22/08/2025
TUSILAUMIANE BAADAE
1. Kila uliyenikana na kunikimbia wakati wa hatari niliposimamia cha Mungu kuizaa TANZANIA MPYA na yote uliyosema yakanifikia, miezi michache ijayo USINILAUMU NA MIMI NIKIKUKANA NA HATA KUBLOCK NAMBA YAKO KABISA, maana wewe si rafiki, si ndugu, ULIAMUA KUJIPONYA NAFSI YAKO na kunitoa sadaka mimi mbele ya KUSUDI HILI LA KUIZAA TANZANIA MPYA ALILOKUSUDIA MUNGU 2025
2. Wale mitume, manabii wa uongo mliokaa vikao kinyume changu, na kuungana na wadhalimu kinyume changu na MAPENZI YA MUNGU kwenye taifa letu, JIANDAENI NA NINYI KUZAMA UDHALIMU UTAKAPOZAMA! Mmeibia wananchi hatukuwagusa, lakini sasa mmehusika kwenye uharibifu wa taifa, SHERIA HAITAWAACHA HURU! THE PAY BACK IS COMING IN LESS THAN 100 DAYS, MTAJIONEA WAZI KWAMBA KUKWEPA KUSIMAMA NA HAKI HAUKUWA UJANJA ILIKUWA KABURI LENU
3. Mtu mmoja mmoja ambaye ulijitolea KUNITISHA, KUNIINUKIA, KUNIITA MBELE YA CHOMBO CHOCHOTE ISIVYO HAKI ILI UNINYAMAZISHE NISISEME MUNGU ALIYOTAKA KWENYE NCHI HII KWA UNABII, JIANDAE NA WEWE ZAMU YAKO INAKUJA, YOU PAYBACK IS VERY CLOSE... TOKENI HARAKA MTUBU TOKENI HARAKA MSEME MAKOSA YENU TOKENI MAPEMA MUUNGANE NA WANANCHI TUSILAUMIANE BAADAE MSIPOTII SASA
Bishop Dickson Cornel Kabigumila 21.08.2025
✍️