An-Nuur Islamic Centre

An-Nuur Islamic Centre “AN‑NUUR ISLAMIC CENTRE
�����������https://whatsapp.com/channel/0029Vb7LsPqEawdndWjKJS3D

22/01/2026
🌟 _JIUNGE NA WHATSAPP CHANNEL YA ELIMU YA KIISLAMU_ 🌟🕌 *AN-NUUR ISLAMIC CENTRE* Unatafuta elimu sahihi ya Kiislamu itaka...
17/01/2026

🌟 _JIUNGE NA WHATSAPP CHANNEL YA ELIMU YA KIISLAMU_ 🌟
🕌 *AN-NUUR ISLAMIC CENTRE*
Unatafuta elimu sahihi ya Kiislamu itakayokuongeza Imani, Maarifa na Maadili mema?
Basi usikose kujiunga na WhatsApp Channel yetu.

📖 *RATIBA YA CHANNEL INAHUSU*

✅ Tafsiri ya Qur’an Tukufu
✅ Hadithi za Mtume ﷺ na mafundisho yake
✅ Mawaidha ya Imani na Taqwa
✅ Maswali & Majibu ya Kiislamu
✅ Elimu ya maisha kwa Mtazamo wa Kiislamu
✅Masimulizi ya visa
✅ Quiz (Chemshabongo)

📌 *Elimu kwa mpangilio, kwa lugha nyepesi na kwa lengo la kumridhisha Allah ﷻ.*

👉 *_Jiunge sasa kupitia link hii_* :
🔗 https://whatsapp.com/channel/0029Vb7LsPqEawdndWjKJS3D

🤲 *Usijinyime kheri — shiriki link hii kwa wengine upate thawabu.*

Channel • 568 followers‎ • 📌 RATIBA YA KILA SIKU – AN-NUUR ISLAMIC CENTRE

🟢 *JUMATATU*
👉 Mawaidha ya Imani

🟢 *JUMANNE*
👉 Tafsiri ya Qur’an

🟢 *JUMATANO*
👉 Hadithi za Mtume ﷺ na Mafunzo yake

🟢 *ALHAMISI*
👉 Maswali na Majibu ya Kiislamu

🟢 *IJUMAA*
👉 Chemshabongo/ Quiz

🟢 *JUMAMOSI*
👉 Maisha na Maarifa ikijumuisha:
▪ Elimu ya maisha
▪ Biashara Halali
▪ Nidhamu binafsi
▪ Teknolojia yenye manufaa
▪ Ujasiriamali
▪ Ushauri kwa vijana n.k

🟢 *JUMAPILI*
👉 Masimulizi ya Visa vya Wema Waliotangulia

*🎯 LENGO LA CHANNEL*
Kusambaza elimu sahihi ya Qur’an na Sunnah, na kutoa Da‘wah kwa uaminifu na ufasaha ili kuijenga jamii bora yenye elimu na maadili mema.

📲 *Mawasiliano* :
Wasilia nasi kupitia WhatsApp / Simu: +255717620232

👉 https://wa.me/255717620232

🔔 *Fuata WhatsApp Channel Yetu:*
https://whatsapp.com/channel/0029Vb7LsPqEawdndWjKJS3D‎

https://whatsapp.com/channel/0029Vb7LsPqEawdndWjKJS3D🌙 AN-NUUR ISLAMIC CENTRE🕌 MASWALI NA MAJIBU YA DINI (Q & A)Assalaam...
15/01/2026

https://whatsapp.com/channel/0029Vb7LsPqEawdndWjKJS3D

🌙 AN-NUUR ISLAMIC CENTRE
🕌 MASWALI NA MAJIBU YA DINI (Q & A)
Assalaamualaykum warahmatullaahi wabarakaatuh.

Leo ni siku yetu maalum ya Maswali na Majibu ya Dini, siku ya kujifunza, kufahamu, na kuondoa mashaka katika masuala ya Dini ya Kiislamu.
Je, una swali lolote linalokutatiza kuhusu:
✨ Imani (Aqeedah)
✨ Fiqh (Ibada na Muamala)
✨ Tafsiri ya Qur’an
✨ Hadith za Mtume ﷺ
✨ Akhlaaq na Maadili ya Kiislamu
✨ Au suala lolote linalohusiana na Dini?
📩 Karibu utume swali lako kupitia WhatsApp:
🟢 0748 397 484
👉 https://wa.me/255748397484
🟢 0717 620 232
👉 https://wa.me/255717620232

📖 In shaa Allah, maswali yote yatajibiwa kwa dalili sahihi kutoka katika Qur’an Tukufu na Sunnah sahihi ya Mtume Muhammad ﷺ.
🕊️ Karibuni tujifunze kwa pamoja, tuongeze nuru ya elimu, na tuimarishe Imani zetu katika maisha ya kila siku.
🔗 Jiunge na WhatsApp Channel yetu:

https://whatsapp.com/channel/0029Vb7LsPqEawdndWjKJS3D

Channel • 568 followers‎ • 📌 RATIBA YA KILA SIKU – AN-NUUR ISLAMIC CENTRE

🟢 *JUMATATU*
👉 Mawaidha ya Imani

🟢 *JUMANNE*
👉 Tafsiri ya Qur’an

🟢 *JUMATANO*
👉 Hadithi za Mtume ﷺ na Mafunzo yake

🟢 *ALHAMISI*
👉 Maswali na Majibu ya Kiislamu

🟢 *IJUMAA*
👉 Chemshabongo/ Quiz

🟢 *JUMAMOSI*
👉 Maisha na Maarifa ikijumuisha:
▪ Elimu ya maisha
▪ Biashara Halali
▪ Nidhamu binafsi
▪ Teknolojia yenye manufaa
▪ Ujasiriamali
▪ Ushauri kwa vijana n.k

🟢 *JUMAPILI*
👉 Masimulizi ya Visa vya Wema Waliotangulia

*🎯 LENGO LA CHANNEL*
Kusambaza elimu sahihi ya Qur’an na Sunnah, na kutoa Da‘wah kwa uaminifu na ufasaha ili kuijenga jamii bora yenye elimu na maadili mema.

📲 *Mawasiliano* :
Wasilia nasi kupitia WhatsApp / Simu: +255717620232

👉 https://wa.me/255717620232

🔔 *Fuata WhatsApp Channel Yetu:*
https://whatsapp.com/channel/0029Vb7LsPqEawdndWjKJS3D‎

ASSALAAMUALAYKUM WARAHMATULLAAHI WABARAKAATUH 📱 *SIMU YAKO NI FURSA ITUMIE VIZURI* 📱 *بِسْمِ اللَّهِ الرَّحْمَٰنِ الرَّح...
10/01/2026

ASSALAAMUALAYKUM WARAHMATULLAAHI WABARAKAATUH

📱 *SIMU YAKO NI FURSA ITUMIE VIZURI* 📱

*بِسْمِ اللَّهِ الرَّحْمَٰنِ الرَّحِيمِ*

📌 Simu yako si ya kupiga picha, WhatsApp na scrolling tu

✨ Ni neema ya Allah inayoweza kuwa mlango wa riziki halali k**a utautumia kwa nidhamu na kumtegemea Yeye.

📊 Leo vijana wengi wanatumia simu ⏳ masaa 5+ kila siku,
lakini bado wanasema “ *hakuna riziki au hakuna ajira”.*

⚠ *CHANGAMOTO YA VIJANA WA LEO*

📵 Simu imekuwa chanzo cha:

🟩Endless scrolling

🟩Content haram

🟩Kupoteza muda na baraka

*Badala ya kuwa* :
✅ Chombo cha riziki
✅ Njia ya maendeleo
✅ Sababu ya baraka

🕋 SULUHISHO LA KIISLAMU

⏰ Simamia wakati vizuri (Time management)

🌅 Tumia muda wa baada ya Fajr (masaa ya baraka) kwa kujifunza au kufanya kazi

🌙 Baada ya Isha → pumzika, linda akili

👀 Linda macho yako na moyo wako dhidi ya matumizi mabaya ya simu yako

🚫 Epuka content haram

🔕 Tumia Do Not Disturb wakati wa Qur’an & deep work

📈 *FURSA 5 ZA RIZIKI HALALI KUPITIA SIMU (2026)*

1️⃣ 🛍 *Biashara halali online*
mfano kuuza Hijabu, na mavazi mengine, kuuza vitabu, viatu vifaa vya simu na vingine vingi

Jambo hili utalifanya kupitia platform mbalimbali ikiwemo
*WhatsApp Business Catalog*

2️⃣ 🎥 *Content ya Kiislamu*
Qur’an reminders, motivation
→ TikTok / YouTube Shorts (ads halali)

3️⃣ 💼 *Freelancing halali*
Kuandika, design, kutafsiri
→ Fiverr / Upwork

4️⃣ 🔗 *Affiliate marketing halali*
Shiriki bidhaa halali, pata commission

5️⃣ 📲 *Huduma za kidigital*
Mobile money agent
Ushauri wa biashara halali

✨ *Mambo yote haya yanahitaji*

📱 Simu
🤍 Nia safi
🤲 Tawakkul kwa Allah

🛠 *HATUA ZA KUANZA LEO*
✅ Fungua WhatsApp Business
✅ Jifunze skill 1 bure (lakini linda macho na masikio)
✅ Jiunge na group za Waislamu wajasiriamali
✅ Hakikisha biashara yako ni 100% HALALI

🚫 Hakuna riba
🚫 Hakuna udanganyifu
🚫 Hakuna haram

✨ *HITIMISHO*

❌ Usiseme: “Sina mtaji”
❌ Usiseme: “Sina laptop”

👉 Anza na SIMU yako
👉 Nidhamu yako
👉 Tawakkul kwa Allah

*_Allah ndiye Mtoaji wa Riziki*_

🔥 *CHANGAMOTO (KWA AJILI YA ALLAH)*

📌 Anza leo kitu kimoja halali kupitia simu yako.

✍ Andika: NIMEANZA بِسْمِ اللَّهِ
👥 Tag rafiki yako Muislamu
🔁 Sambaza kwa wengine ili baraka zienezwe

🤲 *Yaa Allah tujaalie riziki halali na yenye baraka*
UNGANA NASI KUPITIA WHATSAPP CHANNEL YETU
👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇
https://whatsapp.com/channel/0029Vb7LsPqEawdndWjKJS3D

08/01/2026

https://whatsapp.com/channel/0029Vb7LsPqEawdndWjKJS3D
🌙 AN-NUUR ISLAMIC CENTRE
🕌 *MASWALI NA MAJIBU*

Assalaamualaykum warahmatullaahi wabarakaatuh.

Leo ni siku yetu maalum ya Maswali na Majibu ya Dini.
Je, una swali lolote kuhusu:

✨ Imani
✨ Fiqh
✨ Tafsiri ya Qur’an
✨ Hadith
✨ Akhlaaq
✨ Au jambo lolote la dini?

Karibu utume swali lako kupitia WhatsApp:

🟢 0748 397 484
👉 https://wa.me/255748397484

🟢 0717 620 232
👉 https://wa.me/255717620232

In shaa Allah maswali yako yatapata majibu kwa dalili sahihi kutoka katika Qur’an na Sunnah.

🕊️ *Karibuni tujifunze kwa pamoja na kuiongeza nuru ya elimu katika nyoyo zetu na maisha yetu.*

🌟 _JIUNGE NA WHATSAPP CHANNEL YA ELIMU YA KIISLAMU_ 🌟🕌 *AN-NUUR ISLAMIC CENTRE* Unatafuta elimu sahihi ya Kiislamu itaka...
07/01/2026

🌟 _JIUNGE NA WHATSAPP CHANNEL YA ELIMU YA KIISLAMU_ 🌟
🕌 *AN-NUUR ISLAMIC CENTRE*
Unatafuta elimu sahihi ya Kiislamu itakayokuongeza Imani, Maarifa na Maadili mema?
Basi usikose kujiunga na WhatsApp Channel yetu.

📖 *RATIBA YA CHANNEL INAHUSU*

✅ Tafsiri ya Qur’an Tukufu
✅ Hadithi za Mtume ﷺ na mafundisho yake
✅ Mawaidha ya Imani na Taqwa
✅ Maswali & Majibu ya Kiislamu
✅ Elimu ya maisha kwa Mtazamo wa Kiislamu
✅Masimulizi ya visa
✅ PDF na Vitabu vya dini

📌 *Elimu kwa mpangilio, kwa lugha nyepesi na kwa lengo la kumridhisha Allah ﷻ.*

👉 *_Jiunge sasa kupitia link hii_* :
🔗 https://whatsapp.com/channel/0029Vb7LsPqEawdndWjKJS3D

🤲 *Usijinyime kheri — shiriki link hii kwa wengine upate thawabu.*

Channel • 568 followers‎ • 📌 RATIBA YA KILA SIKU – AN-NUUR ISLAMIC CENTRE

🟢 *JUMATATU*
👉 Mawaidha ya Imani

🟢 *JUMANNE*
👉 Tafsiri ya Qur’an

🟢 *JUMATANO*
👉 Hadithi za Mtume ﷺ na Mafunzo yake

🟢 *ALHAMISI*
👉 Maswali na Majibu ya Kiislamu

🟢 *IJUMAA*
👉 Chemshabongo/ Quiz

🟢 *JUMAMOSI*
👉 Maisha na Maarifa ikijumuisha:
▪ Elimu ya maisha
▪ Biashara Halali
▪ Nidhamu binafsi
▪ Teknolojia yenye manufaa
▪ Ujasiriamali
▪ Ushauri kwa vijana n.k

🟢 *JUMAPILI*
👉 Masimulizi ya Visa vya Wema Waliotangulia

*🎯 LENGO LA CHANNEL*
Kusambaza elimu sahihi ya Qur’an na Sunnah, na kutoa Da‘wah kwa uaminifu na ufasaha ili kuijenga jamii bora yenye elimu na maadili mema.

📲 *Mawasiliano* :
Wasilia nasi kupitia WhatsApp / Simu: +255717620232

👉 https://wa.me/255717620232

🔔 *Fuata WhatsApp Channel Yetu:*
https://whatsapp.com/channel/0029Vb7LsPqEawdndWjKJS3D‎

🌙✨ *HADITHI YA MTUME (SAW): MATENDO HUZINGATIWA  NIA* ✨🌙📜 *Kwa Kiarabu* :عَنْ أَمِيرِ الْمُؤْمِنِينَ أَبِي حَفْصٍ عُمَرَ...
07/01/2026

🌙✨ *HADITHI YA MTUME (SAW): MATENDO HUZINGATIWA NIA* ✨🌙

📜 *Kwa Kiarabu* :

عَنْ أَمِيرِ الْمُؤْمِنِينَ أَبِي حَفْصٍ عُمَرَ بْنِ الْخَطَّابِ رَضِيَ اللَّهُ عَنْهُ قَالَ:
سَمِعْتُ رَسُولَ اللَّهِ صَلَّى اللَّهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ يَقُولُ:
«إِنَّمَا الْأَعْمَالُ بِالنِّيَّاتِ، وَإِنَّمَا لِكُلِّ امْرِئٍ مَا نَوَى،
فَمَنْ كَانَتْ هِجْرَتُهُ إِلَى اللَّهِ وَرَسُولِهِ فَهِجْرَتُهُ إِلَى اللَّهِ وَرَسُولِهِ،
وَمَنْ كَانَتْ هِجْرَتُهُ لِدُنْيَا يُصِيبُهَا أَوْ امْرَأَةٍ يَنْكِحُهَا فَهِجْرَتُهُ إِلَى مَا هَاجَرَ إِلَيْهِ».
(رواه البخاري ومسلم) ✅

💛 *Maana kwa Kiswahili:*
Mtume wetu Muhammad (SAW) amesema:

“Matendo yote yanategemea nia. Kila mtu atapata thawabu kulingana na nia yake.

Yule aliyehama (Hijra) kwa ajili ya Allah na Mtume Wake, hijra yake itakuwa kwa Allah na Mtume Wake.
Lakini yule aliyehama kwa ajili ya mali ya dunia au kuoa mwanamke, hijra yake itakuwa kwa sababu hiyo tu.”

❤️ *Mafunzo Muhimu* :
Nia ndiyo inayoamua thamani ya kila tendo letu

Hata ibada kubwa k**a swala, zaka au hija, ikiwa nia si kwa Allah pekee, inaweza kupoteza thawabu

Tunapaswa kurekebisha nia zetu kila wakati ili ziwe safi kwa ajili ya Allah SWT tu ✨

Hii ni msingi mkubwa wa dini yetu – hekima kubwa katika maneno machache tu! 🤲

🌟 Allah atukubalie matendo yetu yote kwa nia safi. Aamiin! 🤲

ﷺ -NuurIslamicCentre

Ungana nasi kupitia WhatsApp channel yetu kwa kutumia link hii 👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇

https://whatsapp.com/channel/0029Vb7LsPqEawdndWjKJS3D

Address

Kilimanjaro
Moshi

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when An-Nuur Islamic Centre posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share