12/05/2026
USIKATE TAMAA⦠MUNGU BADO ANAFANYA NJIA
K**a unapitia maumivu, kuchelewa kwa majibu, kukataliwa, au hali inayokufanya ulie kimya kimya⦠kumbuka hili:
π Mungu hajakuacha.
π Mungu hajakusahau.
π Mungu bado ana mpango mzuri juu ya maisha yako.
π βBwana yu karibu na waliovunjika moyo, huwaokoa waliopondeka roho.β
Zaburi 34:18
Wakati mwingine tunapokuwa dhaifu ndipo Mungu huonyesha nguvu zake zaidi.
Usiogope msimu unaoupitia sasa, kuna ushuhuda unakuja baada ya maumivu haya. β¨
π€ Leo chagua:
β’ Kuendelea kuomba
β’ Kuendelea kuamini
β’ Kuendelea kusimama katika imani
π Hata usipoona njia sasaβ¦ Mungu anaiona kesho yako.