efatha church mail moja

efatha church mail moja Official Efatha church maili moja

IBADA YA SIKU JUMAPILI KANISA LA EFATHA MAILI MOJA TAREHE 24/05/2026 MUHUBIRI: HAPPY BALOLO  SOMO: NYAKATI NA MAJIRA YA ...
24/05/2026

IBADA YA SIKU JUMAPILI KANISA LA EFATHA MAILI MOJA TAREHE 24/05/2026
MUHUBIRI: HAPPY BALOLO

SOMO: NYAKATI NA MAJIRA YA MUNGU
Mhubiri 3:1-8
1 Kwa kila jambo kuna majira yake, Na wakati kwa kila kusudi chini ya mbingu.

2 Wakati wa kuzaliwa, na wakati wa kufa; Wakati wa kupanda, na wakati wa kung'oa yaliyopandwa;

3 Wakati wa kuua, na wakati wa kupoza; Wakati wa kubomoa, na wakati wa kujenga;

4 Wakati wa kulia, na wakati wa kucheka; Wakati wa kuomboleza, na wakati wa kucheza;

5 Wakati wa kutupa mawe, na wakati wa kukusanya mawe; Wakati wa kukumbatia, na wakati wa kutokumbatia;

6 Wakati wa kutafuta, na wakati wa kupoteza; Wakati wa kuweka, na wakati wa kutupa;

7 Wakati wa kurarua, na wakati wa kushona; Wakati wa kunyamaza, na wakati wa kunena;

8 Wakati wa kupenda, na wakati wa kuchukia; Wakati wa vita, na wakati wa amani.


Mch.Happy Balolo





IBADA YA SIKU JUMAPILI KANISA LA EFATHA MAILI MOJA TAREHE 24/05/2026Zaburi 119:10Kwa moyo wangu wote nimekutafuta, Usini...
24/05/2026

IBADA YA SIKU JUMAPILI KANISA LA EFATHA MAILI MOJA TAREHE 24/05/2026

Zaburi 119:10

Kwa moyo wangu wote nimekutafuta, Usiniache nipotee mbali na maagizo yako.





IBADA YA SIKU JUMAPILI KANISA LA EFATHA MAILI MOJA TAREHE 24/05/2026Zaburi 89:15Heri watu wale waijuao sauti ya shangwe,...
24/05/2026

IBADA YA SIKU JUMAPILI KANISA LA EFATHA MAILI MOJA TAREHE 24/05/2026

Zaburi 89:15

Heri watu wale waijuao sauti ya shangwe, Ee Bwana, huenenda katika nuru ya uso wako.





SIKU YA ISHIRINI NA NNE YA KUFUNGA NA KUOMBA.
24/05/2026

SIKU YA ISHIRINI NA NNE YA KUFUNGA NA KUOMBA.

*SIKU YA ISHIRINI NA TATU YA KUFUNGA NA KUOMBA*Katika muendelezo wa safari yetu hii, inatukumbusha kuwa kungojea kwa Mun...
23/05/2026

*SIKU YA ISHIRINI NA TATU YA KUFUNGA NA KUOMBA*

Katika muendelezo wa safari yetu hii, inatukumbusha kuwa kungojea kwa Mungu ni tendo la imani. Tunangojea si kwa woga, bali kwa tumaini lenye uhakika, tukijua kwamba Mungu wetu husikia na kujibu.

Katika kipindi hiki cha kufunga na kuomba, kila dakika ya kumtafuta ni ushuhuda kwamba tunauamini wakati Wake na majibu Yake. Hata k**a bado hatujaona majibu, yanakuja.

Na leo iwe siku ya kujisalimisha na kumtumainia Mungu. Yeye hachelewi kamwe na kwa wakati wake, utashuhudia majibu ya maombi yako.

Zaburi 38:15 (SUV) “_Kwa kuwa nakungoja Wewe, Bwana, Wewe utajibu, Ee Bwana, Mungu wangu_.”

Usikose jumapili hii, mkazi wa maili moja karibu sana Viunga vyote vya maili moja na ulimwengu wote Tunakukaribisha kani...
23/05/2026

Usikose jumapili hii, mkazi wa maili moja karibu sana
Viunga vyote vya maili moja na ulimwengu wote
Tunakukaribisha kanisa la Efatha maili moja
SIFA/KUABUDU NA MAOMBEZI KWA NENO LA MUNGU

NAIBARIKI JUMAMOSI YANGU. Katika BWANA ni salama; Mimi ni SALAMA.
23/05/2026

NAIBARIKI JUMAMOSI YANGU.

Katika BWANA ni salama; Mimi ni SALAMA.

SIKU YA ISHIRINI NA MBILI YA KUFUNGA NA KUOMBA.Tunapoendelea na safari yetu ya kiroho, Mungu anatukumbusha umuhimu wa ku...
22/05/2026

SIKU YA ISHIRINI NA MBILI YA KUFUNGA NA KUOMBA.
Tunapoendelea na safari yetu ya kiroho, Mungu anatukumbusha umuhimu wa kuishi kwa amani na kusamehe wengine. Kuto kusamehe kunaweza kuzuia maombi yetu.
Leo chunguza moyo wako, je kuna mtu hujamsamehe? Achilia chuki na tafuta amani, maana amani huleta uzima na maombi yenye nguvu. Usikubali chochote kikuzuie kupokea yale Mungu amekuandalia.
Waebrania 12:14 “Tafuteni kwa bidii kuwa na amani na watu wote, na huo utakatifu, ambao hapana mtu atakayemwona Bwana asipokuwa nao.” Tazama Chache

IBADA YA MAOMBI NA MFUNGO | SIKU YA 21 | 21.5.2026SOMO : TABIA YA MWABUDIOSomo lilifundishwa na Mt. Amosi MwaipopoZaburi...
22/05/2026

IBADA YA MAOMBI NA MFUNGO | SIKU YA 21 | 21.5.2026
SOMO : TABIA YA MWABUDIO
Somo lilifundishwa na Mt. Amosi Mwaipopo

Zaburi 1:1 heri mtu yule AsiyeKwenda katika shauri la wasio haki
wala kusimama katika njia ya wakosaji, wala hakuketi barazani pa wenye mizaha.

Wale wote wanao mwabudu MUNGU katika roho na kweli naye
MUNGU aliwatendea mambo makubwa maana katika kuabudu
tunakuwa tumejiweka au kujitenga na mambo yenye mizaha na kuwa siriazi na MUNGU.





IBADA YA MAOMBI NA MFUNGO | SIKU YA 21 | 21.5.2026Matendo 2:4Wote wakajazwa Roho Mtakatifu, wakaanza kusema kwa lugha ny...
21/05/2026

IBADA YA MAOMBI NA MFUNGO | SIKU YA 21 | 21.5.2026

Matendo 2:4

Wote wakajazwa Roho Mtakatifu, wakaanza kusema kwa lugha nyingine, k**a Roho alivyowajalia kutamka.





IBADA YA MAOMBI NA MFUNGO | SIKU YA 21 | 21.5.2026Mithali 3:3, 4Rehema na kweli zisifarakane nawe; Zifunge shingoni mwak...
21/05/2026

IBADA YA MAOMBI NA MFUNGO | SIKU YA 21 | 21.5.2026

Mithali 3:3, 4

Rehema na kweli zisifarakane nawe; Zifunge shingoni mwako; Ziandike juu ya kibao cha moyo wako. Ndivyo utakavyopata kibali na akili nzuri, Mbele za Mungu na mbele ya mwanadamu.





Address

30165
Kibaha
115

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when efatha church mail moja posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Category