13/11/2025
Jambo ndugu mupendwa,
Karibu kwa kanisa la CBCA HIMBI 1 kufwata somo za juma la ubatizo
Somo :
Magumu ya maisha yasi sukumu mutu kutafuta musaada inje ya Yesu Kristo.
Muhubiri : Rd Gilbert MAYAO
Kuanziya leo mupaka samedi, tuna fwata somo za asubui na mangaribi...
Ibada ya ubatizo :
📆 Dimanche 16 Novembre 2025✋
🕑 De 08h00 à 12h30
📍 Paroisse CBCA HIMBI 1
Karibu kwa wote !