Viwawa Jimbo Kuu la Dodoma

Viwawa Jimbo Kuu la Dodoma Viwawa ni chama cha Vijana Wakatoliki Wafanyakazi Tanzania, kwa lugha ya Kiingereza (Tanzania Young Catholic Workers Movement-T.Y.C.W)
JIMBO KUU LA DODOMA.

VIWAWA DODOMA MEDIA Ni chombo cha habari ambacho kinasimamiwa na *VIWAWA* wa Jimbo Kuu Katoliki Dodoma chini ya Uongozi ...
14/07/2025

VIWAWA DODOMA MEDIA

Ni chombo cha habari ambacho kinasimamiwa na *VIWAWA* wa Jimbo Kuu Katoliki Dodoma chini ya Uongozi wa K**ati Tendaji ya *VIWAWA* Jimbo Kuu la Dodoma.

VIWAWA Dodoma media ilizinduliwa rasmi na Baba Askofu Msaidizi wa Jimbo Kuu Katoliki Dodoma *Mha. Wilbroad Henry Kibozi* katika sherehe ya matawi ya Vijana mnamo Tarehe 13 Aprili 2025.

*VIWAWA DODOMA MEDIA* ina dhumuni kubwa la kuhabarisha watu wote ulimweguni juu ya *Kanisa, Siasa, Uchumi na Jamii* kwa ujumla.

*VIWAWA DODOMA MEDIA* inapatikana katika mtandao wa kijamii wa instagram kwa jina la *viwawamedia* na chaneli ya youtube kwa jina la *VIWAWA MEDIA DODOMA*

*Wadau wa kwanza wa media hii ni VIWAWA, hivyo basi wewe k**a kijana: unahimizwa ku-follow akaunti hizo ili media hii iweze kukua na kuwafikia watu wengi zaidi*

*Follow CAMPAING*
instagram


Youtube channel
VIWAWA DODOMA MEDIA

05/05/2025

*Tukwaghanila mumbeya*Ndiooooo, ni hivi: Tunaendelea tulipoishia Jimbo Kuu Katoliki la Tabora: Zamu hii ikiwa ni MBEYAAAAAA, wenyeji wanakwambiajee “Tukwaghanila mumbeya” yaani TUKUTANE MBEYAAAAA 😁😁😁Ni zamu ya Kongamano la VIWAWA kitaifa litalofanyika katika Jimbo Kuu Katoliki Mbeya kuanzia tarehe 13 Agosti hadi 18 Agosti 2025. Gharama ya ushiriki ni sh 135,000/= kwa kila mshiriki ikiwa na mchanganuo ufuatato50,000/= gharama ya ushiriki Mbeya60,000/= nauli ya kwenda na kurudi15,000/= tisheti ya VIWAWA jimbo10,000/= dharuraMwisho wa kutoa mchango ni tarehe 31 Julai 2025VIWAWA wa Jimbo la Dodoma hatujawahi kubaki nyuma katika makongamano haya, mnakumbuka katika kongamano lililopita la Tabora la mwaka 2022 VIWAWA wa Dodoma ndio walishika nafasi ya 2 kwa kuwa na washiriki zaidi ya 300?? Sasa tunasemajeeee, mwaka huu KITAELEWEKA TENA 😁😁😁Liwake jua, inyeshe mvua, TWENZETU MBEYAAAAAAA Viwawa Parokia Ya Moyo Mtakatifu Wa Yesu-Singida Viwawa Usariver Viwawa TanzaniaViwawa Parokia Singida

Mathayo 16:24 “Mtu youote akitaka kuniguata,ajikane mwenyewe, aubebe msalaba wale, anifuate”
29/03/2024

Mathayo 16:24
“Mtu youote akitaka kuniguata,ajikane mwenyewe, aubebe msalaba wale, anifuate”

VIWAWA wote Jimbo la Dodoma tunakutana Parokia ya Kisasa kushiriki Misa Takatifu ya Matawi… Parokia zaidi ya 50 tutakua ...
15/03/2024

VIWAWA wote Jimbo la Dodoma tunakutana Parokia ya Kisasa kushiriki Misa Takatifu ya Matawi… Parokia zaidi ya 50 tutakua hapo.. USIPANGE KUKOSA….!!!

VIWAWA Jimbo Kuu Katoliki tunaungana na Familia na Watanzania wote kuomboleza Kifo cha Aliyekua Rais wa Jamhuri ya Muung...
01/03/2024

VIWAWA Jimbo Kuu Katoliki tunaungana na Familia na Watanzania wote kuomboleza Kifo cha Aliyekua Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania awamu ya Pili Mhe. Ally Hasaan Mwinyi.. K**a Vijana tutaendelea kumkumbuka kwa mazuri yote aliyofanya ndani ya Taifa hili hasa katika kudumisha umoja, amani na Muungano!

24/05/2023
Tuishi kwa Upendo!! maana Mungu alitupenda na hata akamtoa mwanae wa pekee…!!
11/03/2023

Tuishi kwa Upendo!! maana Mungu alitupenda na hata akamtoa mwanae wa pekee…!!

Mstari wa Leo....!!Mungu atubariki sana na asubuhi njema
19/10/2022

Mstari wa Leo....!!
Mungu atubariki sana na asubuhi njema

Mstari wa Leo.....
18/10/2022

Mstari wa Leo.....

R.I.P Malkia Elizabeth
08/09/2022

R.I.P Malkia Elizabeth

Address

Kigamboni
Dodoma
255

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Viwawa Jimbo Kuu la Dodoma posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Place Of Worship

Send a message to Viwawa Jimbo Kuu la Dodoma:

Share