Mungu ni Nuru

Mungu ni Nuru Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Mungu ni Nuru, Religious Center, Stend, Dodoma.

20/12/2019

Yesu kristo asifiwe sana ..
Somo
Utoaji - Matoleo
Utoaji ni kutoa au kuhamasisha umiliki
Matoleo- ni sadaka mali au fedha ambayo hutolewa kuwapa wastahiki kwaajili ya kupata dhawabu kwa Mungu ..
Ukitaka kufanikiwa lazima uzingatie kipengele hiki cha kutoa .
Tunawaona baba zetu wa imani walifanikiwa sabu walizingatia utoaji
Mwangalie nuhu baada ya kutoka kwenye safina akamtolea Bwana sadaka ili azidishiwe mwanz 8:20 ..
Yupo Ibrahim aliuona uweza wa Mungu kwa kutoa soma mwanz anza13
¶¶¶¶
Wengi wamejua kufanikiwa kupo ila et had uende kwa waganga ,,, nakuambia unapotea wewe na roho yako ingekuwa kunauponyaji huko bas Ayubu angeenda ila alimwamini Mungu akawa hai na kuiponya nafsi yeke.
Hata yule mwanamke alietokwa na damu miaka mingi angekuwa alisha pona lakini had alivyokumbuka alipokosea akaponywa na Yesu huyu unaye mskia nakwambia ndugu mwamini leo ili uuone mkono wake Maana yeye ni Nuru yako alikuja kwaajili yako ili akuokoe na kukubariki... Amen

SOMO.         MUNGU NI NURU.Tangu mwanzo mwanadam alimtegemea sana Mungu japo shetani alijaribu kumfanya Mungu ni mwongo...
11/08/2018

SOMO.
MUNGU NI NURU.
Tangu mwanzo mwanadam alimtegemea sana Mungu japo shetani alijaribu kumfanya Mungu ni mwongo lakini nenolake lilisimama hata
wakati wa Nuhu Bwana akaleta ghalika watu wakafa wote ila
Nuhu alionekana kumpendeza Mungu sana ndipo akafunuliwa kuitengeneza safina ili asiangamie na nyumba yake.Mwanzo 7:-1.
Ndug tambua ya kuwa Mungu ni Nuru maishani mwako
Ishi kwa kumpendeza ili uokolewe wakati wa tabu, mate so, dhiki, na mapito magum.
Kumbuka kuna nyakat kuu 2 alizowekewa mwanadamu
(1) Wakat Wa shida
(2) Wakat Wa raha
Wengi huridhika saaana na wakati huu Wa raha wanamsahau na Mungu kabisa.

Ila unavofika wakati Wa tabu shida na mateso
Wengi huanza kumkumbuka Mungu na kulaum kwamba amewaacha wanasahau yakuwa wakat wa raha kwao walimusahau Mungu wakaenda kwa akili zao.
Mungu anahitaji kitu kimoja kikubwa kwa mwanadamu:-
:-* KUMKUMBUKA NYAKATI ZOTE
Nae atakuwa Nuru kuu kwako

Hauwezi kuwa mshindi bila kuchukua hatua dhidi ya adui yako .Tazama adui yupo tayari kwaajili ya kupigana na wewe Na uki...
31/07/2018

Hauwezi kuwa mshindi bila kuchukua hatua dhidi ya adui yako .
Tazama adui yupo tayari kwaajili ya kupigana na wewe
Na ukilegea atakushinda usipovaa silaa usitegemee kumshinda
Tizama silaa unzostaili kuzivaa ili umshinde adui yako na haziuzwi .
1) Twaa ngao ya imani iliyo kuu katika Yesu Kristo ili kuzima mishale yote ya adui
2) Shika Kweli wala usiiche
3) vaa Drii ya Haki kifuani
4) Vaa buti na kuwa tayari kuhubiri injili ya Yesu Krsto
5) Pokea chepee ya wokovu
6) Upanga wa Roho ambao ni neno la Mungu
7) Nenda na silaa kuu ya Maombi ili ushind use wako daima . Efeso 6:-10-20
Lakini kufanya hivi inakupasa uzingatie Jambo 1tu kuiacha Dunia kwa macho ya damu na nyama na kwenda kwa Roho katika Bwana .
Amino itakwa kwako nuru kuu na Mungu mbele yako. Isaya 60:-1-2.
Jion njema

Ukiwa umepewa neema ya kuwa hai utambue uwepo Wa Bwana katka maisha yako .Maana yeye haachi kutuwazia mema kila wakat .....
28/07/2018

Ukiwa umepewa neema ya kuwa hai utambue uwepo Wa Bwana katka maisha yako .
Maana yeye haachi kutuwazia mema kila wakat .. Unapokuwa kwenye magumu yeye yupo na wewe
Usihis umeachwa wakat Wa jaribu na tabu unayopitia kumbuka yeye ni nuru wala haachi kukutetea.
Daniel 2: 22. Yeye hufunua mambo ya fumbo na ya siri. Huyaju yaliyo gizani, na nuru hukaa kwake.
Yeye ni MUNGU Mkuu hakuna limshindalo hata lakwako anakuja kutoa na nuru itakuangazia. Amen

Address

Stend
Dodoma

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Mungu ni Nuru posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share