01/08/2026
4 Yeye aketiye mbinguni anacheka, Bwana anawafanyia dhihaka.
5 Ndipo atakaposema nao kwa hasira yake, Na kuwafadhaisha kwa ghadhabu yake.
6 Nami nimemweka mfalme wangu Juu ya Sayuni, mlima wangu mtakatifu.