Ev. Gervas Joachim.

Ev. Gervas Joachim. Kuyafunua Mapenzi ya Mungu Duniani.

FANYIA KAZI MAAGIZO YA YESU. Mathayo 28:16Na wale wanafunzi kumi na mmoja wakaenda Galilaya mpaka mlima ule aliowaagiza ...
19/11/2025

FANYIA KAZI MAAGIZO YA YESU.

Mathayo 28:16
Na wale wanafunzi kumi na mmoja wakaenda Galilaya mpaka mlima ule aliowaagiza Yesu.
Then the eleven disciples went away into Galilee, into a mountain where Jesus had appointed them.

Pamoja na kuwa kulikuwa na milima mingi Galilaya lakini wanafunzi walitii maagizo ya Yesu na kwenda kwenye mlima ambao Yesu aliwaagiza, ndipo walipo muona Yesu sasa mstari wa 17
Mathayo 28:17 a-b
Nao walipomwona, walimsujudia;

Mungu hamuagizi wala kumuokoa mtu bila kumpa maagizo.
Kuomba Mungu ujue mapenzi yake kwako ni kitu bora sana utawahi kuomba.
Mtu yeyote ambaye hafanyi maagizi ya Mungu, hugeuka na kuwa adui wa Mungu.
Baraka za Mungu zina conditions.
Tusishike maagizo ya Mungu kwa kutegea bali tushike milele.

MAOMBI. Mathew 7:7-11.7. Ombeni, nanyi mtapewa; tafuteni, nanyi mtaona; bisheni, nanyi mtafunguliwa; 8. kwa maana kila a...
09/11/2025

MAOMBI.

Mathew 7:7-11.
7. Ombeni, nanyi mtapewa; tafuteni, nanyi mtaona; bisheni, nanyi mtafunguliwa;
8. kwa maana kila aombaye hupokea; naye atafutaye huona; naye abishaye atafunguliwa.
9. Au kuna mtu yupi kwenu, ambaye, mwanawe akimwomba mkate, atampa jiwe?
10. Au akiomba samaki, atampa nyoka?
11.Basi ikiwa ninyi, mlio waovu, mnajua kuwapa watoto wenu vipawa vyema, je! Si zaidi sana Baba yenu aliye mbinguni atawapa mema wao wamwombao?

1. Mungu anajibu maombi
2. We need to pray in this year of Glory.
3. Hatufanikiwi kwa bidii tu bali na kwa maombi.
4. Praying for your own business.
5. Praying for the world at large.

Maombi ni kumueleza Mungu haja za mioyo yetu na kutegemea msaada wake.

Maombi ni kujenga hoja mbele za Mungu.

๐Ÿ’ฅ Mungu ameahidi kuwa sikio lake sio zito hivyo hawezi shindwa kukusikiliza au kukusikia.

๐Ÿ“ŒIkitokea mtu haombi! Atapoteza haki zake za msingi.
๐Ÿ“ŒMungu hajibu hisia anajibu maombi.
(I receive the Spirit of Interceding)
๐Ÿ“Œ Utumishi sio cheo, ni wajibu.
๐Ÿ“Œ Jenga hoja kwa Mungu, usilie.
๐Ÿ“Œ Usikate tamaa, Mungu anapindua meza.

๐ŸŽตRehema Simfukwe - Anajibu Maombi.

Isaya 43:26
Unikumbushe, na tuhojiane; eleza mambo yako, upate kupewa haki yako.
Put me in remembrance: let us plead together: declare thou, that thou mayest be justified.

1 Petro 5:7
Huku mkimtwika yeye fadhaa zenu zote, kwa maana yeye hujishughulisha sana kwa mambo yenu.
Casting all your care upon him; for he careth for you.

Wafilipi 4:6
Msijisumbue kwa neno lo lote; bali katika kila neno kwa kusali na kuomba, pamoja na kushukuru, haja zenu na zijulikane na Mungu.
Be careful for nothing; but in every thing by prayer and supplication with thanksgiving let your requests be made known unto God.

1 Yohana 5:14-15
14. Na huu ndio ujasiri tulio nao kwake, ya kuwa, tukiomba kitu sawasawa na mapenzi yake, atusikia.
15. Na k**a tukijua kwamba atusikia, tuombacho chote, twajua kwamba tunazo zile haja tulizomwomba.

RECAP YA IBADA YA IJUMAA (HQ) by EV. GERVAS MLEFU.1. Shule wanaoenda ni wengi lakini wanaoelimika ni wachache.2. Unaweza...
08/11/2025

RECAP YA IBADA YA IJUMAA (HQ) by EV. GERVAS MLEFU.

1. Shule wanaoenda ni wengi lakini wanaoelimika ni wachache.

2. Unaweza kushindana na msema kweli na ukashinda lakini huwezi ukashindana na ukweli ukashinda. (Wokovu ni kweli ya Mungu aliyoleta Yesu Kristo). Ukweli unatabia ya kunyamaza pale uwongo unapotamalaki. Utaweza mshinda msema kweli lakini si kushinda dhidi ya Ukweli. Mfano; Yesu walimpinga sana alipowaambia kuwa ndani ya siku tatu atalijenga hekalu watakalolibomoa, na walioshindana nae ndio waliokuwa wa kwanza kuficha kufufuka kwake, wakalipa watu waseme mwili wake umeibwa ๐Ÿ™Œ.

3. Heri kuambiwa ukweli utakaokuumiza kuliko uongo utakaokumaliza.

4. Jikumbushe kuwa bado unathamani hata pale dunia inapokukataa.

5. Yaseme mapenzi ya Mungu kila wakati, sema neno la Mungu na Kili kile unachokiamini huku ukilisema neno la Mungu vile linapaswa kusemwa bila kujiangalia vile ulivyo.

6. Tunapoonekana kushindwa ndipo tunapoandaliwa kushinda. Macho ya kibanadamu hayaoneshi maandalizi ya ushindi wa kiroho. Mfano, Yesu alipigwa, kejeliwa, tukanwa lakini ndipo yeye akasema yote yamekwisha.

Mungu awatunze kazi unayo ifanya ni njema sana mmekuwa baraka sana kwenye kazi yake MunguKuna muda natafakali mengi sana...
05/08/2025

Mungu awatunze kazi unayo ifanya ni njema sana mmekuwa baraka sana kwenye kazi yake Mungu
Kuna muda natafakali mengi sana mema Mungu awakumbe katika yote mmuombayo yeye.Glory Singers kazi yenu ni njema
Naharibu kila nguvu ya shetani kwa jina la Yesu

MUNGU ANAWAPENDA NAMI NAWAPENDA WATUMISHI WA MUNGU

NI SAA YA USHINDI

Address

Njombe

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Ev. Gervas Joachim. posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share