26/01/2025
Tarehe 26/01/2025
Orateur: Rév. Past. Boniface WATUTA
Usomi : 2 WAFALME 4 :1-7
YOHANA 6 :1-14
Somo : KUKUWA NA KITUO CHA
MAKIMBILIO
Mtu mwenye taabu (shida, magumu, matatizo,... ) ni sherti ajuwe wapi ataweza Kimbiliya kusudi apate majibu ao suluhisho ya shida zake.
Mwanamuke mujane ambaye aliachiwa madeni na mume wake [mumoja wa wana wa manabii] aliye kufa, alijuwa k**a Nabii Elisha anaweza kumusaidiya kwa kulipa île madeni akimuendeya.
Yesu Kristo wakati alikuwa akifundisha makutano ya maelfu ya watu, na ilipofika magaribu watu walichoka na kuona njaa. Alafu ilibidi wapate chakula.
Andrea, mumoja wa wanafunzi aligundua y'a kwamba ndani ya mukutano ya maelfu ya watu muna kijana mumoja anaye kuwa na samaki 2 na mikate 5, na kwa kuwa Yesu Kristo iko pamoja nao ni sherti wamuendeye huyu kijana.
Hata unawaza kuwa mtoto mudogo lakini una samaki 2 na mikate 5, utasaidiya mukutano ao taifa ya watu wengi haijalishi k**a ingekuwa na wakubwa ambo hawana kitu chochote cha kubaribi watu wanao kuja kwao wakiitaji kupata kitu kutoka kwa.
Kwa kufuata mafunuo makubwa kuhusu samaki 2 na mikate 5; fungua link hii hapa chini👇 na utabarikiwa zaidi.
https://www.facebook.com/100077350956292/videos/964340628539225/?app=fbl
Unaweza unga mukono kazi hii kwa njiya ya muchango ya pesa, kutuma sadaka ao kwa shauri ama musaada wa maombi kwa njiya zifuatazo:
📲:+243997716295 (Airtel money)
🏦: 5579 : COOPEC CAHI RDC
📩:[email protected]
Usisahau ku like, ku subscribe na ku share kwa wengine ili tubarikiwe sote pamoja.
Asante na Mungu akubariki.