The Gospel Evangelism Community

The Gospel Evangelism Community TUNASIMAMIA IMANI YA KIPENTEKOSTE. KARIBUNI!

"The Gospel Evangelism Community of All Nations (GECOAN)" ni taasisi/huduma ya kiinjili ambayo tafsiri ya jina lake kwa kiswahili husomeka k**a "Jumuiya ya Uinjilisti wa Injili kwa Mataifa Yote (JUIMAYO)."

    Tukio la ubatizo kwa waongofu wapya waliompokea Yesu Kwenye mkutano wetu uliofanyika Mkoani Mara-Baranga Kwenye pich...
29/08/2026



Tukio la ubatizo kwa waongofu wapya waliompokea Yesu Kwenye mkutano wetu uliofanyika Mkoani Mara-Baranga

Kwenye picha, ni waongofu wapya wakibatizwa pamoja na picha za pamoja wakiwa na Mchungaji Paulo Andrea na timu ya injili ya GECOAN

  Tunamshukuru Mungu kwa uaminifu wakeBaada ya safari ndefu ya kihuduma, tunamrudishia Mungu sifa na utukufu kwa kutuwez...
11/08/2026




Tunamshukuru Mungu kwa uaminifu wake

Baada ya safari ndefu ya kihuduma, tunamrudishia Mungu sifa na utukufu kwa kutuwezesha kusafiri salama, kuhudumu na hatimaye kurejea salama.

Tunawashukuru wote mlioendelea kutuombea, kututia moyo na kutuunga mkono katika safari hii ya kuitangaza Injili ya Yesu Kristo hakika Mungu wa Mbinguni awalinde na kuwatunza ili jina lake liendelee kutukuzwa. Amina

  Tunapenda kumshukuru Mungu kwa kutuwezesha kufika mwisho wa mkutano huu wa injili hapa katika viwanja vya Baranga cent...
11/08/2026




Tunapenda kumshukuru Mungu kwa kutuwezesha kufika mwisho wa mkutano huu wa injili hapa katika viwanja vya Baranga center Kwa siku zote nane (08). Tumeshuhudia wema wa Mungu katikati yetu, tumemtangaza Yesu Kristo na watu wameokolewa.

Tunamshukuru Mungu pia kwa kila mmoja aliyeshiriki nasi katika mkutano huu aidha waliohudhuria, walioomba, waliohudumu na kwa wote waliotoa mchango wao kwa ajili ya kaz hiii ya Injili. Mungu wa mbinguni awabariki sana.

Utukufu, heshima na sifa zote ni kwa Mungu wetu aliyetuwezesha.

Tutaendelea kuwashirikisha baadhi ya picha za kumbukumbu au matukio yaliyojili katika siku zote za Mkutano wa Injili. Amina!

09/08/2026



Injili iokoayo ikihubiriwa kwa ujasiri na Mtumishi wa Mungu Ev Michael William.

09/08/2026



Wakati wa kumwimbia Bwana na Mtumishi wa Mungu Kunguru Mwimbaji akihudumu

09/08/2026



Makutano wakimtukuza Mungu kwa njia ya uimbaji wakiongozwa na Mwimbaji wa nyimbo za Injili Isaka Kitang'ita

09/08/2026
    Tunawakaribisha watu wote kwenye Ibada kuu hapa katika kanisa la Eagt Baranga
09/08/2026



Tunawakaribisha watu wote kwenye Ibada kuu hapa katika kanisa la Eagt Baranga

    Tunamshukuru Mungu Kwa kutufanikisha Kwenye zoezi la ubatizo asubuhi ya leo ambapo jumla ya watu 26 wamebatizwa. Hak...
08/08/2026



Tunamshukuru Mungu Kwa kutufanikisha Kwenye zoezi la ubatizo asubuhi ya leo ambapo jumla ya watu 26 wamebatizwa. Hakika tumeuona uaminifu wake.

08/08/2026



Usiache kuombea kazi hii inayoendelea hapa Baranga ili Mungu ajitukuze kwa viwango zaidi
Ev Michael William akihubiri injili Kwenye mkutano

Address

Gongo La Mboto/Markaz
Dar Es Salaam

Telephone

+255626371464

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when The Gospel Evangelism Community posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Shortcuts

Share