20/01/2019
Marko 2:4-5
4 Na walipokuwa hawawezi kumkaribia kwa sababu ya makutano, waliitoboa dari pale alipokuwapo; na wakiisha kuivunja wakalitelemsha godoro alilolilalia yule mwenye kupooza.
5 Naye Yesu, alipoiona imani yao, akamwambia yule mwenye kupooza, Mwanangu, umesamehewa dhambi zako.
MAELEZO: Yesu ni Mungu kamili mwenye uweza wa Kusamehe dhambi na kuponya magonjwa na udhaifu wa kibinaadam, kimbilia kwa Yesu uwe salama.