BMMH Mbezi beach Online

BMMH Mbezi beach Online Ukurasa Rasimi wa Parokia ya Bikira Maria Mama wa Huruma (BMMH) mbezi beach.

TAARIFA:Baba Mtakatifu Papa Leo XIVAmemteua Mhashamu Wilbroad Kibozi Askofu Msaidizi waJimbo Kuu la Dodoma kuwa Msimamiz...
22/04/2026

TAARIFA:
Baba Mtakatifu Papa Leo XIV
Amemteua Mhashamu Wilbroad Kibozi Askofu Msaidizi wa
Jimbo Kuu la Dodoma kuwa Msimamizi wa Kitume wa Jimbo Katoliki Kondoa kufuatia kifo cha Askofu wake Mhashamu
Bernadin Francis Mfumbusa.

Uteuzi huo Umetangazwa na Balozi wa Papa Nchini Tanzania Mhashamu Askofu Mkuu Angelo Accatino na unaanza Leo
April 22 2026.

MATUKIO PICHA.Msafara wa Ma MaPadri kuelekea kwenye Adhimisho la Misa katika Kanisa kuu la Mt Yohane Paul wa Msalaba, kw...
21/04/2026

MATUKIO PICHA.

Msafara wa Ma MaPadri kuelekea kwenye Adhimisho la Misa katika Kanisa kuu la Mt Yohane Paul wa Msalaba, kwa ajili ya kumwaga Mhashamu Bernadin Mfumbusa (1962 - 2026)

MATUKIO PICHA.Jeneza lililobeba mwili wa Marehemu Mhasham Bernadin Mfumbusa.
21/04/2026

MATUKIO PICHA.

Jeneza lililobeba mwili wa Marehemu Mhasham Bernadin Mfumbusa.

MATUKIO PICHA.Msafara wa Ma Askofu kuelekea kwenye Adhimisho la Misa katika Kanisa kuu la Mt Yohane Paul wa Msalaba, kwa...
21/04/2026

MATUKIO PICHA.

Msafara wa Ma Askofu kuelekea kwenye Adhimisho la Misa katika Kanisa kuu la Mt Yohane Paul wa Msalaba, kwa ajili ya kumwaga Mhashamu Bernadin Mfumbusa (1962 - 2026)

09/04/2026

IKAWE WIKI YA NEEMA NA BARAKA KWAKO NA KWA FAMILIA YAKO

05/04/2026

SALAMU ZA PASAKA KUTOKA KWA FR ROGASIAN MSAFIRI PAROKO WA BMMH MBEZI BEACH.

03/04/2026
02/04/2026
MISA TAKATIFU YA KUBARIKI MAFUTA YA WAKATEKUMENI NA WAGONJWA NA KUWEKA WAKFU MAFUTA YA KRISMAPicha mbalimbali ni wakati ...
31/03/2026

MISA TAKATIFU YA KUBARIKI MAFUTA YA WAKATEKUMENI NA WAGONJWA NA KUWEKA WAKFU MAFUTA YA KRISMA

Picha mbalimbali ni wakati wa Misa Takatifu ya kuwekwa
wakfu Krisma Takatifu & kubariki Mafuta ya Wagonjwa & Wakatekumeni sambamba na Sherehe ya Mapadre wa Jimbo
Kuu la Dar es Salaam.
- Misa Takatifu imeadhimishwa na Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu
la Dar es Salaam, Mhashamu Jude Thaddaeus Ruwa ‘ichi OFMCap, pia imehudhuliwa na Askofu Mkuu Angelo Accatino, Balozi wa Baba Mtakatifu nchini Tanzania, Mhashamu Henry
Mchamungu, Askofu Msaidizi wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mapadre, watawa na waumini kutoka Parokia mbalimbali ndani ya Jimbo la Dar es salaam.

MATUKIO KWA PICHA:DOMINIKA YA MATAWI PAROKIA YA BIKIRA MARIA MAMA WA KANISA GOBAMisa hii imeongozwa na Askofu Msaidizi H...
29/03/2026

MATUKIO KWA PICHA:

DOMINIKA YA MATAWI PAROKIA YA BIKIRA MARIA MAMA WA KANISA GOBA
Misa hii imeongozwa na Askofu Msaidizi Henry Mchamungu, Askofu msaidizi wa Jimbo kuu la Dar es salaam.

Address

Mbezi Beach/shule
Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when BMMH Mbezi beach Online posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share