04/08/2026
Ibada ya jumapili 02/08/2026
Mhubiri : Pastor Boniphace mkami
Ndugu ameshiriki neno la Mungu na kanisa juu ya moyo wa daudi ambao ulimpendeza Mungu kwa namna ambavyo daudi alienenda na kuishi hapa duniani.
Kumtumikia Mungu ni faida kwa kuwa ni hazina mbele za Mungu kwaio inatupasa kuutafuta uso wa Mungu kwanza katika maisha yetu.
K**a vile paulo alivomsihi timotheo kuilinda imani ileile aliyojifunza kwake na utumishi usio na maswali wala mashaka, vivyo hivo imetupasa kulinda imani na matendo yetu na kumwamini Mungu juu ya maisha yetu ili safari yetu ya wokovu isiwe bure.
k**a Paulo alivowaambia wakorintho isiwe yeye anawahubiri wengine na mwisho yeye akaja kukataliwa, kwaio yatupasa kumaanisha kabisa katika hii safari hii ya mbinguni.
Zaburi 139: 1-3, 50:3-6,16-23 || 1Timotheo 6:11-16 || 2Timotheo 3 : 10-12 || Wakorintho 9:27