Alvin Wafula

Alvin Wafula I came from Bungoma county,sirisia Division, Namwela location,Ng'oli village.

Licha ya kuoga na kujipuliza marashi, Baadhi ya watu bado hukumbwa na hali ya kutokwa na harufu mbaya mwilini:Nini haswa...
05/05/2026

Licha ya kuoga na kujipuliza marashi, Baadhi ya watu bado hukumbwa na hali ya kutokwa na harufu mbaya mwilini:Nini haswa kinachosababisha hili?

Waefeso 5:2 Muishi maisha ya upendo k**a Kristo alivyotupenda sisi akajitoa kwa ajili yetu kuwa sadaka yenye harufu nzuri na dhabihu kwa Mungu.

Yosefu alimkataa mke wa Potifa — akapoteza kazi lakini akahifadhi hatima yake.   Watu wengi leo wanakubali ‘kula tendo’ ...
05/05/2026

Yosefu alimkataa mke wa Potifa — akapoteza kazi lakini akahifadhi hatima yake.

Watu wengi leo wanakubali ‘kula tendo’ ili biashara iende, au kulala kwa boss ili apandishwe cheo.

Lakini ukweli ni huu: Ukiuza utakatifu wako, umenunua umasikini wa milele.

Mapenzi halisi hayakupi faida ya haraka. Yanakujenga.

Biashara halali haikupandishi leo, lakini haikushushi kesho.

Mhubiri 12:1 — _“Mkumbuke Muumba wako…”_ hata kwenye biashara, hata kwenye mapenzi.

Umejaribiwa kuchagua kati ya pesa na utakatifu? Tushirikishe 👇 Au comment ‘MUNGU KWANZA’ k**a umesimama na ukweli.

03/05/2026

congratulations �

Stellah lyn i love you my beloved 💕😍💕. Feel loved.
27/10/2025

Stellah lyn i love you my beloved 💕😍💕. Feel loved.

11/10/2025

God’s blessings are always bestowed upon those who yearn for the truth.

11/10/2025

Revelation 3:3 “If therefore you shall not watch, I will come on you as a thief, and you shall not know what hour I will come on you”

Revelation 16:15 “Behold, I come as a thief”

The Lord also said many times He’d return “as a thief.” So what does this “as a thief” mean?

Good morning my dear friends ❤️
11/10/2025

Good morning my dear friends ❤️

MOTO WA BWANA UVUNJE KILA UCHAWI JUU YAKO! 🔥Kila uchawi uliofanywa juu yako – iwe ni kwa ajili ya kuharibu mahusiano, bi...
12/09/2025

MOTO WA BWANA UVUNJE KILA UCHAWI JUU YAKO! 🔥

Kila uchawi uliofanywa juu yako – iwe ni kwa ajili ya kuharibu mahusiano, biashara, au ndoto zako – leo unafutwa kwa jina la Yesu! Umewahi jiuliza kwa nini:

Kila wiki lazima mgombane na mpenzi wako bila sababu ya msingi?

Mahusiano yako huishia tu bila kueleweka?

Biashara ulianza vizuri, wateja walikuwepo, lakini sasa kimya?

Kazi unafanya kwa bidii, lakini hakuna mafanikio?

Kumbe kuna mtu alikuwekea vizuizi vya kiroho! Lakini leo, kwa jina la Yesu, moto wa Bwana unaanza kuteketeza kila kazi ya giza!

💥 Kila kifungo cha kiroho kinavunjika sasa.
💥 Kila mipango mibaya juu yako inasambaratishwa.
💥 Kila laana ya kushindwa inageuzwa kuwa baraka.Kwa jina la Yesu kristo.

K**a unaamini andika “Amina”

Habari za asubuhi marafiki zangu 👋. Baraka ya kwanza ni kuamka na kumshukuru Mungu kwa maombi.Zaburi - Mlango 4:11 Ee Mu...
12/09/2025

Habari za asubuhi marafiki zangu 👋. Baraka ya kwanza ni kuamka na kumshukuru Mungu kwa maombi.

Zaburi - Mlango 4:1

1 Ee Mungu wa haki yangu, uniitikie niitapo; Umenifanyizia nafasi wakati wa shida; Unifadhili na kuisikia sala yangu.

Unapo amka na kumuomba Mungu atasikia maombi yako na kukutendea yaliyo mema yenye haki na siku yako itakuwa ya baraka.

Good morning my friends!K**a umeamka salama tusalimiane 👋
11/09/2025

Good morning my friends!K**a umeamka salama tusalimiane 👋

Address

Namwela
Bungoma

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Alvin Wafula posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Place Of Worship

Send a message to Alvin Wafula:

Share