19/01/2026
21 DAYS OF PRAYER AND FASTING DAY 1.
MAOMBI YA KUOMBA.
1: Omba Toba kwa kutokumwamini Mungu; pengine uliwahi kupitia au unapitia jambo furani gumu na ukawaza moyoni vibaya kwamba je? Mungu yupo kweli k**a angekuepo ningepitiaje hili jambo, kuwaza hivyo ni uovu mbele za Mungu, 11:6, 1:22
2: Omba Mungu akuongezee viwango vya Imani. Fahamu Imani tu ndio inaweza kukufanya kuwa rafiki wa Mungu; 17:5; 9:24; 2:23
3: Mungu akutie mafuta, katika kuomba kutiwa mafuta viko viwango vitatu vya mafuta omba vyote.
KIWANGO CHA KWANZA: Kiwango cha kuandaliwa 16:1-13 kitakupeleka kujaribiwa au kwenye darasa la kuliishi kusudi
KIWANGO CHA PILI
Viwango vya kuanza kuliishi kusudi, mafuta haya yatafanya uaminiwe katika eneo dogo na kuwa na matokeo madogo 15:22/28
KIWANGO CHA TATU; Mafuta ya kuthibitishwa, haya ni mafuta yatakayokufanya uwe yule uliyekusudiwa na Mungu; utimize kusudi 5:3
4: omba ujasiri wa kusema sawa sawa na Imani. Matendo 4:20
Pastor Jerry Nkinda RBCT Church
focus on your calling