TAG Mwanga Msufini

TAG Mwanga Msufini Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from TAG Mwanga Msufini, Pentecostal Church, TAG Mwanga Msufini, Kigoma.

RATIBA ZA IBADA
1.Jumatano :Mafundisho ya neno (4:30-6:30Pm)
2.Ijumaa : Maombi (4:00-6:30Pm)
3.JUMAPILI
-Ibada ya 1 (6:00-8:00Am)
-Ibada ya kingereza (8:00-9:30Am)
-Ibada ya 3 (10:30Am-01:30Pm)
-Ibada ya kifaransa (3:00-4:30Pm)
Piga simu: +255658521470

31/05/2026

Usinyamanze, usijitenge na usijiepushe na kazi ya Bwana ndani ya kanisa.
.

Tag Mwanga Msufini



31/05/2026

Hakika kwa Yesu ni furaha,
Baba zetu, Rev.Dr. Mulenda Omary (mwanzilishi wa kanisa) na Rev. Amon Mwakalinga (mchungaji kiongozi) Tag Mwanga Msufini wakimchezea Bwana.

31/05/2026

Karibu kwenye ibada ya tatu ya Jumapili,
Mungu akubariki kwa kuungana nasi.

Tag Mwanga Msufini

Habari picha,Uzinduzi wa kitabu cha "VIJUE VYANZO VYA MIGOGORO KATIKA NDOA NA FAMILIA" kilichoandikwa na askofu mstaafu ...
26/05/2026

Habari picha,
Uzinduzi wa kitabu cha "VIJUE VYANZO VYA MIGOGORO KATIKA NDOA NA FAMILIA" kilichoandikwa na askofu mstaafu wa Jimbo la Kigoma Kusini na mwanzilishi wa kanisa la Tag Mwanga Msufini, Rev.Dr. Omary Mulenda.
Katika uzinduzi huo, mgeni rasmi Mhe. Clayton Chipando (Baba levo) mbunge wa jimbo la Kigoma mjini alitumia wakati huo kusisitiza umuhimu wa kila mwanandoa kuwajibika na kuweka mikakati ya kuimarisha ndoa na familia kwaani ndio msingi wa usitawi wa jamii na taifa kwa ujumla.
Aidha mwandishi alisisitiza umuhimu wa kila mwanandoa wa sasa na mtarajiwa kusoma kitabu hiki kwaani kimebeba maudhui yatakayoponya na kuimarisha ndoa ya kila msomaji.
"KITABU HIKI NI DAWA YA NDOA NA FAMILIA ~Rev.Dr.Omary Mulenda"


Bwana Yesu asifiwe,Tunakukaribisha kwenye mkutano mkubwa wa injili utakaofanyika katika viwanja vya SIDO -  , kuanzia ta...
11/05/2026

Bwana Yesu asifiwe,
Tunakukaribisha kwenye mkutano mkubwa wa injili utakaofanyika katika viwanja vya SIDO - , kuanzia tarehe 13 mpaka tarehe 17 Mei, 2026,
Ni kila siku saa 10:00 - 12:30 Jioni, walete wagonjwa na wenye shida mbalimbali, Yesu mtenda miujiza atawafungua na kuwaweka huru.
Tutakuwa na mtumishi wa Mungu Mchungaji Leonard Kitulo (kutoka Tanga).

Tupigie kwa simu namba: 0658521470
Mungu akubariki.


Habari picha;Kilele cha Wiki ya wanaume (CMF)  Tag Mwanga Msufini
04/05/2026

Habari picha;
Kilele cha Wiki ya wanaume (CMF)

Tag Mwanga Msufini

Katika kuhitimisha maombi ya kufunga ya siku tatu, tumekuandalia tamasha kubwa la kusifu na kuabudu Jumapili hii ya tare...
22/04/2026

Katika kuhitimisha maombi ya kufunga ya siku tatu, tumekuandalia tamasha kubwa la kusifu na kuabudu Jumapili hii ya tarehe 26 April 2026.
Karibu sana tumpe Mungu utukufu.

— Isaya 25:1 “Ee Bwana, wewe u Mungu wangu; Nitakutukuza na kulihimidi jina lako; Kwa kuwa umetenda mambo ya ajabu, Mashauri ya kale, kwa uaminifu na kweli.”



Ni siku tatu za kambi la maombi ya kufunga na kuomba kuanzia tarehe 23 hadi tarehe 26 Aprili.Karibu sana.
20/04/2026

Ni siku tatu za kambi la maombi ya kufunga na kuomba kuanzia tarehe 23 hadi tarehe 26 Aprili.
Karibu sana.



Heri ya siku ya kuzaliwa kwa baba yetu na mchungaji wetu Rev.Amon Mwakalinga Tag Mwanga Msufini
10/04/2026

Heri ya siku ya kuzaliwa kwa baba yetu na mchungaji wetu Rev.Amon Mwakalinga
Tag Mwanga Msufini

Habari picha: Matukio ya ibada ya Jumapili ya pasakaTag Mwanga Msufini
05/04/2026

Habari picha: Matukio ya ibada ya Jumapili ya pasaka

Tag Mwanga Msufini

Address

TAG Mwanga Msufini
Kigoma

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when TAG Mwanga Msufini posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Place Of Worship

Send a message to TAG Mwanga Msufini:

Share