Passion of Paul Society Ministry

Passion of Paul Society Ministry It is a MINISTRY OF MISSION. it main purpose is to PREACH AND SPREAD THE GOSPEL to All.

Karibu ushiriki nasi hizi baraka1. Omba Kristo aumbike ndani yako, na kubadili kila eneo la maisha yako.2. Ombea neema y...
16/04/2026

Karibu ushiriki nasi hizi baraka
1. Omba Kristo aumbike ndani yako, na kubadili kila eneo la maisha yako.
2. Ombea neema ya kumtumani Mungu Katika hali zote,
*Bible study: Waefeso 4:1-32*

Karibu ushiriki nasi1. Ombea maisha yako ya wokovu yawe kielelezo na mfano Kwa wasioamini na mataifa.2. Omba Mungu akuon...
15/04/2026

Karibu ushiriki nasi
1. Ombea maisha yako ya wokovu yawe kielelezo na mfano Kwa wasioamini na mataifa.
2. Omba Mungu akuongeze kiimani
*Bible study: Waefeso 3:1-21*

Tunaendelea na maombi yetu pamoja na usomaji wa neno ,karibu ushiriki pamoja nasi.Maombi ya leo1. Omba uwezesho wa kusom...
14/04/2026

Tunaendelea na maombi yetu pamoja na usomaji wa neno ,karibu ushiriki pamoja nasi.
Maombi ya leo
1. Omba uwezesho wa kusoma, kuelewa na kutafakati neno la Mungu k**a mkristo mwenye mpango wa kweni mbinguni
2. Mungu aumbe moyo wa ibada, kupenda kumwabudu Mungu.

*Bible study: Waefeso 2:1-22*

Tunaendelea  na usomaji wa neno karibu tushiriki pamoja Leo ni WAEFESO 1:1-23 UBARIKIWE SANA.
13/04/2026

Tunaendelea na usomaji wa neno karibu tushiriki pamoja Leo ni WAEFESO 1:1-23
UBARIKIWE SANA.

Tunaendelea na maombi yetu , karibu ushiriki pamoja nasi.
06/04/2026

Tunaendelea na maombi yetu , karibu ushiriki pamoja nasi.

05/04/2026
Siku ya SITA  bado tunaendelea na maombi yetu karibu ushiriki pamoja nasi
23/03/2026

Siku ya SITA bado tunaendelea na maombi yetu karibu ushiriki pamoja nasi

Tunaendelea tuliposhia Jana karibu sana.
19/03/2026

Tunaendelea tuliposhia Jana karibu sana.

Leo ni siku ya tatu , tunaendelea na maombi yeti pamoja na usomaji wa neno karibu sana ushiriki nasi
18/03/2026

Leo ni siku ya tatu , tunaendelea na maombi yeti pamoja na usomaji wa neno karibu sana ushiriki nasi

Tunaendelea na maombi yetu ikiwa ni siku ya pili huku tukisoma neno. Luka 18:1[1]Akawaambia mfano, ya kwamba imewapasa k...
17/03/2026

Tunaendelea na maombi yetu ikiwa ni siku ya pili huku tukisoma neno.
Luka 18:1
[1]Akawaambia mfano, ya kwamba imewapasa kumwomba Mungu sikuzote, wala wasikate tamaa.

Address

Moshi

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Passion of Paul Society Ministry posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Place Of Worship

Send a message to Passion of Paul Society Ministry:

Share