28/05/2026
KITABU SALAMA CHA DUA
Kitabu cha Hisnul Muslim kilichoandikwa na Sheikh Sa’id bin Ali bin Wahf Al-Qahtani ni miongoni mwa vitabu muhimu sana kwa kila Muislamu. Kina dua na nyiradi sahihi kutoka ndani ya Qur’an na Sunnah kwa usalama wa dini na maisha yetu ya kila siku. 🤲✨
Ndani yake utapata dua nyingi sahihi na zenye manufaa makubwa, mbali kabisa na mambo ya kishirikina k**a uchawi, kuroga, matambiko na kafara. Hayo si mafundisho ya Uislamu bali ni njia za upotevu na hasara kubwa mbele ya Allah سبحانه وتعالى.
Muislamu wa kweli anatakiwa ashik**ane na dua sahihi na amtegemee Allah pekee, si waganga wala hirizi.
📚 K**a unahitaji kitabu hicho, andika kwenye comment:
👉 “KITABU”