St. Aidan Anglican Church-Airport

St. Aidan Anglican Church-Airport Kanisa la Anglikana Mtakatifu Aidano linapatikana dayosisi ya Dar es Salaam, achidikonari ya Ukonga.

24/12/2025

Mkesha wa sikukuu ya kuzaliwa kwa Bwana wetu Yesu Kristo, kanisani Mt. Aidano.

Matukio katika picha wakati wa ibada ya siku ya Jumapili 12/10/2025. Shule ya watoto wa Jumapili kutoka kanisa la Mt. Ai...
19/10/2025

Matukio katika picha wakati wa ibada ya siku ya Jumapili 12/10/2025. Shule ya watoto wa Jumapili kutoka kanisa la Mt. Aidano waliandaa igizo la kisa cha Daniel kwa namna alivyosimamia imani yake bila kumkana Mungu. Siku hiyo ilikuwa ni Sikukuu ya Mikael na Watoto, siku ambayo huazimishwa kila mwaka.

MATUKIO KATIKA PICHA WAKATI WA IBADA YA JUMUIYA ZOTE & KUTEGEMEZA WATUMISHI 27/09/2025 KANISANI MT. AIDANO-KARAKATA. IBA...
28/09/2025

MATUKIO KATIKA PICHA WAKATI WA IBADA YA JUMUIYA ZOTE & KUTEGEMEZA WATUMISHI 27/09/2025 KANISANI MT. AIDANO-KARAKATA.
IBADA HII MAALUM HUFANYIKA KILA JUMAMOSI YA MWISHO YA MWEZI BAADA YA MIEZI MITATU.

"sisi tunasonga mbele"

Heri ya siku ya kuzaliwa kwa kasisi wa Mtaa wa Mt. Aidano. Mwenyezi Mungu akujalie afya njema na maono katika kuendeleza...
01/08/2025

Heri ya siku ya kuzaliwa kwa kasisi wa Mtaa wa Mt. Aidano. Mwenyezi Mungu akujalie afya njema na maono katika kuendeleza kanisa lake.

29/07/2025

Ibada ya Jumapili kanisani 27/07/2025. Changizo la kila mwisho wa mwezi Jumuiya ya Mt. Petro aliibuka mshindi wa jumla na kukabidhiwa kombe la ushindi na Rev. Fr. Baliko. "Sisi tunasonga mbele"

Ibada ya Jumapili kanisani Mt. Aidano Karakata iliambatana na tukio la changizo kutoka kwenye Jumuiya. Jumuiya ya Mt. Yo...
07/07/2025

Ibada ya Jumapili kanisani Mt. Aidano Karakata iliambatana na tukio la changizo kutoka kwenye Jumuiya. Jumuiya ya Mt. Yohana iliibuka mshindi wa jumla kati ya Jumuiya saba zilizopo na kukukabidhiwa kombe la ushindi na Kasisi Gerikoshua Baliko.
"sisi tunasonga mbele"

 Ibada ya Siku ya Bwana kanisani Mt. Aidano-Karakata, kwaya ya   na  wanafunzi wa shule ya Jumapili (Sunday School) waki...
15/06/2025


Ibada ya Siku ya Bwana kanisani Mt. Aidano-Karakata, kwaya ya na wanafunzi wa shule ya Jumapili (Sunday School) wakiimba wimbo mbele ya waumini. Hii ni kudhihirisha namna walivyojiandaa kuelekea tamasha kubwa la uimbaji kwa Dayosisi ya Dar es salaam litakalifanyika kanisa la Anglikana Mt. Batholomayo-Ubungo.
Luka 18:16
"Bali Yesu akawaita waje kwake, akasema, Waacheni watoto wadogo waje kwangu, wala msiwazuie, kwa kuwa watu k**a hao ufalme wa Mungu ni wao."

  Kasisi wa Mtaa wa Mtakatifu Aidano Rev. Fr. G. Baliko akiwa kwenye picha ya pamoja na waumini wa kutoka Jumuiya ya Mta...
12/06/2025


Kasisi wa Mtaa wa Mtakatifu Aidano Rev. Fr. G. Baliko akiwa kwenye picha ya pamoja na waumini wa kutoka Jumuiya ya Mtakatifu Yohana, mara baada ya kuibuka washindi katika harambee ya kila mwisho wa mwezi inayofanyika kanisani kwetu. Tukio hili lilitokea Jumapili ya tarehe 25/05/2025.
Karibu kanisani kwetu tuabudu pamoja. 🙏

09/06/2025

"Heri ya mwanzo wa wiki leo tarehe 09 Juni 2025. Wiki hii ikawe yenye baraka kwako na Mwenyezi Mungu akutangulie katika shughuli zako za kukuingizia kipato, usisahau tu kumtanguliza na kumshukuru Mungu kwa kila unalofanya. 🙏" Admin

Address

Anglican Church, DSM Diocese
Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when St. Aidan Anglican Church-Airport posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share