11/03/2026
Mambo ya kesho hatuyatambui, wala hatujui safari ya maisha itatufikisha wapi.
Lakini tunachojua ni kwamba ๐๐ช๐ฃ๐๐ช anayeshika ๐๐๐จ๐๐ค yetu hawezi kutuacha peke yetu. Tutaendelea kumtegemea kwa imani, hata pale njia inapokuwa ngumu.
Kwa sababu tunajua kila jambo lina wakati wake na ๐๐ช๐ฃ๐๐ช ana mpango mzuri juu ya maisha yetu. Ndiyo maana tunaishi ๐ก๐๐ค kwa matumaini, tukijua ๐ ๐๐จ๐๐ค ipo mikononi mwa ๐๐ช๐ฃ๐๐ช.
_____________________________________________
๐๐๐ ๐ค๐๐ค 4:13-16
13 ๐๐๐ฎ๐ ๐๐๐จ๐, ๐ฃ๐๐ฃ๐ฎ๐ ๐ข๐จ๐๐ข๐๐ค, ๐๐๐ค ๐๐ช ๐ ๐๐จ๐๐ค ๐ฉ๐ช๐ฉ๐๐๐ฃ๐๐๐ ๐ ๐๐ฉ๐๐ ๐ ๐ข๐๐ ๐๐ช๐ก๐๐ฃ๐ ๐ฃ๐ ๐ ๐ช๐ ๐๐ ๐๐ช๐ข๐ค ๐ข๐ฌ๐๐ ๐ ๐ข๐ฏ๐๐ข๐, ๐ฃ๐ ๐ ๐ช๐๐๐ฃ๐ฎ๐ ๐๐๐๐จ๐๐๐ง๐ ๐ฃ๐ ๐ ๐ช๐ฅ๐๐ฉ๐ ๐๐๐๐๐;
14 Walakini hamjui yatakayokuwako ๐ ๐๐จ๐๐ค. Uzima wenu ni nini? Maana ninyi ni mvuke uonekanao kwa kitambo, kisha hutoweka.
15 Badala ya kusema, Bwana akipenda, tutakuwa hai na kufanya hivi au hivi.
16 Lakini sasa mwajisifu katika majivuno yenu; kujisifu kote kwa namna hii ni kubaya.
Ibi Den, Anthony Karumbete, Nyarkisa Ruth, Loveness Mbonea, Nyar Okomo, Isack Sadani, Neema Kagoswe, Zint Shaz, Hagai John Njolegwa, Ibrahim Kibona, Rehani Zabroni