Efatha Church Mlowo

Efatha Church Mlowo UKOMBOZI NA UPONYAJI KWA DAMU YA YESU
MARK 7:34 https://whatsapp.com/channel/0029VaLA3qIIiRotm3uMgy

25/03/2026

KAMBI YA VIONGOZI

Ni wakati wa kufundishwa na kuandaliwa kwa ajili ya huduma yenye matokeo!

Jiunge nasi ujifunze uongozi wa kiroho, nidhamu, na maono yatakayobadilisha maisha yako na wengine.

Usikose nafasi hii ya kipekee ya kukua na kuimarika!

📍 Mahali: Precious Centre Kibaha
Tarehe: 02- 05 Aprili, 2026

Kiongozi bora hutengenezwa na maandalizi sahihi — njoo ujengwe!




IBADA YA JUMAPILI KATIKA KANISA LA EFATHA MLOWO
22/03/2026

IBADA YA JUMAPILI KATIKA KANISA LA EFATHA MLOWO

Wakati wa kuabudu na kumsifu Mungu wetu wa Efatha
22/03/2026

Wakati wa kuabudu na kumsifu Mungu wetu wa Efatha

IBADA YA JUMAPILI YA TAREHE 22/3/2024
22/03/2026

IBADA YA JUMAPILI YA TAREHE 22/3/2024

Matukio ya Ibada ya Jumapili ya Tarehe 22/3/2026 katika ibada ya UPONYAJI NA UKOMBOZI
22/03/2026

Matukio ya Ibada ya Jumapili ya Tarehe 22/3/2026 katika ibada ya UPONYAJI NA UKOMBOZI

21/03/2026
21/03/2026
21/03/2026

Hii ni nafasi ya kujionyesha mbele za Bwana, kuabudu na kumtukuza kwa moyo wako wote 🙌✨
Ukishafahamu mambo yanayompendeza, anazidisha mema kwenye kila unachohitaji

Usiache nafasi hii—ambayo uzima, ustawi,na ulinzi huagizwa kufunika maisha yako.
Karibu ujiunge nasi hapa Kanisa la Efatha Mwenge kuanzia saa mbili asubuhi.

📺 Tutakuwa LIVE ON EfathaTV, pia kwenye ukurasa wetu wa YouTube na Facebook:

Efatha Church Mwenge — mahali pa kufunguliwa.
Tunakusubiri Ibadani. 🔥




21/03/2026

DONT PLAN TO MISS

NENO LA SIKUNa Mtume na Nabii Josephat Elias Mwingira – Kanisa la EfathaTarehe 14/6/2025SOMO: USIRUHUSU MASHAKA YAKUTENG...
14/06/2025

NENO LA SIKU

Na Mtume na Nabii Josephat Elias Mwingira – Kanisa la Efatha

Tarehe 14/6/2025

SOMO: USIRUHUSU MASHAKA YAKUTENGE NA KILE UNACHOKITARAJIA

Yoshua 1:3 “Kila mahali zitakapopakanyaga nyayo za miguu yenu, nimewapa ninyi, k**a nilivyomwapia Musa.” Hii inamaana kuwa chochote utakacho fanya wewe ni Mshindi na umepewa kumiliki.

Imani ni mtaji wako, k**a unaamini popote utakapo kwenda kuchukua hatua au lolote utakalo kwenda kulianza litatimizwa ondoa mashaka, huu ni muda wako wa kuchukua nafasi yako.

Unapochukua nafasi yako na kuanza jambo fulani, unapokuwa katika huo Mtembeo vikwazo vipo, ukosefu wa pesa au mazingira yako yanaweza kuwa ni adui yako namba moja, lakini unatakiwa kujua kuwa Bwana amesema kuwa “Hapatakuwa mtu yeyote atakayeweza kusimama mbele yako siku zote za maisha yako;” Si katika Utumishi wako tu bali hata katika maisha yako ya kila siku.

Kwa nini waamini wengi leo hii ni masikini? Ni kwa sababu ni kweli wanaamini Neno la Mungu lakini wana mashaka, Neno linasema "Kila mahali zitakapopakanyaga nyayo za miguu yako nimekupa" wakati huo huo unapokwenda kazini kwako unawaza wewe hauna elimu ya kutosha hivyo hauwezi kupandishwa cheo, au unapofika Kwenye biashara yako unawaza biashara yangu haina wateja hivyo naenda kufunga.

Usiruhusu vitisho vya aina yeyote ile viharibu imani yako, usiruhusu mashaka yakuweke mbali na kile unachokitarajia; kwa maana hayo ndiyo adui yako namba moja, usiruhusu sauti yoyote ya adui ikutishie chukua nafasi yako na usonge mbele, amini hata k**a unaona njia ya kufanikisha hicho unachokitaka ni ngumu kiasi gani amini kuwa utafanikiwa na usiwe na mashaka hakika kitakuwa chako.

Address

Mlowo

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Efatha Church Mlowo posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share