10/12/2023
1 YOHANA 3:1
[1]Tazameni, ni pendo la namna gani alilotupa Baba, kwamba tuitwe wana wa Mungu; na ndivyo tulivyo. Kwa sababu hii ulimwengu haututambui, kwa kuwa haukumtambua yeye.
Behold, what manner of love the Father hath bestowed upon us, that we should be called the sons of God: therefore the world knoweth us not, because it knew him not.
Hili pendo limekufanya wew kuwa mwana kwake. Na kwasababu ya hili pendo unapata kuchichukuwa zile baraka za uwana kutoka kwa baba mungu
Na asiri ya ya hili pendo lililokuu ni mu mungu mwenyewe .
Pendo hilo la mungu limefanya/ linakupa nafasi ya kuomba lolote utakalo ukapatiwa na kujibiwa.
Pendo hili linakupa uthamani mbele za mungu na kukufanya uwe bora kwa watu.......
Katika hili pendo mungu amemtoa mwana wake wa peekee ili aje sisi tupate kupona na kusamehewa deni zetu YOHANA. 3:16
[16]Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu, hata akamtoa Mwanawe pekee, ili kila mtu amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele.
For God so loved the world, that he gave his only begotten Son, that whosoever believeth in him should not perish, but have everlasting life.