tekeleza amri za Allah

tekeleza amri za Allah DUA ONLINE TV

Kutoka kenye:Niko na 22 years.Nataka kuolewa nje ya Kenya.Maana huku wanaume ni waongo waongo.
17/05/2026

Kutoka kenye:
Niko na 22 years.
Nataka kuolewa nje ya Kenya.
Maana huku wanaume ni waongo waongo.

Niko tayari kuolewa zaidi ya mke mmoja ila mpaka mkeo akubali.K**a amekubali mwambie a comment hapa
16/05/2026

Niko tayari kuolewa zaidi ya mke mmoja ila mpaka mkeo akubali.
K**a amekubali mwambie a comment hapa

MASHALLAH.Huyu dogo unaweza kumwambia je.Comment yako muhimu.
16/05/2026

MASHALLAH.
Huyu dogo unaweza kumwambia je.
Comment yako muhimu.

Ukijibu kwa usahihi utanioa . enzi za mtume Muhammadi (s.a.w.)Mwanamke wa kiyahudi alichukua nywele za mtume kisha akafu...
15/05/2026

Ukijibu kwa usahihi utanioa .
enzi za mtume Muhammadi (s.a.w.)
Mwanamke wa kiyahudi alichukua nywele za mtume kisha akafunga vifungo vya kichawi.
Mtume akawa anaumwa kichwa sana.
Alishuka malaika jibril (a.w)
Akamuelekeza sura za kusoma ili kufungua vile vifundo.
1 je zilikuwa Sur gani?
2 Alisoma mara ngapi ?
3 nini hekima ya tukio hilo?.
Msindi ni mmoja

Tatizo la wanaume ukimtongoza akuoe akishakuoa TU.Atambiwa na ndugu zake ooohhJamaa siku hizi yuko na mshangazi.Mnatukat...
15/05/2026

Tatizo la wanaume ukimtongoza akuoe akishakuoa TU.
Atambiwa na ndugu zake ooohh
Jamaa siku hizi yuko na mshangazi.
Mnatukatisha tamaa nyie wakaka.
Hasa sisi wenyewe mali.
Humu kuna mtu nimempenda.
Sijui nimtongozee!!!?

Asalam alaykum ndugu zangu katika imani.Naomba nikuulize.Mimi ni kiwete,kiziwi,kipovu,Nataka mwanaume k**a mimi.Je una s...
14/05/2026

Asalam alaykum ndugu zangu katika imani.
Naomba nikuulize.
Mimi ni kiwete,kiziwi,kipovu,
Nataka mwanaume k**a mimi.
Je una sifa hizo?

Nataka kuolewa hata na mtu atakayejibu swali langu vizuri.Soma kwa umakini."Enzi za mtume Muhammadi (s.a.w.)Mjukuu wake ...
13/05/2026

Nataka kuolewa hata na mtu atakayejibu swali langu vizuri.
Soma kwa umakini.
"Enzi za mtume Muhammadi (s.a.w.)
Mjukuu wake hassani alipatwa na maradhi.
Mtume alipata shida juu ya maradhi hayo.
Maana yake maradhi hayo yalikuwa magumu.
Kisha alishuka malaika jibril (a.s.) kumpa muongozo.
Akamwambia mola wako amekutolea salaam
Kisha amekuambia kuchukua maji ya mvua uyasomee sura ambayo haina herufi ya (fauف)
Maswali matatu.
1 sura gani hiyo.
2 maji hayo ayasomee mara ngapi.
3 kwanini herufi(fauف)
Usiogope ku comment naweza kukupenda hata k**a hujajibu vizuri mredi umejitahidi.
Nikakupenda.

Taarifa kwa umma.HUYU binti katika posti yake alisema Angependa kuolewa na mtu wa rangi yake.Kweli amepata.Kule Mombasa....
12/05/2026

Taarifa kwa umma.
HUYU binti katika posti yake alisema
Angependa kuolewa na mtu wa rangi yake.
Kweli amepata.
Kule Mombasa.
Kesho kesho mahari inatolewa (milioni kumi)
Tutakuwa live kwenye page yetu kuanzia saa tatu asubuhi.
Usikose.
Unamwambia huyu binti?

Nataka kuolewa hata matala Ila sharti mpaka nikupende.Usinifosi nikupende.Vigezo na masharti kuzingatiwa.
12/05/2026

Nataka kuolewa hata matala
Ila sharti mpaka nikupende.
Usinifosi nikupende.
Vigezo na masharti kuzingatiwa.

Tunaomba radhi kwa hitilafu iliyojitokeza kwenye mtandao wa whotsapp.Sasa huduma hiyo imerekebishwa.Karibu tukupatie mch...
12/05/2026

Tunaomba radhi kwa hitilafu iliyojitokeza kwenye mtandao wa whotsapp.
Sasa huduma hiyo imerekebishwa.
Karibu tukupatie mchumba.
Vigezo.
1 uwe muislamu piwa.
2 tume picha zako.
3 umri wako.
4 mahali unapoishi.
5 kazi yako.
6 mke wangapi.
7 utachangia elfu 1000. Ya bando.
8 nje ya nchi USD 10.
9 Kenya KSH 15.
Ukitimiza vigezo hivyo.
Ndipo utahudumiwa.
Wale ambao tayari wameshatuma.
Tunawaunganisha.
Tafadhali namba hii sio ya kupiga.
Namba ya ofisi..
Nawale wanaoulizia namba angalia kulia kwako kuna sehemu ya whotsapp.
Ponyeza hapo.
Vigezo na masharti kuzingatiwa

K**a kuumizwa imetosha nahitaji changamoto nyingine.Uko tayari au nawewe utaniumiza tena.Nahitaji ndoa nyingine.
11/05/2026

K**a kuumizwa imetosha nahitaji changamoto nyingine.
Uko tayari au nawewe utaniumiza tena.
Nahitaji ndoa nyingine.

Address

Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when tekeleza amri za Allah posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share