22/02/2024
MASHINDANO YA UTUNZI WA MASHAIRI NA INSHA
⏺️ Tuwafunze Swala Initiative inawaalika wanafunzi wote wa shule za msingi na sekondari kushiriki katika mashindano ya utunzi wa mashairi na insha!
⏺️ Mada yetu ni: Ibada ya swala na maendeleo kwa jamii.
⏺️ Kushiriki ni rahisi, tuma kazi yako katika mfumo wa PDF kupitia WhatsApp namba: +255 735 393 991 kabla ya tarehe 31 Machi 2024.
Kumbuka:-
📌 Tumia lugha moja tu kati ya Kiswahili au Kingereza
📌Weka taarifa zako kamili ikiwa ni pamoja na Jina lako, Shule pamoja na Kidato au Darasa.
⏺️ Tunahimiza kila mtu kusambaza ujumbe huu kwa marafiki na famili ili kupata idadi nzuri ya washiriki.
⏺️ Wasiliana nasi kupitia kurasa za mitandao ya kijamii, au tuandikie kupitia baruapepe: [email protected]