Gospel singer NAOMI Andrew

Gospel singer NAOMI Andrew Gospel Singer NAOMI Andrew

31/08/2024
    SAUTI YA BWANA : Mtunzi Samuel Mwabolwa Owner :SLVNaomi ERASTUS ANDREW: Cover πŸ‘‰SAUTI YA BWANASauti ya BWANA inaita e...
02/09/2022



SAUTI YA BWANA : Mtunzi Samuel Mwabolwa
Owner :SLV
Naomi ERASTUS ANDREW: Cover πŸ‘‰SAUTI YA BWANA

Sauti ya BWANA inaita ewe mwenye dhambi
Mgeukie BWANA achana na dunia Γ—2

Usitangetange na dunia hii
Ambayo mwisho wake ni jehanamu
YESU anasema Njooni kwangu
Na mimi leo tawampuzisha Γ—2

BWANA YESU ndiye njia pekee
Ya kwenda kwa BABA
Uumwamini leo hii atakuokoa

Oh BWANA YESU ndiye njia pekee
Ya kwenda MBINGUNI
Uumwamini leo atakuokoa

Usitangetange na dunia hii
Ambayo mwisho wake ni jehanamu
YESU anasema Njooni kwangu
Na mimi leo tawapumnzisha

   .HUU WIMBO UNAKUJA . ULIKUWA WA SLV NA MTUNZI WA WIMBO HUU NI BABA YANGU MZAZI MCHUNGAJI ANDREW Faith Word   . Mpigaj...
31/08/2022

.
HUU WIMBO UNAKUJA . ULIKUWA WA SLV NA MTUNZI WA WIMBO HUU NI BABA YANGU MZAZI MCHUNGAJI ANDREW Faith Word . Mpigaji wa keyboard amenifurahisha sana huyu Mzungu ameupiga kina namna ya tofauti na jinsi ulivyo pingwa
1987 Kenya πŸ‡°πŸ‡ͺ wakati tukiimba Live katika VOK na SLV . Ninaimba cover ya wimbo . Mtunzi ni Baba yangu Mzazi aliutunga mwaka 1986

WIMBO WENYEWE .... NIYA YANGU

Kwa sauti yangu nitamlilia BWANA
Kwa sauti yangu nitamuomba BWANA dua
Nitafunua mbele zake , malalamiko yangu Γ—2

Nia yangu NENO liendelee
Nia yangu watu waokolewe
Wateule wote wawe imara
MUNGU BABA ponya Taifa letu Γ—2

Nia yangu nitaitangaza mbele zake
Kwani azijua njia na mapito yangu
Asikiliza kilio zangu
Ananilinda mimi . Γ—2

Nia yangu NENO liendelee
Nia yangu watu waokolewe
Wateule wote wawe imara
MUNGU BABA ponya Taifa letu Γ—2

"Hata mimi napenda kutembea kwenye barabara za dhahabu. Napenda kushuhudia Utawala wa Haki YESU akiongoza na Fimbo ya ch...
29/08/2022

"Hata mimi napenda kutembea kwenye barabara za dhahabu. Napenda kushuhudia Utawala wa Haki YESU akiongoza na Fimbo ya chuma . " Wimbo by NAOMI ERASTUS ANDREW
Tarajia kubarikiwa na nyimbo za injili katika ukurasa huu . Endelea kuzisubiri zinakuja ZIKIWA TAYARI KUONEKANA

Great people like this, the enemies of our salvation hates them,it's just for them to stand strong and together moves hi...
22/08/2022

Great people like this, the enemies of our salvation hates them,it's just for them to stand strong and together moves higherπŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

Maandalizi ya nyimbo za Injili yanakwenda vizuri mwaka 2023 ni mwaka wa mwanza wa kuianzisha huduma hii ya UIMBAJI ambay...
22/08/2022

Maandalizi ya nyimbo za Injili yanakwenda vizuri mwaka 2023 ni mwaka wa mwanza wa kuianzisha huduma hii ya UIMBAJI ambayo imewekwa na MUNGU maishani mwangu tangu kuzaliwa. Tukiwa katika kugonja maadalizi haya yakamilike yatachukua muda mrefu sana ila 2023 katikati tarajia kubarikiwa kwa kushuhudia kila kilichowekwa wakfu mbele za MUNGU ili kuwaleta wengi kwa YESU

Hivi account ire ya awali ya fb uliifunga mana sipati habari mupya kupitia account ileHivi account ire ya awali ya fb ul...
19/08/2022

Hivi account ire ya awali ya fb uliifunga mana sipati habari mupya kupitia account ile

Hivi account ire ya awali ya fb uliifunga mana sipati habari mupya kupitia account ile

Ashery Naftary
Facebook Accounts zangu zote zimekuwa disabled . Ile ya Watu laki 3 na 49 elfu Group la ndoa kuna Post nilituma ya ndoa ambayo imegusa wengi cha kushangaza kuna third party aliye au walio report Post hiyo nikawekewa restrictions kwa siku 30 . Lawyer wangu akapambana maana hiyo Post haikuwa na tatizo lo lote . Lakini wakajitokeza tena wengine hao wa awali nadhani ni kundi la watu liko Tanzania πŸ‡ΉπŸ‡Ώ au Kenya πŸ‡°πŸ‡ͺ kati ya nchi hizo mbili ila hasa Tanzania waka report Post nyingine tena kwenye Facebook Account yangu yenye Followers 49,899 restrictions zikaongezwa jumlisha tishio la kufungiwa . Lawyer akatoa pingqmizi restrictions ikapunguzwa masaa 24 hiyo ilikuwa July 17 kuelekea July 18 . Na ukiwekewa restrictions huwezi kufanya lo lote kwenye Facebook Accounts zako zote . Nikiwa katika kusubiri mara hao hao third party waka report Post ambayo niliituma mwaka 2019 katika Page yangu yenye Followers 10,763 TENDO NDOA , sijakaa sawa restrictions nyingine kutoka kwenye Page YESU ANAWEZA YOTE yenye Followers 20,978 ndipo Facebook Accounts zangu zote zikawa disabled uki search huwezi kuzipata maana zimeondolewa kabisa . Bado pambano la kuzirudisha linaendelea ndio ujue roho ya Kaini ya wivu ipo duniani inatenda kazi

Asante sana kwa ku follow Page hii , maadalizi bado yanaendelea yatachukua muda mrefu , yakikamilika nyimbo zangu zitaon...
18/08/2022

Asante sana kwa ku follow Page hii , maadalizi bado yanaendelea yatachukua muda mrefu , yakikamilika nyimbo zangu zitaonekana briefly hapa na kutakuwa na link ya YouTube ili uweze ku subscribe na Spotify na i Tune ambapo utaweza kuupakua wimbo wangu wo wote unao upenda πŸ™

Hii ni PAGE kwa ajili ya kutambulika huduma yangu ya UIMBAJI. Video za nyimbo zangu zikiwa tayari zitaonekana kwenye UKU...
11/08/2022

Hii ni PAGE kwa ajili ya kutambulika huduma yangu ya UIMBAJI. Video za nyimbo zangu zikiwa tayari zitaonekana kwenye UKURASA HUU

Address

26 Moray Road
London
N43LG

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Gospel singer NAOMI Andrew posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Place Of Worship

Send a message to Gospel singer NAOMI Andrew:

Share