08/09/2026
JIJI LA ARUSHA LIMEITIKIA WITO WA NENO LA MUNGU KWA SIKU TATU MFULULIZO KWENYE KONGAMANO LA MALANGO YAKO NAYO KUWA WAZI DAIMA....MAELFU NA MAMIA YA WAUMINI WALIFURIKA KATIKA VIWANJA VYA MAGEREZA,KISONGO KUMPOKEA MTUMISHI WA MUNGU HUYU NI MTUME BONIFACE MWAMPOSA BULLDOZER...
Shukrani kubwa kwa wakazi wote wa ARUSHA 💛⛰️
Kwa upendo, ukaribisho na mapokezi ya dhati kwa Mtumishi wa Mungu, Mtume Mwamposa.
Arusha umeonyesha tena kuwa ni mji wa watu wa Mungu.
Mliofungua milango yenu.
Mliofungua nyoyo zenu.
Mliojaa makanisani kumsikia Neno la uzima.
Mungu wa Mtume Mwamposa na Mungu wa miujiza awabariki nyinyi na familia zenu.
Awafungulie malango ya kazi, biashara na amani katika mji wenu.
Kila aliyepokea Neno na kuombewa, apokee shuhuda yake..
📝Enock Iku
Tunashukuru Arusha!
Mungu atubariki sote.