Directortonnie

Directortonnie vi

Jana kelele zilikuwa nyingi… leo kimya kimechukua nafasi 😌 baada ya madunduka makolo  kupata SARE Sare si mbaya, ila iki...
19/03/2026

Jana kelele zilikuwa nyingi… leo kimya kimechukua nafasi 😌 baada ya madunduka makolo kupata SARE

Sare si mbaya, ila ikiwakuta waliokuwa wanaongea sana inafundisha nidhamu.

Sisi hatupigi kelele, tunafanya kazi πŸ’›πŸ’š
ubingwa tunauishi, sio kuusimulia πŸ†

Mwisho wa siku… kelele hupotea, lakini ubingwa hubaki πŸ˜‰πŸ”₯



Follow

Safari ilianza na hatua moja… πŸ‘£Leo ndio mwisho wa kusubiri. kesho wanaachia hii Ngoma  on the mixxHATUA – Official Video...
12/03/2026

Safari ilianza na hatua moja… πŸ‘£
Leo ndio mwisho wa kusubiri.

kesho wanaachia hii Ngoma
on the mixx

HATUA – Official Video
Inaachiwa rasmi KESHO. πŸ”₯

Je, uko tayari kushuhudia safari hii? πŸ‘£

AfricanGospel StayTuned MusicRelease GospelVibes IBPROStudioz

08/03/2026

πŸ’°πŸ’° WELCOME βœ… Instrumental nitatoa inbox ukiwa unahitaji kuipata moja kwa moja.

Message PRO.TONNIE # # # JIJI on WhatsApp. https://wa.me/255654843250

07/03/2026

Nyimbo za mibaraka hapa baada ya hubiri

06/03/2026

THROW BACK TIME
March 2021 and
At
Singing Yu mwema song......

We were blessings a lot...

04/03/2026

SEMFINAL KIVUMBI NA JASHO

04/03/2026

Mara ya mwisho ulikuwa wapi!

Mimi nilikuwa Nakula ugali na Sukari k**a

02/03/2026

Shujaa uliimba sahihi kabisa MUNGU awatie nguvu na wengine wote...
Kaka endelea kutunga nyimbo zenue faraja na kufanya kazi ya MUNGU siku yesu atakapo Rudi Tena atawafuta machizi na mtaonana na mpendwa wenu.....

02/03/2026

Harakati za Man of The Match

Goalkeeper Bora kuwahikutokea kunako Ligi kuu ya Tanzania Bara.... Asante sana na GSM Kwa sajili hii Bora kwenye team yetu ya

Mwenye wivu akaroge mechi irudiwe k**a vipi.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Address

Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Directortonnie posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share