23/05/2021
Mungu awabariki sana wapendwa wetu waliojitoa kumpokea Mungu kwa njia ya ubatizo katika sabato ya ujirani mwema tar 08/05/2021 na kubatizwa tar 15 /05/2021 na jana 22/05/2021 kanisa liliwapokea na kupata walezi wa kiroho Mungu awatangulie wanapoianza safari mpya