Uwepo Tv

Uwepo Tv EBENEZER Shalom Ministry

(Word of The Most High)
12 Ndipo Samweli akatwaa jiwe, na kulisimamisha kati ya Mispa na Sheni, akaliita jina lake Eben-ezeri akisema, Hata sasa Bwana ametusaidia.
1 Samweli 7:12

*YESU (YAHUSHA) AMEFUFUKA*Katika jina la Yesu Kristo mambo yako nawewe mtu wa Mungu leo yakafufuke, 1. Yale yaliyokufa k...
05/04/2026

*YESU (YAHUSHA) AMEFUFUKA*
Katika jina la Yesu Kristo mambo yako nawewe mtu wa Mungu leo yakafufuke,
1. Yale yaliyokufa kwasababu ya hila zao adui, yakafufuke leo
2. Biashara yako ikafufuke
3. Mawazo mazuri yake maendeleo yako yakafufuke leo kwa jina lako Yesu
4. Elimu yako iliyozikwa ikafufuke leo
5. Kazi yako ilizozikwa katika ulimwengu wa roho, ikafufuke sasa
Na pale ulipozikwa katika ulimwengu wa Roho ukafufuke leo, ukakafufuke sasa ili 'na katika ulimwengu wa mwili ukapate kibali.

Heri ya PASAKA (passover)
SERVANT: Franklin_Henocko

03/03/2026

*MUNGU AKOMESHE MATESO YAKO*
Unataka mateso yako yakomeshwe na Mungu?
*Swali*
Je atayakomeshaje k**a wewe moyo wako haupo kwake?

_*Mathayo 6:33* Bali utafuteni kwanza ufalme wake, na haki yake; na hayo yote mtazidishiwa._

_*Mathayo 22:37* Akamwambia, *Mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote,* na kwa roho yako yote, na kwa akili zako zote._

*Zingatia*
Kwa moyo wako wote na akili zako zote maana yake kuwaza vyema juu ya Bwana Mungu wetu na hapo yeye Mungu Baba muumba atakomesha mateso yako yote

Barikiwa kwa Jina la Yesu Kristo mwana wa Mungu aliyehai

SERVANT: Franklin_Henocko

14/02/2026

1 Wakorintho 13:4-6
4 Upendo huvumilia, hufadhili; upendo hauhusudu; upendo hautakabari; haujivuni;

5 haukosi kuwa na adabu; hautafuti mambo yake; hauoni uchungu; hauhesabu mabaya;

*6 haufurahii udhalimu, bali hufurahi pamoja na kweli;*

NB:
Kweli ya Mungu ikajae kwenye mahusiano yenu.

Barikiwa
SERVANT: Franklin_Henocko

01/01/2026

Zaburi 65:
(Psalms) _11. *Umeuvika mwaka taji ya wema wako*; Mapito yako yadondoza unono._
---------------
You crown the year with Your goodness, And Your paths drip with abundance

09/12/2025

*IJUE KWELI UKAWE HURU*
Kweli ya
1. Yesu Kristo Messiyah ndio njia ya kweli na uzima, mtu haendi mbinguni bila kumpokea Yesu kuwa Bwana na mwokozi wake wa maisha na hakuna mwingine tunaempokea k**a mwokozi au kuomba kupitia yeye huyo asiye Yesu.
2. Lazima uishi katika TOBA na unyenyekevu, kuomba, kuacha njia mbaya na kuutafuta uso wa Mungu UTASIKIWA na Mungu na utaponywa *2 M.Nyakati 7:14*
3. Shika AMRI 10 za Mungu na uziishi.
4. Jua kweli kuwa wewe ndio kanisa na hekalu la Roho Mtakatifu.
5. Jua kweli kwamba UBATIZO wa YESU ndio ubatizo wa mfano wa kufanywa na wote k**a unataka kufanana na Yesu k**a unavyosema moyoni
zipo kweli nyingi,.ila leo pokea hizi.

Barikiwa
SERVANT:Franklin_Henocko

WANAOPIGANA NAWEWE WANAKUJUA, UNAWAJUARafiki zako wenye wivu, Ndugu zako wenye wivu, Wafanyakazi wenzako wenye wivu, Mke...
04/05/2025

WANAOPIGANA NAWEWE WANAKUJUA, UNAWAJUA
Rafiki zako wenye wivu,
Ndugu zako wenye wivu,
Wafanyakazi wenzako wenye wivu,
Mke au mume.

KIFUPI: mtu asiyekujua anapambana nawewe kwa Sababu zipi. Anaekusaliti (Yuda, Delila, hawa n.k anakujua

Bwana Yesu Kristo asifiwe.
SERVANT: Franklin_Henocko

Barikiwa
29/04/2025

Barikiwa

Address

Dar Es Salaam
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Uwepo Tv posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Place Of Worship

Send a message to Uwepo Tv:

Share