi walielewa mambo kadhaa aliyowaambia Mwokozi? Yohana 12:24-31.

2. Je! Ni nini tunafaa tuwe waangalifu katika siku hizi za mwisho? 1 Petro 5:8.

3. Kwa nini Paulo alisema alikuwa na wivu juu ya wafuasi wake? 2 Wakorintho 11:1-3.

4. Ni nini kilichosababisha Anania kutenda dhambi? Matendo ya Mitume 5:3.

5. Tunafaa kuwa na uhusiano wa karibu na waovu? Mithali 23:6, 7.

6. Kwa nini tunahitaji msaada wa Elohim katika vita vyetu dhidi ya dhambi? 2 Wakorintho
10:4, 5.

7. Je, tunahitaji msaada kwa ajili ya sababu nyingine? Waefeso 6:12.

8. Ni kwa nani injili inaweza kuwa imesitirika? 2 Wakorintho 4:3, 4.

9. Ni nani ambao ni mbegu zilizotupwa njiani? Mathayo 13:19.

10. Ni nini inafaa waumini wote wapitie? Waefeso 2:2, 3.

11. Ni kwa nini tuna uwezo wa kushinda mkuu wa ulimwengu huu? 1 Yohana 4:4.

12. Kwa nini tunaambiwa tuthibitishe upendo wetu kwa Mwokozi? 2 Wakorintho 2:8-11.

13. Ni nini muumini anafaa kuangalia katika nyakati zote? Zaburi 19:13, 14.

14. Ni nini inafaa tufanye ili Mwokozi aje kwetu? Ufunuo 3:20.

15. Je, ni hatua ipi nyingine tutachukua? Yakobo 4:6-8.

16. Ni ujumbe upi ulikuwa wa kwanza Mwokozi alihubiri? Mathayo 4:17; Mathayo 10:32.

17. Ni nani hawezi kuwa mwanafunzi wa Yahshua? Luka 14:26, 27, 33

19/08/2022

Lesson for August 20, 2022

ADMONITIONS FOR BELIEVERS

Scripture Reading: John 12.

Memory Verse: John 12:35.

1. Did the disciples understand most of those things told them by the Saviour? John 12:24-
31.

2. What must we watch for in these last days? 1 Peter 5:8.

3. Why did Paul say he was jealous over his followers? 2 Corinthians 11:1-3.

4. What caused Ananias to sin? Acts 5:3.

5. Should we closely associate with the wicked? Proverbs 23:6, 7.

6. Why do we need God’s help in our warfare against sin? 2 Corinthians 10:4,5.

7. Do we need help for another reason? Ephesians 6:12.

8. From whom can the gospel be hidden? 2 Corinthians 4:3, 4.

9. Who are the seed cast by the wayside? Matthew 13:19.

10. What must all Believers pass through? Ephesians 2:2, 3.

11. Why are we able to overcome the prince of this world? 1 John 4:4.

12. Why are we told to confirm our love to the Saviour? 2 Corinthians 2:8-11.

13. What must the Believer constantly watch for? Psalms 19:13,14.

14. What must we do to have the Saviour come to us? Revelation 3:20.

15. What is another step to take? James 4:6-8.

16. What was the first message preached by the Saviour? Matthew 4:17; Matthew 10:32.

17. Who cannot be a disciple? Luke 14:26,27,33

12/08/2022

Somo la Agosti 13, 2022 (Av 16, 5782)

KUKOMBOLEWA KWA MWANADAMU

Somo Kuu: Warumi 5
Fungu La Kukariri: Wagal. 3:15 -18.

1. Tulipokuwa katika hali ya kuanguka
tulikombolewaje? Waefeso. 2: 1; Wagal. 3:13.

2. Je! Hii iliwezekanaje wakati hukumu ya kifo ilipitishwa kwa wanadamu wote? Yohana 3:16; Warumi 5:15.

3. Je, watu wote watajiwakilisha kwa ukombozi huu? Mathayo. 7:13, 14; Luka 13:23, 24.

4. Je, watu wote watapata fursa ya kukubali wokovu huu wa ajabu? 1 Yohana 2: 2; 1 Tim. 2: 3, 4.
Maelezo. - K**a vile sisi ni maskini wa mambo ya kiroho, Yahshua alitukomboa, baada
ya kuwa jamaa yetu kwa njia ya kibinadamu, kwa kumwaga damu Yake ya thamani. Tunaona hii inapatikana kwa kila mtu ambaye alitaka kuwa huru kutoka kwenye mateka ya ulimwengu huu mbaya wa dhambi, Masihi ni mkombozi wa kila mtu. - Wagalatia. 1: 3, 4.

5. Pamoja na ukombozi ni jambo gani lingine Masihi hufanya? Tito 2:12, 14.

Maelezo. Yahshua Masihi hakomboi tu, bali damu yake pia huwatakasa watakatifu
ambao huenenda kwa njia ya unyenyekevu mbele yake.

6. WaMasihi wanapaswa kufanya nini kila wakati ili wakae katika ukombozi na kuwa safi?
Ayubu 11:14, 15; Luka 11: 4; Zab. 34:18.

7. Mtume Paulo aliuliza nini kwa WaMasihi walioishi Korintho? 2 Wakor. 7: 9-10.

8. Ni kweli kwamba ukombozi ni zawadi ya bure kutoka kwa Elohim. - Waefeso. 2: 4-7.

9. Paulo alimtukuzaje Elohim kwa upendo uliotolewa bure wakati alipokuwa mwenye
dhambi? 1 Tim. 1: 14-18.

Maelezo. - Ukombozi huathiri mtu aliyeanguka. Ukombozi humuinua mtu kwa kiwango cha juu ambapo anaweza kufahamu upendo wa ajabu wa Elohim. Ili kuthibitisha kuwa mtu huyo anapokea ukombozi uliotolewa, anabatizwa katika maji, akawa kiumbe kipya
katika Masihi Yahshua, akiendelea kutafuta mambo yaliyo juu.

05/08/2022

Somo La Agosti 6, 2022 (Av 9, 5782)

KUJIFANANISHA NA ULIMWENGU

Somo Kuu: Waefeso 2:1-22

Fungu La Kukariri: Warumi 12:2

1. Je, ni ushauri mzuri ambao kila MMasihi anafaa kutii wakati wote? 1 Yohana 2:15-17.

2. Lengo katika maisha ya MMasihi ni lipi? Wakolosai 3:1-3

3. Ni mfano upi wa Agano la kale wa kuipenda dunia tumepewa ambao ulikuwa wa umuhimu mkubwa kwa wana wa Israeli, lakini Elohim aliulaani? Isaya 2:6-8.

4. Jinsi gani Yakobo anaeleza umuhimu wa kujitenganisha na dunia? Yakobo 1:27; 4:4-6.

5. Ni hatua gani ya mwisho Shetani alifanya kumjaribu Yahshua nyikani? Mathayo 4:8, 9.

6. Ni hamu gani ilisababisha Israeli kupotoka katika siku za Samweli? 1 Samweli 8:5-7.

7. Ni jinsi gani mawaidha ya Petro yanakubaliana na mtazamo wa kisasa kwa wanawake “huru”? 1 Petro 3:1-6. Na wanaume nao je? Mistari 7, 8.

8. Ni nini MMasihi wa kweli anafaa kuzingatia kwa wakati wote? Warumi 14:7, 21; 1Wakorintho 8:13.

9. Ni mawaidha gani mazuri, Petro anatupea ambayo tunapaswa kufikiri chochote
tutafanya au popote tutaenda? 1 Petro 2:9, 10.

10. Wakati Petro alipendekeza mambo ambayo yalikuwa kinyume na mapenzi ya Elohim, Yahshua alimwambia nini? Mathayo 16:21-23.

11. Wale ambao wako na Roho Mtakatifu,
watakuwa na ushirika kwa maovu? Waefeso 5:8-12.

12. Je, neema ya Elohim inatufundisha nini? Tito 2:11-13.

29/07/2022

Somo la Julai 30, 2022 (Av 2, 5782)

IBADA NA KUTAKASWA

Somo Kuu: 1 Petro 1:1-25.

Fungu La Kukariri: 1 Petro 2:23.

1. Je, Elohim anatarajia watu Wake watoe dhabihu kwa ajili ya huduma Yake katika enzi hii? Warumi 12:1.

2. Je, Bwana alitoa amri kwa Walawi kupitia Hezekia? Amri hii ilikuwa gani? 2 Mambo ya
Nyakati 29:5-11.

3. Je! Mtazamo wao ulikuwa upi kuelekea mwito huu wa huduma? 2 Mambo ya Nyakati
29:15-19.

4. Je, Walawi walijitakasa kwa Elohim? 2 Mambo ya Nyakati 29:30-32.

5. Je, maombi yao yaliathiriwa na kujitakasa huku? 2 Mambo ya Nyakati 30:27.

6. Jinsi gani tunapaswa kumtukuza Baba yetu wa Mbinguni? 1 Wakorintho 6:20

7. Bwana aliahidi nini kingeingia na kudumu ndani yetu, baada ya miili yetu kusafishwa na
kuwa huru kutokana na dhambi? 2 Wakorintho 6:19.

8. Je! Paulo alisema nini kuhusu mwili wake? Wafilipi 1:20.

9. Je! Kujitakasa huku kwa Masihi Yahshua kulimwongoza kufanya nini? Wafilipi 2:5-8.

10. Je! Kila mtu aliye wa Masihi anafaa kuwa na nini? Warumi 8:9.

11. Tunapojitakasa kikamilifu, je, tutakubali huo mwito? Isaya 6:8.

12. Je, maisha ya Masihi yalikuwa ya utumishi? Mathayo 20:27, 28; Luka 22:27.

13. Utakaso na kuwekwa wakfu hukamilishwaje? Warumi 15:16; Yohana 17:17, 18 .

14. Je, itakuwa kamili? 1 Wathesalonike 5:23.

Address

Eldoret

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Eldoret Messianic United. posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Place Of Worship

Send a message to Eldoret Messianic United.:

Share