Ufufuo na Uzima Church Morogoro

Ufufuo na Uzima Church Morogoro Ufufuo na Uzima Church_Morogoro Pastor Godson has trained several church leaders who are now serving our Lord Jesus Christ diligently.
(1)

The Ufufuo na Uzima-Morogoro Province Mega Church is under the leadership of Dr. Godson Zacharia (also a Bishop and Senior Pastor). Ufufuo na Uzima-Morogoro is fully operational at 22 Mega Division Churches including Dumila, Tuliani, Mvua, Gairo, Kilosa, Kilombero, Ifakara, Mahenge (Ulanga), Mbingu, Kingolwira, Sokoine Mvomero, Lupilo, Chakwale & Dakawa under anointed Senior Pastors.

"Utukufu wa mwisho wa nyumba hii utakuwa mkuu kuliko utukufu wake wa kwanza, asema BWANA wa majeshi; na katika mahali ha...
05/06/2026

"Utukufu wa mwisho wa nyumba hii utakuwa mkuu kuliko utukufu wake wa kwanza, asema BWANA wa majeshi; na katika mahali hapa nitawapa amani, asema BWANA wa majeshi". (Hagai 2:9)

04/06/2026

Mimi siogopi ubaya; mimi nimeumbwa kwa ajili ya siku za mabaya.


04/06/2026

```Adui yako ni mtu wa karibu na wewe, anaweza kuwa ndugu,jirani au rafiki```

πŸ“–*MATHAYO 10:36*πŸ“–

πŸ“šMFUNGO WA UPENYO - DAY 39
πŸ”Š Bishop Dr. Josephat Gwajima
πŸ—“οΈ 04 JUNE 2026

:25

04/06/2026

```Umeanguka, umeanguka Babeli ule mkuu; umekuwa maskani ya mashetani, na ngome ya kila roho mchafu, na ngome ya kila ndege mchafu mwenye kuchukiza.```

πŸ“–*UFUNUO 18:2*πŸ“–

πŸ“šMKESHA WA UPENYO WA MAISHA
πŸ”Š Bishop Dr. Josephat Gwajima
πŸ—“οΈ 03 JUNE 2026

:25

03/06/2026

```Mbingu ni mbingu za BWANA, Bali nchi amewapa wanadamu.```

πŸ“–*ZABURI 115:16*πŸ“–

πŸ“šSIKU 40 ZA UPENYO - SIKU YA 38
πŸ”Š Bishop Dr. Josephat Gwajima
πŸ—“οΈ 03 JUNE 2026

:25

03/06/2026

```”Ee BWANA, utete nao wanaoteta nami, Upigane nao wanaopigana nami”```

πŸ“–*ZABURI 35:35*πŸ“–

πŸ“šSIKU 40 ZA UPENYO - SIKU YA 38
πŸ”Š Bishop Dr. Josephat Gwajima
πŸ—“οΈ 03 JUNE 2026

:25

03/06/2026

πŸ”₯*MFUNGO WA SIKU 40 ZA UPENYO WA MAISHAπŸ”₯*

*Kuanzia leo katika Ibada zote za jioni pamoja na Mkesha wa Mfungo wa Upenyo wa Maisha, Baba yetu Bishop Dr.Josephat Gwajima atatuongoza katika maombi na kutulisha Neno la Mungu.*

πŸ“ Mahali: Ufufuo na Uzima Morogoro Mkundi-Minara Mitatu
⏰ Muda : Kuanzia saa 10:00 Jioni

> Ibada Itarushwa Live kila siku kuanzia saa 10:00 jioni kupitia YouTube channel ya Rudisha Tv


πŸ”₯*MFUNGO WA SIKU 40 ZA UPENYO WA MAISHAπŸ”₯**>*```Siku ya Thelathini na Saba ya Mfungo wa Upenyo wa MaishaIwe ni katika ndo...
02/06/2026

πŸ”₯*MFUNGO WA SIKU 40 ZA UPENYO WA MAISHAπŸ”₯*

*>*

```Siku ya Thelathini na Saba ya Mfungo wa Upenyo wa Maisha
Iwe ni katika ndoa, ajira, biashara, afya au familia, huu ni wakati wa kupata upenyo kupitia maombi na mfungo.```

πŸ“ Mahali: Ufufuo na Uzima Morogoro Mkundi-Minara Mitatu

> Ibada Itarushwa Live kupitia YouTube channel ya Rudisha Tv



02/06/2026

```β€œKama milima inavyozunguka Yerusalemu, ndivyo Bwana anavyowazunguka watu wake.”```

πŸ“š MKESHA WA UPENYO WA MAISHA
πŸ”Š Askofu Gidion Kanyairita
πŸ—“οΈ 01 JUNE 2026

:25

πŸ“ΈπŸ”₯ MATUKIO KATIKA PICHA πŸ”₯πŸ“ΈShangwe za Ibada, nyuso za furaha na ushuhuda wa uwepo wa Mungu vikionekana kupitia Matukio mb...
01/06/2026

πŸ“ΈπŸ”₯ MATUKIO KATIKA PICHA πŸ”₯πŸ“Έ

Shangwe za Ibada, nyuso za furaha na ushuhuda wa uwepo wa Mungu vikionekana kupitia Matukio mbalimbali ya Breakthrough Sunday.
Hakika Mungu ameendelea kutenda makuu katikati yetu! πŸ™Œβœ¨

"Baadhi ya picha za matukio katika Ibada ya Jumapili"

πŸ—“οΈ 31 MAY 2026



Address

Ufufuo Na Uzima Church, Mkundi Minara Mitatu, P. O. Box 4092
Morogoro
255

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Ufufuo na Uzima Church Morogoro posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Place Of Worship

Send a message to Ufufuo na Uzima Church Morogoro:

Share