27/05/2026
IBADA YA KUFUNGA NA KUOMBA SIKU YA 27 TAREHE 27.5.2026 EFATHA SAME
MAOMBI: Wafilipi 4 6
1.Muombe Mungu huduma yako ikawe ushuhuda na barua ya kusomeka vyema mbele za Mungu; uwe kivuitie kwa wengi kumjua Yesu bila hata kuwashuhudia.
2. Mwambie Mungu asante kwa ile milango iliyofunguliwa kwangu ndani ya mwezi huu na ile anayo endelea kuifungua kwako.
3. Shuhulikia Roho ya bahari(marine spirit) ni roho za majini mapepo wabaya ... Unakuta mtu ameokoka ila haoi aolewi na kaoa au kuolewa ndoa inasumbua au kuvunjika , kazi, uchumi, biashara vinayumba na huelewi chanzo, mwingine ana mume au mke wa kiroho kwahiyo damu na nyama kila kitu kwake kinakwama na aelewi tatizo lilipo usipo jua ni roho ipi inakutesa utateseka sana haribu roho za bahari majini mahaba , wanaume na wanawake wa kipepo wanaokujia kuharibu ibada yako na Mungu kuua ustawi n.k
4. Shuhulikia kila mfumo wa kishetani uliowekwa kati yako na Mungu unao ua ibada ya ndani na mfumo wa kuabudu kati yako na Mungu
5. Tapika, tema, ondoa kila mahali walipo weka sumu zao juu yako sumu za kichawi , kipepi, sumu za nyoka n.k kuua mamlaka au hatma yako, nguvu ya Mungu kwako
©️MCHUNGAJI RACHEL SUSULE