15/06/2025
LUKA 18οΌ1
Akawaambia mfano, ya kwamba imewapasa kumwomba Mungu sikuzote, wala wasikate tamaa.
Maombi ndio moja ya njia ya Kiroho ya kuingiza imani katika matendo.
Kanisa la FPCT EWC KIJICHI tunaamini katika maombi k**a njia pekee ya kufanya mambo magumu yasiyowezekana yawezekane kwa msaada wa Roho Mtakatifu.
Ibada
15/06/2025