24/01/2023
TAMBUA MUNGU AMEKUPA NINI MAISHANI MWAKO
-vipo vitu mungu AMEKUPA au AMEWEKA MAISHANI mwako Ila umeshindwa kuvitambua Jambo linalofanya uwe K**a kipofu anayepapasapapasa asijue aendako. -(Ezra 1:2)"koresh mfalme wa uajemi asema hivi:bwana , mungu wa mbinguni amenipa falme zote za dunia,,,,,,,,,,,,,,,,ameniagiza nimjengee nyumba katika yerusalemu ulioko yuda". _kiwango Cha nguvu, Imani , mafanikio na utukufu wa mungu anachotembelea mtu anayetambua mungu amempa Nini katika maisha yake ni tofauti na kiwango Cha yule asiyetambua _koreshi alitambua nn mungu AMEWEKA ndani yake ndio Mana UHUSIANO wake na mungu ulikuwa mzuri na mafanikio yake yalitokana na yeye kujua /kutambua kuwa mungu amempa falme zote za dunia. -ukisoma(isaya 45:2-3) mungu anamwambia atampa hazina zilizopo gizani. -sikia sahau kabisaaaaa kupewa hazina zilizopo gizani K**a mpaka Sasa hujatambua nn mungu AMEKUPA au AMEWEKA katika maisha yako. (ufunuo 3:11) "naja upesi, shika Sana ulichonacho,asije mtu akaitwaa taji yako". -utawezaje kushika na kulinda kitu usichojua kipo ndani yako mungu AMEKUPA sahau kabisa aaaaaaa kufanikiwa. -wenzako wachawi,waganga na mabalozi wa kuzimu wamejua kutumia kitu mungu AMEKUPA kwa kuwa hujatambua na kila watumishi wenzako na wengi mungu amewatumia kusema na ww umewadharau Baki na ujuaji wako. (waefeso 4:7-8). ",,,,,,,,,,kila mmoja alipewa neema kwa kadri ya kipimo Cha kipawa chake katika kristo,,,,,,,,,,,,,,,,,,aliteka mateka akawapa wanadamu vipawa".