Soma Biblia

Soma Biblia SOMA BIBLIA: NENO LA INJILI KWA RIKA ZOTE
Wasambazaji wa Biblia, vitabu vya Kikristo na vifaa vya madhabahuni. Please get in touch for more information.

Our main objective is to spread the Gospel of Jesus Christ in Kiswahili, by equipping the church through development, production and distribution of biblical sound and credible evangelical literature and material The broader purpose is to enable Christian to reach the people with the Gospel and educate them in the word of God – for faith and life. The Soma Biblia society was founded 1.1.2015 after

the merging of the two organizations Soma Biblia (run by Danish Lutheran Mission) and Scripture Mission (run by Scripture Mission East Africa and Norwegian Lutheran Mission). The main office is stationed in Dar es Salaam and the publishing department is stationed in Arusha. We have six bookshops throughout Tanzania: Dar es Salaam, Arusha, Iringa, Mbeya, Dodoma and Mwanza. We also have several mobile bookshops on the road at all times.

Karibu katika mpango huu wa Soma Biblia Kila Siku mwezi wa Juni. Utasoma kitabu cha 1 Wakorintho na Walawi. Utapata pia ...
01/06/2026

Karibu katika mpango huu wa Soma Biblia Kila Siku mwezi wa Juni. Utasoma kitabu cha 1 Wakorintho na Walawi. Utapata pia maelezo mafupi ya kukusaidia kuelewa na kutafakari Neno ulilosoma.

Tumia link kuingia https://bible.us/r/Il5

Soma Biblia AppThe ultimate digital tool for bringing the Gospel to all generations.This app enables you to purchase Bib...
07/05/2026

Soma Biblia App
The ultimate digital tool for bringing the Gospel to all generations.

This app enables you to purchase Bibles, Christian books, and altar supplies with ease and security. You can also read and enjoy free magazines, e-books, and teachings through both audio and video formats.

Through this app, you can enroll in the Soma Biblia Online Course.

Convenient Service: Order multiple products at once and track your order status from wherever you are. The app is lightweight, supports two languages (Swahili/English), and functions efficiently even on low-speed internet.

Download now on the Google Play Store!

Soma Biblia AppKifaa bora cha kidijitali kwa ajili ya kuleta Neno la Injili kwa Rika Zote. Programu hii inakuwezesha kun...
04/05/2026

Soma Biblia App
Kifaa bora cha kidijitali kwa ajili ya kuleta Neno la Injili kwa Rika Zote.

Programu hii inakuwezesha kununua Biblia, vitabu vya Kikristo, na vifaa vya madhabahuni kwa urahisi na usalama.

​Pia utaweza ku​soma na kufurahia majarida ya bure, vitabu (E-books), na mafundisho kwa njia ya sauti na video.

Kupitia App hii utaweza kujiunga na ​kozi ya Soma Biblia kwa Njia ya Mtandao.

​Huduma Rahisi: Agiza bidhaa nyingi kwa pamoja na ufuatilie oda yako popote ulipo.

​App hii ni nyepesi na inatumia lugha mbili (Kiswahili/Kiingereza), na inafanya kazi hata kwenye intaneti ya kasi ndogo.

​Pakua sasa kupitia Google Play Store!

13/04/2026

Kitabu hiki kidogo kinahusu changamoto katika ndoa iliyofikia umri wa kukoma hedhi.

Ni mchango kwa mazungumzo muhimu ya mume na mke jinsi wanaweza kushinda changamoto zinazotokana na mabadiliko ya kimwili.

Nakala zinapatikana dukani Soma Biblia.

09/04/2026

Soma Biblia Kila Siku ni mwongozo wa kusoma Biblia Kila Siku sehemu kwa sehemu pamoja na maelezo machache ya kukusaidia kuelewa neno ulilosoma kwa siku husika.

Kwa mwa 2026 bado vitabu vinapatika.

Pata nakala yako katika maduka ya Soma Biblia.

Karibu katika mpango huu wa Soma Biblia Kila Siku mwezi wa Aprili. Utasoma kitabu cha Zaburi, Yohana, Luka na Isaya. Uta...
08/04/2026

Karibu katika mpango huu wa Soma Biblia Kila Siku mwezi wa Aprili.

Utasoma kitabu cha Zaburi, Yohana, Luka na Isaya. Utapata pia maelezo mafupi ya kukusaidia kuelewa na kutafakari Neno ulilosoma. Isipokuwa imeandikwa vinginevyo, nukuu zote za Biblia katika mpango huu zimechukuliwa kutoka katika Swahili Union Version (SUV).

Tumia link kujiunga http://bible.us/r/HxN

http://bible.us/r/HxNKaribu katika mpango huu wa Soma Biblia Kila Siku mwezi wa Aprili. Utasoma kitabu cha Zaburi, Yohan...
08/04/2026

http://bible.us/r/HxN
Karibu katika mpango huu wa Soma Biblia Kila Siku mwezi wa Aprili. Utasoma kitabu cha Zaburi, Yohana, Luka na Isaya. Utapata pia maelezo mafupi ya kukusaidia kuelewa na kutafakari Neno ulilosoma. Isipokuwa imeandikwa vinginevyo, nukuu zote za Biblia katika mpango huu zimechukuliwa kutoka katika Swahili Union Version (SUV).

Karibu katika mpango huu wa Soma Biblia Kila Siku mwezi wa Aprili. Utasoma kitabu cha Zaburi, Yohana, Luka na Isaya. Utapata pia maelezo mafupi ya kukusaidia kuelewa na kutafakari Neno ulilosoma. Isipokuwa imeandikwa vinginevyo, nukuu zote za Biblia katika mpango huu zimechukuliwa kutoka katika Swah...

OFA MAALUMU:Tukisherehekea kupata kitabu hiki, tumetoa punguzo la bei  20% kwa kitabu hiki kwa mwezi wote wa Machi na Ap...
24/03/2026

OFA MAALUMU:
Tukisherehekea kupata kitabu hiki, tumetoa punguzo la bei 20% kwa kitabu hiki kwa mwezi wote wa Machi na Aprili.

Kitabu hiki ni mwongozo wa kipekee kwa kila msomaji wa Injili ya Yohana: Kuna
• Maelezo – hutoa ufafanuzi wa Neno
• Fundisho – hujumlisha ujumbe wa msingi
• Maswali – hukusaidia kujihakikishia uelewa
• Tafakuri – hufanya Neno libadilishe maisha yako.

Biblia ni hazina isiyoisha kwa imani na maisha yetu yote. Kitabu hiki kimeandaliwa kwa mtazamo huo, kikikusaidia kusoma Injili k**a alivyoiandika Yohana Mtakatifu, hatua kwa hatua.

MATUMIZI YA KITABU:
Kinafaa kwa mtu binafsi. Lakini zaidi kusoma katika vikundi yaani ushirika wa kujifunza Biblia. Pata nakala yako na ujiunge na ushirika wa kujifunza Biblia.

Kitabu kinapatikana, Soma Biblia: Dar es Salaam, Iringa, Makambako, Mbeya, Dodoma, Arusha, Mwanza
+255 754 292 995
www.somabiblia.or.tz





Kitabu kipya: *MAFUNZO YA BIBLIA: INJILI YA YOHANA* Jumapili tarehe 22/03/2026 katika ibada KKKT Kundichi Dar es Salaam ...
23/03/2026

Kitabu kipya: *MAFUNZO YA BIBLIA: INJILI YA YOHANA*

Jumapili tarehe 22/03/2026 katika ibada KKKT Kundichi Dar es Salaam tulizindua kitabu kipya: *_MAFUNZO YA BIBLIA: INJILI alivyoiandika YOHANA MTAKATIFU_* .

Kitabu kimeandikwa na Prof. David Ngassapa na kuchapwa na kusambazwa na Soma Biblia .

Ibada hiyo iliongozwa na Baba Mchungaji Jacob Mwangomola, Mkuu wa Jimbo la Kasakazini DMP, akisaidiwa na Mchungaji Kiongozi Janeth Mwambungu pamoja na Wainjilisti Stella na Monica.

*_Ofa maalumu: Katika mwezi huu wa Machi na mwezi Aprili, kuna punguzo la bei kwa 20% kwa kitabu hiki._*

Kitabu hiki ni mwongozo wa kipekee kwa kila msomaji wa Injili ya Yohana: Kuna
• Maelezo – hutoa ufafanuzi wa Neno
• Fundisho – hujumlisha ujumbe wa msingi
• Maswali – hukusaidia kujihakikishia uelewa
• Tafakuri – hufanya Neno libadilishe maisha yako.

Biblia ni hazina isiyoisha kwa imani na maisha yetu yote. Kitabu hiki kimeandaliwa kwa mtazamo huo, kikikusaidia kusoma Injili k**a alivyoiandika Yohana Mtakatifu, hatua kwa hatua.

Kinafaa kwa mtu binafsi na zaidi kusoma katika kikundi. Karibu ujiunge na ushirika wa kujifunza Biblia.

Pata nakala yako dukani Soma Biblia. Tunapatikana Soma Biblia: Dar es Salaam, Iringa, Makambako, Mbeya, Dodoma, Arusha, Mwanza
+255 754 292 995
www.somabiblia.or.tz





Hadithi za Biblia Mia kwa Mia  100 Best-Loved Bible StoriesSasa watoto wanafurahia habari njema kwa Kiswahili na Kiinger...
18/03/2026

Hadithi za Biblia Mia kwa Mia
100 Best-Loved Bible Stories

Sasa watoto wanafurahia habari njema kwa Kiswahili na Kiingereza katika kitabu kimoja.

Hadithi 100 zimechaguliwa kuonyesha upendo wa Mungu na mpango wake wa kutufanya watoto wake wapendwa.
Watoto kuanzia miaka 5 watajifunza Biblia na lugha kwa wakati mmoja.

Vinapatikana maduka ya Soma Biblia: Dar es Salaam, Iringa, Makambako, Mbeya, Dodoma, Arusha, Mwanza
+255 754 292 995
www.somabiblia.or.tz





Address

Ofisi Kuu Barabara Ya Mwai Kibaki, Mikocheni B. Upande Wa Pili Wa Sanitas Medical Centre. Anuani Ya Posta: S. L. P. 12772 Dar Es Salaam, Tanzania Simu: +255 754 292 995 Barua Pepe: Financemanager. Som
Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 02:00 - 17:00
Tuesday 02:00 - 17:00
Wednesday 02:00 - 17:00
Thursday 02:00 - 17:00
Friday 02:00 - 17:00
Saturday 02:00 - 14:30

Telephone

+255754292995

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Soma Biblia posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Place Of Worship

Send a message to Soma Biblia:

Share