Ukombozi Church ukerewe

Ukombozi Church ukerewe Page hii ni kwa ajili ya msaada wa kiroho zaidi pamoja na maombi kutoka kanisa la ukombozi ukerewe.

06/12/2022
30/10/2022

VIDEO: Dada huyu alivamiwa na mapepo baada ya kuokota fedha kiasi Cha shilingi 3000/=.Mapepo haya yalimfanya ashindwe kuendelea na masomo kwa muda.....
Lakini baada ya kufika katika madhabahu ya kanisa la ukombozi ukerewe amefunguliwa na Sasa yupo huru.
Popote ulipo endelea kujiunganisha na madhabahu hii na MUNGU anakwenda kukufungua Kwa jina la YESU.

23/10/2022

LIVE | KONGAMANO LA IBADA YA KINABII | 23/10/2022
Tazama wachawi wanavyonaswa na kutoa Siri nzito baada ya kukutana na nguvu ya Mungu....
Endelea kujiunganisha na Madhabahu ya ukombozi Tawi la ukerewe popote ulipo na Mungu anakwenda kumfichua mchwawi anayekutesa kwa jina Ia YESU..
COMMENT NENO AMEN NA BWANA ANAKWENDA KUTENDA JAMBO WIKI HII.

23/10/2022

LIVE | KONGAMANO KUBWA LA IBADA YA KINABII | 23/10/2022
..... MCHAWI ANASWA....
Tazama jinsi Ambavyo Nguvu ya MUNGU Ilivyo mnasa mchawi... Atoa Siri Nzito zilizokuwa zimejificha..
popote ulipo Endelea kujiunganisha na Madhabahu ya kanisa la ukombozi tawi la ukerewe na huyo mchawi anayekutesa atapigwa kwa jina la yesu..
SEMA AMEN NAJIUNGANISHA.

16/10/2022

| USHUHUDA 16/10/2022
Baba huyu anashuhudia jinsi ambavyo Mungu anazidi kuinua biashara yake kwa viwango vya juu.....
Anasema alianza biashara ya kuuza miwa kwa mtaji wa shilingi Elfu tano (5,000/=) lakini mpaka sasa anasema Amefikia mtaji wa laki mbili (200,000/=) ndani ya mwezi mmoja.
Yawezekana hapo ulipo mwanzo wako ni mdogo hebu chukua hatua ya kujiunganisha na Madhabahu ya kanisa la ukombozi tawi la ukerewe na Mungu anakwenda kukupandisha viwango kwa jina la YESU.
SEMA NAJIUNGANISHA KWA JINA LA YESU.

16/10/2022

|IBADA YA KINABII 16/10/2022
"NGUVU YA MUNGU INAVYOFUNGUA WATU"
Haya ni baadhi ya matukio yaliyotokea katika ibada ya leo Nguvu ya MUNGU iliposhuka na kuwafungua watu....
Popote ulipo endelea kujiunganisha na Madhabahu ya kanisa la ukombozi tawi la ukerewe na Bwana anakwenda kutenda jambo jipya mwezi huu kwa jina la YESU....
K**A UNAAMINI SEMA AMEN NAJIUNGANISHA!

16/10/2022

| IBADA YA KINABI 16/10/2022
"Maombi dhidi ya Maadui walioshikilia Baraka zako"
Popote ulipo endelea kujiunganisha na Maombi haya na Mungu atatenda jambo kubwa wiki hii kwa jina la YESU..
K**A UNAAMINI SEMA AMINA NAJIUNGANISHA...

10/10/2022

YA KINABII..09/10/2022...
Tazama jinsi ambavyo majini yanatoa Siri nzito baada ya kunaswa na nguvu ya MUNGU......

09/10/2022

YA KINABII 09/10/2022
Maombi ya kuong'oa mizizi ya matatizo katika maisha yako.......
Jiunganishe na Maombi haya na kila mizizi ya matatizo itang'oka katika maisha yako kwa jina la yesu......AMEN.

02/10/2022

02/10/2022
"AGANO NI KUFUNGO"
Maombi ya kuvunja Maagano na kurudisha Original yako...popoe ulipo jiunganishe na Maombi haya na Mungu atakutendea jambo jipya wiki hii

Address

Kakerege, Nansio
Mwanza

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Ukombozi Church ukerewe posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Place Of Worship

Send a message to Ukombozi Church ukerewe:

Share