Freemason Association In Tanzania

Freemason Association In Tanzania β€’Freemason Of Tanzania, District Grand Lodge Of East Africa Under The United Grand Lodge Of England (UGLE).

πŸ”Ί Njia ya Nuru na Undugu πŸ”ΊKatika kila kizazi, huwa yupo Mwalimu aliyekwisha kutembea njia hiyo kabla yetu… na yupo Mtafu...
02/06/2026

πŸ”Ί Njia ya Nuru na Undugu πŸ”Ί

Katika kila kizazi, huwa yupo Mwalimu aliyekwisha kutembea njia hiyo kabla yetu… na yupo Mtafutaji anayetamani kupata ukweli, hekima, na ufahamu.

Nguzo tatu zinatukumbusha kwamba maarifa, uwiano, na utambuzi wa kiungu ndivyo vinavyoongoza safari ya maisha.
Lango lililo wazi linaonyesha kwamba njia haijawahi kufungwa kwa wale wanao itafuta nuru kwa moyo wa dhati.

Vyombo vilivyo juu ya madhabahu vinatufundisha kwamba hatujengi tu majengo ya mawe, bali pia tunajenga tabia, nidhamu, na maadili mema ndani yetu wenyewe.

Na ukiangalia kwa makini pembeni… utaona Mwalimu akimwinua mtu aliyeanguka.

Kwa sababu Undugu wa kweli si kusimama juu ya wengine β€” bali ni kuwainua wanapoanguka.

✨ Kila mtu huanza k**a mtafutaji.

✨ Kila mtafutaji huwa mjenzi.

✨ Kila mjenzi, siku moja, lazima amsaidie mwingine kuinuka.

Swali la kujiuliza:

❓ Nguzo au alama tatu zinazong'aa zinawakilisha nini kwako?

❓ Kwa nini lango liko wazi upande mmoja lakini linalindwa upande mwingine?

❓ Na ni fundisho gani unaloliona Mwalimu anayemsaidia mtu aliyeanguka kusimama tena?

Kwa mtazamo wa kimafumbo, nguzo tatu zinaweza kuwakilisha Nguvu, Hekima, na Uzuri; lango lililo wazi linaashiria kwamba ukweli uko wazi kwa anayeutafuta kwa dhati, lakini linalindwa kwa sababu maarifa ya kweli yanahitaji maandalizi, nidhamu, na uwajibikaji.

Mwalimu anayemwinua aliyeanguka anatukumbusha kwamba ukuaji wa kiroho haupimwi kwa kiwango cha maarifa tuliyonayo, bali kwa uwezo wetu wa kuwahudumia na kuwainua wengine. Hapo ndipo undugu wa kweli huonekana.

Welcome

District Grand Lodge of East Africa - Freemasons DGLEA

Freemasonry under the United Grand Lodge of England UGLE.

4385 - HAVEN OF PEACE LODGE

P.O. Box 201, Dar es Salaam.
Consecrated 31st March, 1922
by R. W. Bro. Sir Charles C. Bowring
FM Hall, DAR-ES-SALAAM
2nd Mon 3-5-6-7-8-9-10-11,Sat after 3rd Monday-4, Inst-4

Where by:-

FM - Indicates "Freemasons' Hall"

MAS.HALL - Indicates "Masonic Hall"

INST - Indicates "Months of Installation Meeting"

DISTRICT GRAND MASTER:

KUHANI - MKUU : DR SELEMAN N SAID

Whats'PP US: +255753694384.

Whats'APP US: +255759260628.

Dar es Salaam Lodge of Instruction
Meets on the Last Monday of

Feb - May - Aug - Nov

Mahekalu yamenyamaza, Ukuhani wa kale umetoweka. Himaya zimeinuka kutoka mavumbini na hatimaye zimerudi mavumbini. Lakin...
02/06/2026

Mahekalu yamenyamaza, Ukuhani wa kale umetoweka. Himaya zimeinuka kutoka mavumbini na hatimaye zimerudi mavumbini. Lakini mkono wa hekima ya kale haujawahi kukoma kutiririka.

Kutoka katika patakatifu pa siri za misri ya kale, ambako siri na mafumbo ya ufalme wa kimungu, mpangilio wa ulimwengu na ukamilifu wa nafsi yalifichwa ndani ya alama na ibada, huko kulitokea urithi ambao haukufungwa na dini yoyote wala ustaatabu mmoja pekee.

Kadiri karne zilivyo pita, sura za nje zilibadilika. Zilipitia enzi za upagani, Ukristo, mwamko wa kielimu na hata katika ulimwengu rasmi wa kisekula. Hatahivyo mafundisho ya ndani yaliendelea kuishi.

Freemasonry imekuwa ni mojawapo ya vyombo vikubwa vilivyo beba mwendelezo huo. Si dini, wala si mabaki ya historia yaliyo pitwa na wakati. Ni hazina hai za maarifa ya kiini cha maisha, yaliyo hifadhiwa kupitia mafumbo, usanifu, jiometri, na tamthilia za kiibada kuhusu zile kweli za milele ambazo zamani zilifundishwa katika shule za siri za ulimwengu wa kale.

Jicho takatifu, nguzo mbili, anga la nyota, na zana za ujenzi -- vyote ni vipande vya lugha ya alama, ambayo ndiyo lugha ya kale zaidi kuliko ulimwengu wa kisasa wenyewe.

Farao na Freemason wametenganishwa kwa maelfu ya miaka, lakini wote wanasimama chini ya nuru ile ile. Mmoja alitazama mafumbo kupitia alama za misri ya kale, na mwingine huyatazama kupitia alama za Loji. Mavazi yamebadilika, lakini hekima imebaki ile ile.

Kwasababu mataifa, dini na falsafa hupita katika vipindi tofauti vya kihistoria, lakini undugu huu umeendelea kuwepo k**a mlinzi wa urithi uliofichwa. Undugu huu umekuwa ukihifadhi cheche ya maarifa ya kale dhidi ya giza la kusahaulika, ukiisafisha kutoka kizazi hadi kizazi mpaka pale mtafutaji wa nuru atakapokuwa tayari kuipokea.

9534 – INSTALLED MASTERS’ LODGE OF TANZANIA

P.O. Box 14339, Dar es Salaam.
Consecrated 29th January, 1994
by RW Bro J K Chande
FM Hall, DAR-ES-SALAAM
1st. Sat. 3-5-9-11, Inst.-11.

Where by:

FM - Indicates "Freemasons' Hall".

MAS.HALL - Indicates "Masonic Hall".

INST - Indicates "Months Of Installation Meeting".

DISTRICT GRAND MASTER [KUHANI-MKUU]

DR SELEMAN N. SAID

Whats'APP Us: +255753694384.

Whats'APP Us: +255759260628.

"Imani yako ndiyo mafanikio yako".

ROHO YA UASHI (THE SPIRIT OF MASONRY)Roho ya Uashi (masonry) haipatikani katika vyeo, mavazi ya heshima, au sherehe peke...
01/06/2026

ROHO YA UASHI (THE SPIRIT OF MASONRY)

Roho ya Uashi (masonry) haipatikani katika vyeo, mavazi ya heshima, au sherehe pekee. Bali inaishi ndani ya Urafiki---urafiki kati ya wanadamu na Mungu, na urafiki kati ya mwanadamu na mwanadamu mwenzake.

Katika msingi wake, Uashi unatafuta kushinda dhidi ya majanga makubwa zaidi katika jamii ya wanadami, si umasikini wala ujinge, wala uovu bali kushinda dhidi matengano yaani kutengana kwa watu wao kwa wao.

Wanadamu wamekuwa wageni kwa wenzao. Mashaka huwatenganisha. Kiburi huweka mipaka. Hofu hujenga kuta pale ambapo maelewano yangeweza kujenga madaraja..kuvuka kirahisi kuelekea mafanikio

Freemasonry hufanya kazi kwa utulivu dhidi ya mgawanyiko huo. Katika kila Loji watu hukutana k**a walio sawa, bila kutenganishwa na utajiri, cheo, imani, au hadhi zao katika jamii. Wakiwa mbele ya madhabahu, wote wanakuwa wanadamu tu---walio unganishwa na dhamira ya pamoja ya ukweli, huruma, na kuheshimiana.

Roho ya Uashi hufundisha kuwa upendo si udhaifu, bali ni nguvi, si hisia za mpito bali ni msingi wa ujenzi wa maisha. Upendo ndiye mjenzi wa kweli. Kupitia huo, jamii huimarishwa, haki hupata ubinadamu, na uhuru hupata usalama. Bila upendo hakuna sheria, mfumo au mageuzo yanayoweza kudumu.

Uashi-huru pia humkumbusha kila mwanadamu kwamba kazi ya kweli huanza ndani yake mwenyewe. Hekima za kale zinaonyesha kwamba hazina ya kimungu ambayo watu huihangaikia haijafichwa katika maeneo ya mbali, bali ndani ya moyo wa mwanadamu.

Kuamsha nuru hiyo ya ndani ni---- kuunda fikra bora, kujenga nidhamu ya mwwnendo, na kusafisha huruma ya moyo...ndiyo kazi ya juu zaidi ya ufundi.

Ni wakati gani mwanadamu huibeba kweli Roho hii ya uashi?

Ni pale anapojifunza kuona heshima ndani ya wengine, hata katika udhaifu wao.

Ni pale anapokutana na huzuni kwa huruma na tofauti za mawazo kwa uvumilivu.

Anapo baki mwaminifu katika nafsi yake, kwa wenzake, na kwa Mungu.

Anapokuwa na ujasiri wa kupenda, na unyenyekevu kwa kuwatumikia wengine.

Hiyo ndiyo Roho ya Uashi (masonry)--- si wazo la kinadharia pekee, bali ni namna ya kuishi ni mtindo safi wa maisha.

Kusudi lake ni rahisi lakini ni la kina: kujenga tabia njema, kukuza urafiki wa kweli, na kusaidia kuunda dunia inayoongozwa, si kwa hofu au migawanyiko, bali kwa undugu wa wanadamu.

9534 – INSTALLED MASTERS’ LODGE OF TANZANIA

P.O. Box 14339, Dar es Salaam.
Consecrated 29th January, 1994
by RW Bro J K Chande
FM Hall, DAR-ES-SALAAM
1st. Sat. 3-5-9-11, Inst.-11.

Where by:

FM - Indicates "Freemasons' Hall".

MAS.HALL - Indicates "Masonic Hall".

INST - Indicates "Months Of Installation Meeting".

DISTRICT GRAND MASTER [KUHANI-MKUU]

DR SELEMAN N. SAID

Whats'APP Us: +255753694384.

Whats'APP Us: +255759260628.

"Imani yako ndiyo mafanikio yako".

Mkoba huu ni ishara ya maandalizi, nidhamu, na jitihada za kutafuta maarifa.Hauwakilishi tu mkusanyiko wa nyaraka au mav...
01/06/2026

Mkoba huu ni ishara ya maandalizi, nidhamu, na jitihada za kutafuta maarifa.

Hauwakilishi tu mkusanyiko wa nyaraka au mavazi ya kiibada; bali unaakisi dhamira ya kuishi kwa uadilifu, kudumisha undugu, na kuendelea kuitafuta nuru ya hekima. Kila safari huanza kwa hatua moja, na kila somo linalofunzwa huimarisha msingi ambao tabia njema hujengwa juu yake.

Na tuendelee kutembea katika njia ya hekima, kutenda matendo ya huruma na ukarimu, na kushikilia maadili yanayotufanya tuwe watu wa heshima.

Kwako, Alama ya Nraba-Square na alama ya Dira - Compasses inawakilisha nini?

Katika mila za Kimaaoniki, Square/Ntaba (Rula ya Pembe Nne) mara nyingi huwakilisha uadilifu, haki, na mwenendo ulio sawa katika maisha ya kila siku. Compasses-Dira (Kalamu za Duara) huashiria kujitawala, kiasi, na uwezo wa kuweka mipaka juu ya tamaa na hisia. Zikiunganishwa pamoja, zinamkumbusha mwanadamu kujenga tabia yake kwa usawa kati ya wajibu wa kidunia na ukuaji wa kiroho, huku akiendelea kutafuta nuru ya maarifa na ukweli.

9534 – INSTALLED MASTERS’ LODGE OF TANZANIA

P.O. Box 14339, Dar es Salaam.
Consecrated 29th January, 1994
by RW Bro J K Chande
FM Hall, DAR-ES-SALAAM
1st. Sat. 3-5-9-11, Inst.-11.

Where by:

FM - Indicates "Freemasons' Hall".

MAS.HALL - Indicates "Masonic Hall".

INST - Indicates "Months Of Installation Meeting".

DISTRICT GRAND MASTER [KUHANI-MKUU]

DR SELEMAN N. SAID

Whats'APP Us: +255753694384.

Whats'APP Us: +255759260628.

"Imani yako ndiyo mafanikio yako".

EMO UK  (EGYPTIAN MASONIC ORDER IN UK)ESOTERIC FREEMASONRYEMO  Ni shirika la kimasoniki lenye muelekeo juu ya maarifa ya...
27/05/2026

EMO UK (EGYPTIAN MASONIC ORDER IN UK)

ESOTERIC FREEMASONRY

EMO Ni shirika la kimasoniki lenye muelekeo juu ya maarifa ya siri za ndani (esoteric knowledge) za kina nchini uingereza.

Shirika hili hufanya kazi kwa kujitegemea mbali na Freemasonry ya kawaida au ile yenye mfumo mkali wa mafundisho ya sharti (dogma) , k**a vile The United Grand Lodge Of England (UGLE).

Badala yake ni shirika lililo weka mkazo katika mafumbo ya kiroho, Elimu ya siri, Alkemia na mapokeo ya kale ya siri kutoka katika shule za siri za misri na kutoka katika tamaduni zingine zinazo husishwa na mafundisho ya siri za ndani au vikundi vingine vinahusishwa na aina hii ya Freemasonry iitwayo "Esoteric Freemasonry"

Ndani ya mfumo wake, mafundisho na ibada zake huwasilishwa k**a njia ya kufikia maendeleo ya ndani ya mwanadamu, yakilenga kuleta mabadiliko ya nafsi, utafutaji wa hekima, na uelewa wa alama za kiroho.

Mara nyingi hutumia Lugha za mafumbo, na alama za Misri, na pia hutumia mafundisho yanayo husisha kabbalah, Thiurjia, na Alkemia k**a sehemu ya safari ya kiroho ya mwanadamu.

Katika EMO UK ----- Mwanachama wa Freemasonry hupitia mtihani mkali wa kuthibitisha uwezo na uelewa wake. Baada ya kuthibitishwa kuwa anastahili, huingizwa katika ibada ya mabadiliko ya Shahada ya Tatu ya Master Mason wa loji ya misri.

Kuanzia hapo mafumbo ya ndani kabisa yanayo husu ibada ya alama huanza kufunuliwa kwa Master mpya--- yakihusisha siri za Alkemia, thiurjia, na Hekaya za Misri.

Katika hatua hiyo, inaelezwa kuwa Master anakuwa amefikia au amelifikia jiwe la mraba (Cubic Stone), ambayo ni ishara ya ukamilifu, uthabiti, na maarifa yaliyo kamilika.

WELCOME

District Grand Lodge of East Africa - DGLEA Freemasons

Freemasonry under the United Grand Lodge of England UGLE

9794 - LODGE EAST AFRICA

P.O. Box 948 Dar es Salaam
Consecrated 26th March, 2005
by RW Bro Sir J K Chande KBE
FM Hall, Moshi Tanzania
4th Sat 3, 9, Inst-3

Where by:-

FM - Indicates "Freemasons' Hall"

MAS.HALL - Indicates "Masonic Hall"

INST - Indicates "Months of Installation meeting"

DISTRICT GRAND MASTER

KUHANI-MKUU DR SELEMAN N SAID

Whats-APP CONTACT: +255759260628

Whats'APP CONTACT: +255753694384.

Dar es Salaam Lodge of Instruction
Meets on the Last Monday of

Feb - May - Aug - Nov

HEKALU LISILOJENGWA KWA MIKONOHekalu la roho hujengwa katika ukimya.Misingi yake huwekwa katika nidhamu. Mawe yake hucha...
26/05/2026

HEKALU LISILOJENGWA KWA MIKONO

Hekalu la roho hujengwa katika ukimya.

Misingi yake huwekwa katika nidhamu. Mawe yake huchaguliwa kupitia mwenendo wa kila siku. Nguzo zake huinuliwa kwa uaminifu, kiasi, haki, na upendo wa kindugu. Hakuna makelele yanayoandamana na kazi bora zaidi, kwa maana nafsi hukuzwa kupitia utiifu wa kimya na hukamilishwa kupitia kazi zisizoonekana na wengi.

Kila siku huleta jiwe lake. Tendo la ukarimu husawazisha upande mmoja. Tamaa iliyoshindwa husugua upande mwingine. Neno la kweli huweka mpangilio sawa. Hivyo ndivyo Mjenzi anavyoendelea β€” kwa subira na bila kujionyesha β€” mpaka nyumba ya ndani inaanza kuchukua umbo la mpango mtakatifu.

Tabia ni usanifu unaoonekana kwa macho.

Jenga kwa mikono safi, na Hekalu litatoa ushuhuda.

Amini kwamba wewe ni wa kipekee sana, na umekuja kutimiza Jukumu la kipekee; kamwe usipoteze muda wako kukamilisha majukumu ya mtu mwingine.

Wewe ni sehemu ya ile nguvu kuu ya Asili. Wewe ni sehemu ya nguvu kuu takatifu, wewe ni sehemu ya Mungu mkuu. INUKA SASA!

5299 - GUIDING STAR LODGE.

P.O. Box 316, Dar es Salaam.
Consecrated 27th November, 1931
by W. Bro. T. W. Williams
Suspended: October 1957.
Warrant Returned: June 1959
FM Hall, DAR-ES-SALAAM
4th Mon 3-4-5-6-7-8-9-10, 4th Sat 11, Inst11.

Whats'APP US: +255753694384.

Whats'APP US: +255759260628.

https://www.instagram.com/tv/C3hwn5Uxdoq/?igsh=NTc4MTIwNjQ2YQ==

π——π—œπ—¦π—§π—₯π—œπ—–π—§ π—šπ—₯𝗔𝗑𝗗 - π—Ÿπ—’π——π—šπ—˜ 𝗒𝗙 π—˜π—”π—¦π—§ 𝗔𝗙π—₯π—œπ—–π—”.USIPOTEZE MUDA"Wenye busara huongea kwasababu wana cha kuongea. Wajinga huongea kw...
25/05/2026

π——π—œπ—¦π—§π—₯π—œπ—–π—§ π—šπ—₯𝗔𝗑𝗗 - π—Ÿπ—’π——π—šπ—˜ 𝗒𝗙 π—˜π—”π—¦π—§ 𝗔𝗙π—₯π—œπ—–π—”.

USIPOTEZE MUDA

"Wenye busara huongea kwasababu wana cha kuongea. Wajinga huongea kwasababu lazima waongee"

Plato

Ni dhahiri, unajua sana ule msemo "TIME IS MONEY" hakuna asiye ujua. Lakini Je, msemo huo una maana yeyote kwako? Msemo huo huwa unautumia katika maisha yako?.

Katika kitu ambacho asilimia kubwa ya binadamu wanakipuuza basi ni wakati. Pamoja na kuelimishwa sana kwamba muda ni maendeleo,Muda ni nyenzo,bMuda ni nguzo,bMuda ni Rasilimali. Lakini bado muda wetu hatuutumii itakiwavyo, hilo limepelekea kuchelewa sana kwa maendeleo yetu. Imesababisha kuyumba sana kwa mahusiano yetu. Imepelekea kuchelewa sana kwa biashara zetu imepelekea kuharibika kwa mali na miundo mbinu yetu.

Nakala hii inakutaka wewe unayesoma, kujiuliza kuhusu muda kwako. Je, umepoteza na vipi unaweza kufanya mbadala wa pale ulipo poteza muda na kuhakikisha una-replace ulipo poteza na kuwa katika ngazi nzuri ya mafanikio.

THE SECRET REVEALED, JOIN US:-

DISTRICT GRAND LODGE OF EAST AFRICA (DGLEA).

7518 – LODGE OF THE COAST

P.O. Box 82935, Mombasa.
Consecrated 28th October, 1957
by R.W. Bro. G. Rivers-Thomas
FM Hall, MOMBASA
2nd Mon 2-4-6-8-10, Last Sat-11, Inst-11.

Where by:-

FM - Indicates "Freemasons' Hall".

MAS.HALL - Indicates "Masonic Hall".

INST - Indicates "Months Of Installation Meeting".

Email Address:[email protected]

TUANDIKIE UJUMBE WAKO WA MAOMBI (PETITION) YA UANACHAMA KUPITIA:-

Whats'App :+255753694384.

Whats'App :+255759260628.

DR . SELEMAN N. SAID.

HIGH - PRIEST [KUHANI MKUU]

INSTAGRAM LINK CLICK BELOWπŸ‘‡

https://www.instagram.com/p/CpPVO68NxgV/?igshid=YmMyMTA2M2Y=

EASTERN STAR LODGE [SIRIUS/MORNING STAR - LUCIFER/LIGHT BEARER].

Amini kwamba wewe ni wa kipekee sana, na umekuja kutimiza Jukumu la kipekee; kamwe usipoteze muda wako kukamilisha majuk...
25/05/2026

Amini kwamba wewe ni wa kipekee sana, na umekuja kutimiza Jukumu la kipekee; kamwe usipoteze muda wako kukamilisha majukumu ya mtu mwingine.

Wewe ni sehwmu ya ile nguvu kuu ya Asili. Weww ni sehemu ya nguvu kuu takatifu, wewe ni sehemu ya Mungu mkuu. INUKA SASA!

5299 - GUIDING STAR LODGE.

P.O. Box 316, Dar es Salaam.
Consecrated 27th November, 1931
by W. Bro. T. W. Williams
Suspended: October 1957.
Warrant Returned: June 1959
FM Hall, DAR-ES-SALAAM
4th Mon 3-4-5-6-7-8-9-10, 4th Sat 11, Inst11.

Whats'APP US: +255753694384.

Whats'APP US: +255759260628.

https://www.instagram.com/tv/C3hwn5Uxdoq/?igsh=NTc4MTIwNjQ2YQ==

"Weka wazo lako vizuri, lifanye wazo lako kuwa maisha yako, lifikirie, liote, isgi kwa hilo wazo. Wacha akili, mishipa, ...
22/05/2026

"Weka wazo lako vizuri, lifanye wazo lako kuwa maisha yako, lifikirie, liote, isgi kwa hilo wazo. Wacha akili, mishipa, mifupa, ngozi na kila sehemu ya kiwiliwili chako kiwe na wazo hilo jumla. Hiyo ni njia kuu ya Mafanikio".

WELCOME

District Grand Lodge of East Africa - DGLEA Freemasons

Freemasonry under the United Grand Lodge of England UGLE

9794 - LODGE EAST AFRICA

P.O. Box 948 Dar es Salaam
Consecrated 26th March, 2005
by RW Bro Sir J K Chande KBE
FM Hall, Moshi Tanzania
4th Sat 3, 9, Inst-3

Where by:-

FM - Indicates "Freemasons' Hall"

MAS.HALL - Indicates "Masonic Hall"

INST - Indicates "Months of Installation meeting"

DISTRICT GRAND MASTER

KUHANI-MKUU DR SELEMAN N SAID

Whats-APP CONTACT: +255759260628

Whats'APP CONTACT: +255753694384.

Dar es Salaam Lodge of Instruction
Meets on the Last Monday of

Feb - May - Aug - Nov

Kadri ninavyo zidi kutafakari kuhusu asili, ndivyo ninavyo zidi kugundua kwamba ndani yake kuna ukweli mwingi ulio jific...
21/05/2026

Kadri ninavyo zidi kutafakari kuhusu asili, ndivyo ninavyo zidi kugundua kwamba ndani yake kuna ukweli mwingi ulio jificha. . Chukulia mfano mti, Je ulikua unajua kwamba mti hulazimika kukua katika pande mbili kwa wakati mmoja? Wakati unapo inuka juu kuelekea mwangani, ni wakati huohuo pia hujichimbia chini kuelekea gizani. Tunachoona juu ya ardhi ni nusu tu ya ukweli au nusu tu ya simulizi yake.

Chini ya uso wa ardhi kuna ulimwengu mwingine wa mizizi ambao mara nyingi hufanana na umbo la matawi yaliyo juu. Kwa namna nyingi mfumo wa mizizi huendana na mfumo wa matunda.

Mbegu hupandwa ardhini, na kabla haijainuka juu kuelekea jua, lazima kwanza ishuke chini ikipambana na upinzani. Mizizi hupenya kwenye udongo mzito, wenye unyevu nyevu na giza. Hukua mahali ambapo hakuna anayeona. Lakini wakati huohuo, sehemu inayoonekana ya mti huinuka juu ikipinga na kupambana na nguvu ya mvutano (force of gravity) ili kuutafuta mwanga. Na huku nusu moja ya mti ikiwa imejificha na nusu nyingine ikiwa inaonekana juu ya ardhi. Zote mbili ni muhimu kwa maisha.

Hili linanikumbusha kanuni ya Hemetiki ya uwiano inayo sema "Kilicho juu kinafanana na kile kilicho chini, na kile kilicho chini kinafanana na kilicho juu". Waru wengi hupata ugumu katika kuelewa wazo hili kwasababu, huona vitu vinavyo pingana k**a vitu vilivyo tenganishwa, badala ya kuona k**a uhalisia tofauti wa ukweli mmoja. Lakini ishara hii ipo kila mahali tunapotazama.

Katika Tarot, jambo hili linaonekana vizuri kupitia kadi ya Mchawi (The Magician), ambapo mkono mmoja umeelekezwa juu na mwingine chini. Ujumbe wake ni rahisi lakini ni wa kina. Ulimwengu wa kiroho na ulimwengu wa kimwili huakisi Ulimwengu mmoja mwingine. Hata wale wanao pinga wazo hili hujikuta wakilirudia bila kujijua kila jumapili katika sala ya Bwana; "Duniani k**a ilivyo mbinguni".

Freemaaonry nayo hubeba alama hii ndani ya Lodge. Taswira ya mbingu juu na dunia chini hutukumbusha kwamba mwanadamu anaishi kati ulimwengu mbili...ulimwwngu wa kimwili na wa Kiroho, wa nje na wa ndani. Alama, nuru na mafundisho ya Loji huendelea kutuongoza kuelekea usawa na maelewano kati ya pande hizo mbili.

Na hapo ndipo mti unakuwa somo lenye nguvu sana.

Kabla matunda hayajaning'inia kwenye mwanga, lazima kwanza mizizi iote gizani. Nguvu inayoonekana ya mti imeunganishwa moja kwa moja na kazi isiyoonekana inayofanyika chini ya ardhi. Kadri mizizi inavyokua mirefu, ndivyo matawi yanavyokua imara. Kadri kazi ya siri inavyokua kubwa, ndivyo ambavyo ukuaji unaoonekana unavyo kuwa mkubwa zaidi.

Mara nyingi watu huvutiwa na "matunda" katika maisha ya mtu mwingine...hekima, nguvu, subira, huruma na tabia njema..lakini hawaoni kazi ya ndani iliyo hitajika kuzalisha vitu hivyo. Hawaoni usiku wa mapambano, kujiuliza, kujifunza, kushindwa, kujijenga upya au kuvumilia. K**a ilivyo mizizi ya mti, ukuaji muhimu zaidi mara nyingi hutokea mahali ambapo hakuna mwingine anaye weza kuuona.

Labda njia nyingine ya kuelewa kauli inayo sema "Kilicho juu ni k**a kilicho chini" ni sawa sawa na kusema "Kilicho ndani huonekana nje". Hali ya ulimwengu wa ndani hatimaye hujitokeza katika ulimwengu wa nje. Akili na roho zetu, mawazo na hisia zetu, ufahamu na nafsi yetu vyote vina uhusiano. Vyote vinahitaji mazoezi. Vyote vinahitaji Lishe. Vyote vinapaswa kukua kwa pamoja ikiwa tunataka kuwa viumbe kamili

Kwa mtazamo wa kwanza, Mawazo haya katika dhana hizi mbili, yanaweza kuonekana k**a yanapingana...mwanga na giza, juu na chini, ndani na nje,....lakini si maadui.

Ni vioo vya kuakisiana , vioo vya kumulikiana.

Mti hauwezi kuishi ukiwa na matawi pekee, wala mizizi pekee. Unahitaji vyote viwili. Vivyo hivyo kwa jinsi hiyo na sisi pia tunaendelea kukua katika pande mbili kwa wakati mmoja. Nje kuelekea ulimwengu ambao wengine wanaweza kuuona na Ndani ni kuelekea sehemu za kina zaidi ya nafsi zetu ambazo ni sisi pekee ndio tunaweza kuzijua kikamilifu.

Na huenda ukuaji wa kweli haupimwi kwa kiasi au jinsi tunavyo fika juu, bali kwa jinsi tulivyo tayari kukua kwa kina.

Na tujitawale wenyewe ipasavyo

WELCOME

District Grand Lodge of East Africa - DGLEA Freemasons

Freemasonry under the United Grand Lodge of England UGLE

9794 - LODGE EAST AFRICA

P.O. Box 948 Dar es Salaam
Consecrated 26th March, 2005
by RW Bro Sir J K Chande KBE
FM Hall, Moshi Tanzania
4th Sat 3, 9, Inst-3

Where by:-

FM - Indicates "Freemasons' Hall"

MAS.HALL - Indicates "Masonic Hall"

INST - Indicates "Months of Installation meeting"

DISTRICT GRAND MASTER

KUHANI-MKUU DR SELEMAN N SAID

Whats-APP CONTACT: +255759260628

Whats'APP CONTACT: +255753694384.

Dar es Salaam Lodge of Instruction
Meets on the Last Monday of

Feb - May - Aug - Nov

Address

SOKOINE
Dar Es Salaam
9794–LODGEEASTAFRICA P.O.BOX948DARESSALAAM CONSECRATED26THMARCH,2005 BYRWBROSIRJ

Telephone

+255757567678

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Freemason Association In Tanzania posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Place Of Worship

Send a message to Freemason Association In Tanzania:

Share