21/01/2026
Jubilei ya Miaka 30 ya Kutabarukiwa Hekalu la Huruma ya Mungu na Uzinduzi wa Parokia ya Kiabakari itaadhimishwa mwakani trh 1/7/2027.
Tunaanza Maadhimisho kwa Mwaka wa Maandalizi ya Kiroho tarehe 4-5/7/2026.
Logo rasmi na kauli-mbiu ya Jubilei ndiyo hii. Shukrani kwa Adeodatus Kakorozya kwa kubuni logo yetu.