Idara ya Uinjilisti, Upandaji Makanisa Dayosisi ya Dar es salaam

  • Home
  • Idara ya Uinjilisti, Upandaji Makanisa Dayosisi ya Dar es salaam

Idara ya Uinjilisti, Upandaji Makanisa Dayosisi ya Dar es salaam Tupo kufikisha elimu kwa jamii na kuonesha kanisa letu lilivyo sogea na kuwafikia wengi zaid ya makanisa mengi kujengwa

Mkurugenzi wa Idara ya Uinjilisti kanisa Anglikana Dayosisi ya Dar es salaam Padre Thomasi Mwayela akiwasimika viongozi ...
21/08/2019

Mkurugenzi wa Idara ya Uinjilisti kanisa Anglikana Dayosisi ya Dar es salaam Padre Thomasi Mwayela akiwasimika viongozi wa Achidikonari[Kanda] ya Ilala na Kinondoni pamoja na Viongozi wa wake wa wainjilisti tukio lililofanyika katika kanisa la Mtakatifu Nikolao lililopo Ilala tarehe 14/8/2019.

Miono ni Moja kati ya makanisa yaliyojengwa kwenye wiki ya Uinjilisti mwaka 2018-2019.Maono Tuliojiwekea mwaka 2019-2020...
17/08/2019

Miono ni Moja kati ya makanisa yaliyojengwa kwenye wiki ya Uinjilisti mwaka 2018-2019.
Maono Tuliojiwekea mwaka 2019-2020 k**a yafuatayo:-
Kununua maeneo au viwanja kwa ajili ya kujenga makanisa.
2:Kujenga makanisa ambayo hatukufanikiwa kujenga mwakajana.
3: kufungua makanisa mapya.
4: kuimarisha makanisa yaliyojengwa mwakajana.

Address

Dar Es Salaam

Telephone

+255754275729

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Idara ya Uinjilisti, Upandaji Makanisa Dayosisi ya Dar es salaam posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

  • Want your place of worship to be the top-listed Place Of Worship?

Share