Evangelist Franco Nzala

Evangelist Franco Nzala Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Evangelist Franco Nzala, Pentecostal Church, Kisanga, Kilosa.

Amen Mwalimu wangu Abwene Mwasongwe...
22/09/2025

Amen Mwalimu wangu Abwene Mwasongwe...

MKATE WA LEO.
Ukitaka kujua Umeanza kuwa mtu mwema ni pale utakapoanza kuvumilia kusikiliza watu na maneno usiyoyapenda kutoka kwao. Mtu mwovu hapendi kusikiliza watu na maneno asiyoyapenda.

BABA SALVATION...✍️✍️✍️✍️✍️✍️GOOD INTENTIONS IS NOT ENOUGH BUT ALSO THE RIGHT WAY IS MOSTLY NEEDED..
20/01/2025

BABA SALVATION...
✍️✍️✍️✍️✍️✍️
GOOD INTENTIONS IS NOT ENOUGH BUT ALSO THE RIGHT WAY IS MOSTLY NEEDED..

20/01/2025

IVI ANAYE TUMIA MATAKO BANDIA, KUCHA BANDIA, NYWELE, KOPE BANDIA, NA MATITI;
KATI YA HAO YUPI ANATENDA DHAMBI ??

Kituo kinacho fuata ni BWAGAMOYO MJIANDAE
14/01/2025

Kituo kinacho fuata ni
BWAGAMOYO

MJIANDAE

Bagamoyo nakuja kwenu hakikisha unahudhuria.

12/01/2025

Naomba jibu.
Ivi anaye toboa masikio na anaye ongeza makalio na hipsi Kati ya hao yupi anaye tenda DHAMBI ??

Kuna wakati lazima tukubali kuwa sisi ni dhaifu sana hatuna tunachomiliki zaidi ya kinyesi kwenye matumbo yetu.Hii ni Ca...
11/01/2025

Kuna wakati lazima tukubali kuwa sisi ni dhaifu sana hatuna tunachomiliki zaidi ya kinyesi kwenye matumbo yetu.

Hii ni California sehemu ambayo wanakaa watu wenye ukwasi na wadhifa. Watu ambao wanajua kutumia hela zaidi kuliko kuongea kuhusu hela.

Sehemu ambayo fukara harusiwi kuishi. Sehemu. ambayo watu wanaishi na bank chini ya majumba yao. Lakini licha ya heshima yote ya sehemu hio Mungu kapitisha makadara yake kumekuwa k**a nyika inayoandaliwa kuwa makaazi.

Mungu anae badilisha usiku kuwa mchana ndio Mungu huyo huyo alieifanya California kuwa jivu. Mungu hazihakiwi. Mungu akasirikiwi. Mungu hajaribiwi na uwezo wa Mungu ni mkubwa kushinda neno uwezo.

Utajiri wa mtu au wadhifa wa mtu mbele ya Mungu huwa si kitu cha maana k**a mtu huyo ataishi kinyume na matakwa ya Mungu. Hela haimfanyi mtu kuwa na amani bali amani inayotoka kwa Mungu ndie inayomfanya binadamu kuwa na amani. MUOGOPE SANA MUNGU.

Follow ukurasa wetu

Huu mwaka Ni Mwaka wa MIFUNGO MINGI NA MAOMBI MENGI...ASANTE YESU KWA HII NEEMA
08/01/2025

Huu mwaka Ni Mwaka wa MIFUNGO MINGI NA MAOMBI MENGI...

ASANTE YESU KWA HII NEEMA

07/01/2025

IMANI BILA MATENDO IMEKUFA.

WOKOVU NI
1:IMANI
2:MATENDO

07/01/2025
04/01/2025
Hakika tulimwona MUNGU Sana siku hii ya ibada...
04/01/2025

Hakika tulimwona MUNGU Sana siku hii ya ibada...

Address

Kisanga
Kilosa

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Evangelist Franco Nzala posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Place Of Worship

Send a message to Evangelist Franco Nzala:

Share