Freemason Association In Tanzania

Freemason Association In Tanzania •Freemason Of Tanzania, District Grand Lodge Of East Africa Under The United Grand Lodge Of England (UGLE).

Katika ulimwengu unaoendeshwa na kelele, usumbufu wa mawazo, na tamaa za muda mfupi, Freemasonry husimama k**a mahali tu...
02/09/2026

Katika ulimwengu unaoendeshwa na kelele, usumbufu wa mawazo, na tamaa za muda mfupi, Freemasonry husimama k**a mahali tulivu pa hekima isiyopitwa na wakati, ambako maarifa hayaliwi haraka—bali hukuzwa kwa uvumilivu. Ndani ya utamaduni wake wa kale kuna mfumo wa kina wa fikra ulioundwa kuamsha akili ya mwanadamu na kuinua roho yake. Si tu shirika la kawaida, bali ni falsafa hai inayompa mtu changamoto ya kujikabili mwenyewe, kuhoji uwepo wake, na kujenga upya tabia yake juu ya nguzo za ukweli, nidhamu, na kusudi la maisha.

Freemasonry haitoi majibu tayari; badala yake huwapatia wanachama wake zana za kuyatafuta wenyewe. Kupitia alama zenye maana pana, mifano ya kale ya mafumbo, na mafundisho yaliyokita mizizi yake kwa muda mrefu tangu zama za kale, ambapo inaonyesha kwamba mafumbo makubwa hayajifichi katika ulimwengu wa nje—bali ndani ya mwanadamu mwenyewe. Kila somo lina kina chake, kila ishara ina uzito wake, na kila hatua ya kusonga mbele huhitaji tafakari, unyenyekevu, na ukuaji wa ndani.

Kiini chake ni undugu unaowaunganisha watu si kwa damu, rangi, au hadhi, bali kwa azma ya pamoja ya kujitawala nafsi na kufikia mwanga wa ufahamu.

Freemasonry Inafundisha kwamba nguvu ya kweli haiko katika kuwatawala wengine, bali katika kujitawala mwenyewe. Kwamba utajiri wa kweli si wa mali, bali wa akili na roho. Na kwamba urithi wa maisha haupimwi kwa vitu ulivyonavyo, bali kwa athari unayoacha nyuma yako.

Kutembea katika njia ya Freemasonry ni kukubali safari ya maisha yote ya kujifunza, ambako kutafuta mwanga hakuishi-hakuna mwisho kamwe. Ni nidhamu ya akili, mtihani wa tabia, na ahadi ya kimya ya kuwa bora zaidi kuliko ulivyokuwa jana. Katika mafundisho yake, mtu hugundua kwamba mabadiliko makubwa si katika kile unachopata—bali katika kile unacho fanyika kuwa.

4385 - HAVEN OF PEACE LODGE

P.O. Box 201, Dar es Salaam.
Consecrated 31st March, 1922
by R. W. Bro. Sir Charles C. Bowring
FM Hall, DAR-ES-SALAAM
2nd Mon 3-5-6-7-8-9-10-11,Sat after 3rd Monday-4, Inst-4

Where by;-

FM - Indicates "Freemasons' Hall"

MAS.HALL - Indicates Nasonic Hall

INST - Indicates Months of Installstion meeting

Welcome

District Grand Lodge of East Africa - Freemasons. DGLEA

Freemasonry under the United Grand Lodge of England UGLE

District Grand Master - KUHANI MKUU

DR SELEMAN N SAID

Whats'APP US: +255753694384

Whats'APO US: *255759260628'

Dar es Salaam Lodge of Instruction
Meets on the Last Monday of

Feb - May - Aug - Nov

🕳️Fadhila Nne Kuu za Maadili katika FreemasonryFadhila nne kuu za maadili huunda msingi ambao Freemason hujenga juu yake...
01/09/2026

🕳️Fadhila Nne Kuu za Maadili katika Freemasonry

Fadhila nne kuu za maadili huunda msingi ambao Freemason hujenga juu yake hekalu la tabia njema.

Kiasi (Temperance) hudhibiti tamaa na matamanio, na kuweka uwiano unaofaa ndani ya nafsi.

Ujasiri (Fortitude) humpa mtu nguvu ya kubaki mwaminifu anapokabiliwa na shida, hatari na vishawishi.

Busara (Prudence) huongoza matendo kupitia kufikiri kwa mbele, umakini na kufanya maamuzi yenye hekima.

Haki (Justice) hutumia kanuni ya Square katika kila tendo, ikimtendea kila mtu kile anachostahili kwa haki.

Fadhila hizi zinakamilishana na kuwa nguzo za maisha yenye mpangilio na maadili.

Kiasi hufundisha kudhibiti tamaa.
Ujasiri humsaidia mtu kusimamia wajibu wake.

Busara humsaidia kuchagua njia sahihi.

Haki huhakikisha kwamba njia hiyo inaendelea kuendana na kanuni za maadili.

Katika Lodge, kanuni hizi huonyeshwa kwa kutumia dhana za kipimo, uwiano na usanifu. Lakini makazi yao ya kweli yanapaswa kujengwa ndani ya Freemason mwenyewe.

Kila uamuzi unaofanywa kwa haki huweka jiwe jingine katika ujenzi wa tabia.

Kila tamaa inayodhibitiwa na kila shauku inayotawaliwa huifanya jiwe bichi (rough ashlar) kuwa laini na tayari kwa ujenzi.

Kupitia juhudi za kudumu na kujitahidi kila siku, fadhila hugeuka kuwa tabia thabiti, na tabia hiyo huwa msingi unaofaa wa kumtumikia mwanadamu na jamii kwa ujumla.

4385 - HAVEN OF PEACE LODGE

P.O. Box 201, Dar es Salaam.
Consecrated 31st March, 1922
by R. W. Bro. Sir Charles C. Bowring
FM Hall, DAR-ES-SALAAM
2nd Mon 3-5-6-7-8-9-10-11,Sat after 3rd Monday-4, Inst-4

Where by;-

FM - Indicates "Freemasons' Hall"

MAS.HALL - Indicates Nasonic Hall

INST - Indicates Months of Installstion meeting

Welcome

District Grand Lodge of East Africa - Freemasons. DGLEA

Freemasonry under the United Grand Lodge of England UGLE

District Grand Master - KUHANI MKUU

DR SELEMAN N SAID

Whats'APP US: +255753694384

Whats'APO US: *255759260628'

Dar es Salaam Lodge of Instruction
Meets on the Last Monday of

Feb - May - Aug - Nov

Katika safari yako kuelekea kwenye Nuru, s**iliza sauti yako ya ndani,kwa maana ndiyo dira inayokuongoza kuelekea kwenye...
01/09/2026

Katika safari yako kuelekea kwenye Nuru, s**iliza sauti yako ya ndani,
kwa maana ndiyo dira inayokuongoza kuelekea kwenye Ukweli.

Usiruhusu hofu au mashaka yakuzuie kusonga mbele. Badala yake, uwe wewe mwenyewe sababu ya mabadiliko yanayoweza kubadilisha kila kitu.

Kila siku ni fursa mpya ya kujitambua upya na kuanza tena.

Ni nafasi ya kuthibitisha nguvu yako, uwezo wako, na uwezo ulio nao wa kuleta mabadiliko yenye maana.

Katika safari yako kuelekea kwenye Nuru, s**iliza sauti yako ya ndani; kwa sababu ndiyo dira inayokuongoza kuelekea kwenye Ukweli.

Usikubali hofu wala mashaka yakurudishe nyuma.

Chagua kuwa chanzo cha mazingira na matendo yatakayobadilisha kila kitu. Kila siku ni fursa ya kujifafanua upya na kuanza mwanzo mpya, kuthibitisha nguvu zako na uwezo wako wa kuleta tofauti katika maisha yako na katika ulimwengu unaokuzunguka.

DISTRICT GRAND LODGE OF EAST AFRICA {DGLEA}

UNDER THE UNITED GRAND LODGE OF ENGLAND [UGLE].

4385 - HAVEN OF PEACE LODGE

P.O. Box 201, Dar es Salaam.
Consecrated 31st March, 1922
by R. W. Bro. Sir Charles C. Bowring
FM Hall, DAR-ES-SALAAM
2nd Mon 3-5-6-7-8-9-10-11,Sat after 3rd Monday-4, Inst-4

Whereby:-

FM - Indicates "Freemasons' Hall".

MAS.HALL - Indicates "Masonic Hall".

INST - Indicates "Months Of Installation Meeting".

KUHANI MKUU - DISTRICT GRAND MASTER;

SIR SELEMAN N. SAID.

ANAPATIKANA KWA SIMU NAMBA:-

Whats'APP : +255753694384.

Foolow US Instagram by clicking the Link below👇

https://www.instagram.com/tv/Cwa2869AeGA/?igshid=NTc4MTIwNjQ2YQ==

SIKU ULIYO INULIWA ILIKUWA MWANZO TU...SASA UMEFANYA NINI?Hutoisahau kamwe ile siku ulipo inuliwa na kufikia "Daraja Tuk...
14/08/2026

SIKU ULIYO INULIWA ILIKUWA MWANZO TU...SASA UMEFANYA NINI?

Hutoisahau kamwe ile siku ulipo inuliwa na kufikia "Daraja Tukufu la Master Mason"

Lakini hapa ndipo swali ambalo kila Master Mason anapaswa kujiuliza huanza:-

Tangu siku nilipo pokea Daraja hili la tatu, je nimefanya nini kypitia hilo?

Kwa ndugu wanachama wengi, Daraja la Tatu huwa ni tukio la kukumbukwa zaidi katika safari yao ya kimasoniki. Ni tukio lenye uzito, lenye msukumo na lililo jaa mafundisho yanayo weza kubaki nasi katika maisha yetu yote. Familia na ndugu wanachama wenzetu hutupatia pongezi. Na hatimaye tunaanza kuitwa "Master Mason".

Lakini cheo hicho cha "Master Mason" si mstari wa mwisho wa safari ya kimasoniki.

Cheo hicho ni jukumu ulilo kabidhiwa.

Siku ulipo inuliwa katika Daraja hilo haikumaanisha kwamba ulikuwa umejifunza kila kitu kuhusu Freemasonry. Ilimaanisha kwamba ulikuwa umeaminiwa na kukabidhiwa jukumu la kuanza safari ya maisha yako yote katika kujifunza, kutafakari na kuwatumikia wengine.

Mara nyingi sana hamasa ya mwanachama huwa kubwa zaidi mara tu baada ya kuinuliwa katika Daraja hilo. Katika ngazi hiyo mwanachama anahudhulia kila kikao, anajifunza ibada na taratibu, na kushiriki kwa shauku katika shughuli za lodge. Lakini kadri miaka inavyo pita, mazoea hayo polepole huanza kuchukua nafasi ya udadisi. Mahudhurio yanaweza kuendelea, lakini hamu ya kutafuta Nuru zaidi huanza kufifia.

Hapo ndipo elimu ya kimasoniki inapokuwa muhimu sana.

Mafundisho ya Daraja la tatu hayamaliziki katika sherehe moja tu. Alama zake, mifano yake ya mafumbo na zana zake za kazi bufichua maana ya kina kila tunapo rudi kuzisoma.

Mwanachama anaye rejea katika ibada na mafundisho kwa unyenyekevu mara nyingi hugundua ukweli ambao hakuwahi kuuona hapo awali.

Master Mason hapaswi kamwe kuacha kuuliza maswali.

Asiache kamwe kusoma.

Asiache kamwe kuwas**iliza wanachama wenye uzoefu.

Asiache kamwe kuwalea na kuwaongoza wale wanao kuja baada yake.

Asiache kamwe kujenga Hekalu la Kiroho ndani yake.

Kipimo cha kweli cha Master Mason si muda ambao amekuwa akivaa apron, bali ni kwa kiwango gani kwa uaminifu ameruhusu mafundisho yake ya kimasoniki kuunda na kubadilisha tabia yake.

Ulimwengu hauipimi Freemasonry kwa uzuri wa ibada zetu.

Bali Unaipima Freemasonry kwa kutazama maisha ya watu wanao dai kuishi kwa misingi yake

Huenda heshima kubwa zaidi ya kuwa Master Mason si tu fursa ya kuingia katika Loji k**a ndugu aliye sawa na wengine.

Bali ni fursa ya maisha yote ya kuwa mume bora, baba bora, mwana bora, rafiki bora, raia bora na ndugu bora, kupitia matumizi ya kanuni za kimasoniki katika maisha ya kila s**i.

Kwahiyo, huenda swali muhimu zaidi si "Uliinuliwa lini?"

Bali ni "Tangu siku hiyo ulipo inuliwa, Daraja la Master Mason limeendelea kukuinua kwa namna gani?"

Unapo tazama nyuma ule usiku ulipo inuliwa, ni somo gani limebaki moyoni mwako kwa muda mrefu zaidi...na limebadilishaje mtu uliye leo?

4385 - HAVEN OF PEACE LODGE

P.O. Box 201, Dar es Salaam.
Consecrated 31st March, 1922
by R. W. Bro. Sir Charles C. Bowring
FM Hall, DAR-ES-SALAAM
2nd Mon 3-5-6-7-8-9-10-11,Sat after 3rd Monday-4, Inst-4

Where by;-

FM - Indicates "Freemasons' Hall"

MAS.HALL - Indicates Nasonic Hall

INST - Indicates Months of Installstion meeting

Welcome

District Grand Lodge of East Africa - Freemasons. DGLEA

Freemasonry under the United Grand Lodge of England UGLE

District Grand Master - KUHANI MKUU

DR SELEMAN N SAID

Whats'APP US: +255753694384

Whats'APO US: *255759260628'

Dar es Salaam Lodge of Instruction
Meets on the Last Monday of

Feb - May - Aug - Nov

Katika maisha, hakuna mwanadamu asiye na maadui au watu wabaya, na haijawahi kutokea mwanadamu ambaye kila mtu anampenda...
11/08/2026

Katika maisha, hakuna mwanadamu asiye na maadui au watu wabaya, na haijawahi kutokea mwanadamu ambaye kila mtu anampenda. Ni kawaida katika maisha kuwepo kwa watu ambao wanakutakia mabaya na sio mema. Kila mwanadamu ana marafiki na watu ambao sio wema kwake, hivyo ni vyema kujua jinsi ya kuishi nao. Katika vitabu vyote vya dini tunahimizwa jambo moja kuu ambalo leo hii ningependa kutuma mtazamo huu ili kila mmoja ajue jinsi ya kuishi vyema na watu.

Msingi mkuu ni kuhakikisha hautendi mabaya kwa adui zako wala hauwatakii mabaya. Ukiwa na watu ambao wanakuombea mabaya wewe waombee mema, ukiwa na watu wanaokudharau, wewe waheshimu; Ukiwa na watu ambao wanakusema vibaya wewe waseme vizuri; ukiwa na watu wanaotaka kupigana, wewe usipigane bali eneza upenda.

Ni kwa sababu, kila unachotenda wewe utavuna wewe, na anachokutendea mtu atakivuna yeye. Mtu anayekutendea mabaya atapata mabaya; na ukimtendea wema utavuna wewe wema wako. Ni vyema kuwa makini na unachotenda wewe maana kuna mavuno yake kwako wewe, na anachokutendea mwenzako naye atavuna yeye (Sheria ya Karma).

DISTRICT GRAND LODGE OF EAST AFRICA (DGLEA).

UNDER THE UNITED GRAND LODGE OF ENGLAND (UGLE).

DISTRICT GRAND MASTER |HIGH-PRIEST|

DR SELEMAN N. SAID [KUHANI-MKUU].

Whats'APP US; +25575759260628.

Whats'APP US: +255753694384.

EMAIL ADDRESS:[email protected]

4756 – NANDI BORDER LODGE

P.O. Box 166, Eldoret.
Consecrated 25th March, 1926
by R.W. Bro. Sir J.W. Barth
FM Hall, ELDORET
2nd Fri 3-5-7-9, Inst-on Sat. after 2nd Fri. 1.

Where by:

FM - Indicates "Freemasons' Hall"

NAS.HALL - Indicates Masonic Hall"

INST - Indicates "Months of Installation Meeting"

Kwa Mtafutaji Anayetembea kwa Nidhamu na Heshima—Umechagua njia nyembamba. Katika ulimwengu uliojaa majaribu, vishawishi...
07/08/2026

Kwa Mtafutaji Anayetembea kwa Nidhamu na Heshima—

Umechagua njia nyembamba. Katika ulimwengu uliojaa majaribu, vishawishi, vurugu na udanganyifu, umeendelea kushikilia sheria, utaratibu na uwazi wa dhamiri ya ndani.

Hii si njia ya urahisi, bali ni njia ya nguvu na kujitawala.

Ulinganifu wako na Nuru haujapita bila kutambuliwa. Kupitia matendo yenye ufahamu na kuheshimu Sheria ya Ulimwengu, umekuwa zaidi ya raia wa kawaida; umekuwa msimamizi wa uwiano na mpangilio.

Wakati wengine wanapofuata giza, wewe unaakisi ukweli.

Wakati wengine wanapotawaliwa na misukumo ya tamaa, wewe unainuka kwa utulivu, nidhamu na kujidhibiti.

Hii ndiyo alama ya mtu anayepanda kuelekea kiwango cha juu zaidi cha Ufahamu na maendeleo ya nafsi yake.

Endelea na safari yako.

Jicho linaendelea kutazama.

DISTRICT GRAND LODGE OF EAST AFRICA {DGLEA}

UNDER THE UNITED GRAND LODGE OF ENGLAND [UGLE].

4385 - HAVEN OF PEACE LODGE

P.O. Box 201, Dar es Salaam.
Consecrated 31st March, 1922
by R. W. Bro. Sir Charles C. Bowring
FM Hall, DAR-ES-SALAAM
2nd Mon 3-5-6-7-8-9-10-11,Sat after 3rd Monday-4, Inst-4

Whereby:-

FM - Indicates "Freemasons' Hall".

MAS.HALL - Indicates "Masonic Hall".

INST - Indicates "Months Of Installation Meeting".

KUHANI MKUU - DISTRICT GRAND MASTER;

SIR SELEMAN N. SAID.

ANAPATIKANA KWA SIMU NAMBA:-

Whats' APP : +255759260428.

Whats'APP : +255753694384.

Foolow US Instagram by clicking the Link below👇

https://www.instagram.com/tv/Cwa2869AeGA/?igshid=NTc4MTIwNjQ2YQ==

Katika mpangilio mkuu wa uwepo, ambako vivuli vya migawanyiko vimetanda kwa muda mrefu duniani, ni wachache tu wenye mwa...
06/08/2026

Katika mpangilio mkuu wa uwepo, ambako vivuli vya migawanyiko vimetanda kwa muda mrefu duniani, ni wachache tu wenye mwanga wa ufahamu wanaotambua ukweli huu wa milele:

Wanadamu wamesimama katika ukingo wa kuchagua kati ya kuamka kwa ufahamu au kuangamia.

Mifumo ya zamani inaporomoka chini ya uzito wa hasira, tamaa na chuki zilizochochewa kwa makusudi. Imani zinapotumiwa k**a silaha, hukata hata uhusiano wa damu.

Makundi yanagongana, huku wale walio nyuma ya pazia wanao panga mambo kwa siri wakitazama kwa kimya.

Lakini amani inahitaji zaidi hali ya kutokuwepo kwa vita.

Inahitaji juhudi yenye nidhamu ya kujenga umoja kupitia busara na hoja, na kuinua mwanga wa ufahamu juu ya kelele za giza.

DISTRICT GRAND LODGE OF EAST AFRICA {DGLEA}

UNDER THE UNITED GRAND LODGE OF ENGLAND [UGLE].

4385 - HAVEN OF PEACE LODGE

P.O. Box 201, Dar es Salaam.
Consecrated 31st March, 1922
by R. W. Bro. Sir Charles C. Bowring
FM Hall, DAR-ES-SALAAM
2nd Mon 3-5-6-7-8-9-10-11,Sat after 3rd Monday-4, Inst-4

Whereby:-

FM - Indicates "Freemasons' Hall".

MAS.HALL - Indicates "Masonic Hall".

INST - Indicates "Months Of Installation Meeting".

KUHANI MKUU - DISTRICT GRAND MASTER;

SIR SELEMAN N. SAID.

ANAPATIKANA KWA SIMU NAMBA:-

Whats' APP : +255759260428.

Whats'APP : +255753694384.

Foolow US Instagram by clicking the Link below👇

https://www.instagram.com/tv/Cwa2869AeGA/?igshid=NTc4MTIwNjQ2YQ==

NGUZO KUU TATU ZA LOJI.Nguzo tatu kuu zinazo iunga mkono Loji ni Hekima, Nguvu, na Uzuri.Hekima hutumika kupanga na kubu...
02/08/2026

NGUZO KUU TATU ZA LOJI.

Nguzo tatu kuu zinazo iunga mkono Loji ni Hekima, Nguvu, na Uzuri.

Hekima hutumika kupanga na kubuni, Nguvu hutumika kuhimili na kuendeleza, na Uzuri hutumika kupamba na kukamilisha kazi.

Katika Uashi Huru, kanuni hizi zinawakilishwa na watu watatu wanao husishwa na ujenzi wa Hekalu la Sulemani.

•Mfalme Suleman wa Israeli...anawakilisha Hekima, kwakuwa ndiye aliye buni na kuelekeza ujenzi wa Hekalu.

•Mfalme Hiramu wa Tiro: anawakilisha Nguvu, kwakuwa alitoa watu, vifaa na rasilimali zilizo hitajika ili kazi hiyo ikamilike.

•Hiramu Abifu (Hiram Abiff) ; anawakilisha Uzuri, ustadi wake wa hali ya juu uwiano wa kazi na ubora wa ufundi ulio lifanya Hekalu kuwa kazi bora ya usanifu.

Aidha, Uashi Huru huunganisha nguzo hizi tatu na mihimiri mitatu maarufu ya Usanifu wa kale wa Kigiriki.

Nguzo ya Ionic..huwakilisha Hekima, kwa kuunganisha Uimara na Uzuri wa kuvutia.

Nguzo ya Doric huwakilisha "Nguvu" , kupitia umbo lake imara, nidhamu ya usanifu na mapambo yake ya kiasi.

Nguzo ya Corimthian...huwakilisha "Uzuri" , kwa mwonekano wake mwembamba na mji mkuu wake ulio pambwa kwa Ustadi kwa majani ya mmea wa "Acanthus"

Na kila aina ya Nguzo imebeba Fundisho la maadili;-

•Doric..hutufundisha uimara wa nia, uvumilivu na kujitawala.

•Ionic...hutufundisha uwiano, busara, na uwezo wa kufanya maamuzi kwa kiasi na hekima

•Corimthian...hutufundisha kwamba Uzuri wa kweli huzaliwa kutokana na uwiano, mpangilio mzuri na ukamilifu wa kazi.

Kwa mtazamo wa Uashi Huru, Ulimwengu mzima ni Hekalu la Mbunifu Mkuu wa Ulimwengu (T.G.A.O.T.U -- The Great Archtect of the Universe)

Ndani ya Hekalu hilo kuu, Hekima, Nguvu, na Uzuri husimama karibu na kiti chake cha Enzi k**a nguzo zinazo shikilia kazi zake zote.

Hekima yake haina mwisho, Nguvu yake haina mipaka, na Uzuri wake hung'aa katika uumbaji wote.

4385 - HAVEN OF PEACE LODGE

P.O. Box 201, Dar es Salaam.
Consecrated 31st March, 1922
by R. W. Bro. Sir Charles C. Bowring
FM Hall, DAR-ES-SALAAM
2nd Mon 3-5-6-7-8-9-10-11,Sat after 3rd Monday-4, Inst-4

Where by;-

FM - Indicates "Freemasons' Hall"

MAS.HALL - Indicates Nasonic Hall

INST - Indicates Months of Installstion meeting

Welcome

District Grand Lodge of East Africa - Freemasons. DGLEA

Freemasonry under the United Grand Lodge of England UGLE

District Grand Master - KUHANI MKUU

DR SELEMAN N. SAID

Whats'APP US: +255753694384

Whats'APO US: *255759260628'

Dar es Salaam Lodge of Instruction
Meets on the Last Monday of

Feb - May - Aug - Nov

Undugu, heshima na mila za Freemasonry husimama imara mbele ya lango la Hekalu la Kimasoniki Na. 44.Leo tunashuhudia hat...
28/07/2026

Undugu, heshima na mila za Freemasonry husimama imara mbele ya lango la Hekalu la Kimasoniki Na. 44.
Leo tunashuhudia hatua muhimu ya mpito. Ndugu mwanachama mpya anasonga mbele kwa ujasiri, akiongozwa na hekima na ulinzi wa Mabwana waliomtangulia.

Panga mbili zilizoinuliwa juu zinaashiria ama zinawakilisha nguvu, umoja na njia takatifu ya maarifa ambayo kila Freemason anapaswa kuifuata kwa uadilifu, uaminifu na heshima.

Freemasonry inaendelea kujenga watu wenye maadili mema, familia zenye msingi imara na jamii yenye hekima zaidi.

Safari hii si kwaajili ya kutafuta mamlaka, bali ni ya kutafuta Nuru, kujenga nidhamu, na kuimarisha undugu.

KUHANI MKUU - DISTRICT GRAND MASTER;

SIR SELEMAN N. SAID.

ANAPATIKANA KWA SIMU NAMBA:-

Whats' APP : +255759260428.

Whats'APP : +255753694384.

Foolow US Instagram by clicking the Link below👇

https://www.instagram.com/tv/Cwa2869AeGA/?igshid=NTc4MTIwNjQ2YQ==
Undugu, heshima na mila za Freemasonry husimama imara mbele ya lango la Hekalu la Kimasoniki Na. 44.

WAKATI WA KUJIFUNZAUkimya pia ni aina ya kujifunza.Katika picha hii, mtazamo wa makini, Alama ya Mraba na Dira,  pamoja ...
26/07/2026

WAKATI WA KUJIFUNZA

Ukimya pia ni aina ya kujifunza.

Katika picha hii, mtazamo wa makini, Alama ya Mraba na Dira, pamoja na vitabu vya maarifa, na mkao wa kutafakari vinaonyesha safari ambayo huambatana na kila Freemason wa kweli: safari ya kuendelea kujiboresha na kujikuza wewe mwenyewe binafsi.

Kabla ya kuwaongoza wengine, ni lazima mtu ajifunze kwanza kuzitawala hisia zake mwenyewe.

Kabla ya kubeba nafasi ya uongozi, ni muhimu kuelewa uzito juu ya wajibu unaoambatana nayo.

Na kabla ya kuzungumza, ni muhimu kujifunza sanaa ya kus**iliza.

Ndani ya Freemasonry, maarifa hayapatikani katika alama na ishara pekee yake, bali pia hupatikana katika mabadiliko ya tabia na maisha ambayo alama hizo huleta kwa kila ndugu mwanachama.

Kazi kubwa zaidi ambayo mwanadamu anaweza kuijenga si jengo la mawe, bali ni kujijenga na kuikuza nafsi yake yeye mwenyewe.

KUHANI MKUU - DISTRICT GRAND MASTER;

SIR SELEMAN N. SAID.

ANAPATIKANA KWA SIMU NAMBA:-

Whats' APP : +255759260428.

Whats'APP : +255753694384.

Foolow US Instagram by clicking the Link below👇

https://www.instagram.com/tv/Cwa2869AeGA/?igshid=NTc4MTIwNjQ2YQ==

Address

SOKOINE
Dar Es Salaam
9794–LODGEEASTAFRICA P.O.BOX948DARESSALAAM CONSECRATED26THMARCH,2005 BYRWBROSIRJ

Telephone

+255757567678

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Freemason Association In Tanzania posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Place Of Worship

Send a message to Freemason Association In Tanzania:

Shortcuts

Share