12/10/2025
π Karibu Semina ya Neno la Mungu! π
βͺ KKKT Bunju B inakualika kwenye semina maalum ya kiroho kuanzia 19 hadi 26 Oktoba 2025, kila siku kuanzia saa 11:00 jioni.
π Neno la Mungu litafundishwa kwa nguvu na neema.
π Fursa ya kufunguliwa, kuimarishwa na kuongozwa katika safari ya imani.
π€ Njoo pamoja na familia na marafikiβtujenge maisha ya kiroho kwa pamoja!
π Mahali: KKKT Bunju B
ποΈ Tarehe: 19β26 Oktoba 2025
π Muda: Saa 11:00 jioni kila siku
"Neno lako ni taa ya miguu yangu, na mwanga wa njia yangu." β Zaburi 119:105
SeminaYaNeno