02/01/2026
Somo: HERI AKESHAYE NA KUYATUNZA MAVAZI YAKE
Ufunuo 22:12,14
"Tazama, naja upesi, na ujira wangu u pamoja nami, kumlipa kila mtu k**a kazi yake ilivyo."
Heri wazifuao nguo zao, wawe na amri kuuendea huo mti wa uzima, na kuingia mjini kwa milango yake.
Ufunuo 16:15
"Tazama, naja k**a mwivi. Heri akeshaye, na kuyatunza mavazi yake, asiende uchi hata watu wakaione aibu yake."
YESU KRISTO NI BWANA.