18/11/2024
POLENI KARIAKOO!!
Nimewaza sana!!😭 Pengine alitamani kuahirisha aende kesho yake, lakini akaona awahi tu aimalize ratiba ya siku hiyo! Akaondoka zake kwenda kariakoo kutafuta maana alijua hakuna atakayemsaidia kuwalea watotot wake😥 Mwanamke shupavu lakini hakujua kilichoandaliwa mbele yake. LAITI K**A TUNGEWASKILIZA MANABII, Tukawa na sauti yenye kuona, kinywa chenye macho hakika tungeokoka! Mwamini Yesu leo! Waaminini MANABII🙌🏽