Yesu ni Jibu

Yesu ni Jibu Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Yesu ni Jibu, Church of God, Dar es Salaam.

25/12/2023

NAWAOMBEA WANAWAKE AMBAO HAWAJAOLEWA MUNGU AWAPE WANAUME WENYE DINI WANAOJUA KUBEMBELEZA🙏💯

Niandikie ujumbe messenger majina yako mahali unaishi namba yako ya cm na mahitaji yako nikuombee 🙏

Maombi na ushauri 0716 822 126 WHATSAP

JE UMEPOTEZA NAFASI YAKO KWENYE NDOA, MAHUSIANO, KAZI, NA UCHUMI? FANYA HIVI✍By Mtumishi Fahim 💚Whatsapp 0716 822126💥   ...
18/06/2023

JE UMEPOTEZA NAFASI YAKO KWENYE NDOA, MAHUSIANO, KAZI, NA UCHUMI? FANYA HIVI

✍By Mtumishi Fahim 💚Whatsapp 0716 822126💥

NAFASI NI NINI🤔?

Nafasi: ni mahali au eneo ambalo Mungu humpa au kumweka mtu, ili aweze kumfanikisha kwa mafanikio ya kiroho na kimwili,

Pia ni mahali ambapo Mungu akitaka kukutana na mtu anakuja hapo, ili kumbariki na kumwongeza, MWANZO 2: 15-16.

Nafasi yako ndiyo imebeba, (HESHIMA, MUME,/MKE, NDOA, AFYA, KAZI, UCHUMI, AMANI, NA MAFANIKIO.)

Kila nafasi Mungu anayo kupa, ina miiko yake. MWANZO 2: 17. Jitahidi ujue miiko ya nafasi yako na uilinde maana ndiyo imeshikilia hatima yako, k**a hujui miiko ya nafasi yako mwombe Mungu akujulishe na akuwezeshe kuilinda 🙏

Kazi ya shetani nikuhakikisha tunavunja miiko ya nafasi zetu ambazo Mungu ametupa k**a zawadi ya kuishi maisha bora yasiyo na mateso hapa duniani🌏

Mtu anapokuwa nje ya nafasi ni wazi kuwa anapishana na mambo mengi sana ambayo Mungu anakuwa ameyakusudia katika wakati husika. Hakuna kilicho bora kutoka kwa Mungu kinachoweza kuendelea katika maisha ya mwanadamu akiwa nje ya nafasi.

Kila nafasi ina marupurupu yake. Kinachoamua kuendelea kupokea au kusitishiwa marupurupu ni nafasi. Kiongozi yeyote anapoondolewa kwenye nafasi au anapopoteza nafasi aliyokuwa nayo moja kwa moja viambata vya ile nafasi huondolewa kwake.

Haviondolewi kwa sababu hapendwi, la hasha! Ila ni kwa sababu hana vigezo tena. Kupokea hizo posho, nafasi ndio kigezo kikuu cha kufanikishwa na Mungu.

Ukiona mambo hayaendi kabla ya yote jiulize je uko kwenye nafasi ambayo Mungu anataka ukae au kuna mwiko umeuvunja, na umekutoa inje ya nafasi Mungu aliyo kuwa amekuweka?

Mungu anaweza kuwa anakupenda vizuri tu lakini ili akutane na wewe na kuthibitisha upendo wake kwako ni lazima akukute kwenye nafasi yako kwanza.

Inawezekanaje udai mshahara wa meneja wakati wewe ni mwalimu? Mshahara huamriwa na nafasi Uliyo nayo Kwa hiyo.
Ukiutaka mshahara wa meneja, basi unatafuta kwanza nafasi ya umeneja, mshahara utakufuata wenyewe. Sijui tunaelewana hapo?

Baada ya Adamu na Eva kukosea katika ulimwengu wa roho walipoteza nafasi yao.

✍️ Mwanzo 3:9, “Bwana Mungu akamwita Adamu, akamwambia, Uko wapi?”

Mungu anapouliza Adamu UKO WAPI haimaanishi alikuwa hajui walipojificha. Isipokuwa hakumuona Adamu kwenye nafasi aliyokuwa amemuweka. Ni nafasi ambayo Mungu alikuwa anakutana nao kila alipowatembelea.

Mungu alipowatembelea hakwenda mahali walipojificha bali mahali alipokuwa amewaweka.

Hawakuwa nje ya Edeni, ila nje ya nafasi waliyowekwa na Mungu wakiwa ndani ya Edeni.

Kwa hiyo unaweza kuwepo Kanisani na unahudhuria kila ibada lakini upo nje ya nafasi aliyo kuweka Mungu.

Malanyingi maamzi ya mihemko, visasi au kukulupuka ndiyo yanatuweka inje ya nafasi Mungu alizo tuweka.

Inawezekana Mungu amekupa nafasi ya Mume au mke sahihi, akakosea k**a mwanadamu ukaamua maamzi ya kumlipiza usalirit au kumwacha, tayari umetoka kwenye nafasi yako na huwezi kupokea tena baraka ambazo Mungu alikuwa akiwabariki kwenye ndoa au hayo mahusiano.

Watu wengi, wako kwenye (ndoa kazi biashara mahusiano) na nk. Lakini hawako kwenye nafasi ambazo Mungu amewaweka. Wengi tumeamua maamzi kwa fulsa, vigezo, uzuri, kushawishiwa, MWANZO 3: 6.

Na tume kataa vile Mungu alivyo tupa kwa sababu ya makosa au mapungufu fulani tukajikuta tumejiingiza kwenye maumivu zaidi na kupoteza nafasi zetu mbele za Mungu. MWANZO 3: 7.

Kuna tofauti ya kuitwa jina la nafasi na kukaa kwenye nafasi. Kuitwa jina la nafasi haina tofauti na kuitwa jina la cheo. Sio kila mwenye cheo basi anakitendea haki cheo husika. Umewahi kusikia watu wanasema pengo lake halitazibika? Au bado hajapatikana mtu anayeweza kuvaa viatu vyake? Wanachojaribu kuzungumza ni suala la kukaa kwenye nafasi ipasavyo...

HABARI NJEMA💥

Kila nafasi uliyo ipoteza inaweza kurejeshewa kwa toba na kumwomba Mungu kupitia Yesu Kristo, ambae yeye ni njia na upatanisho kati ya mwanadamu na Mungu 🙏

MAOMBI YA UREJESHO WA NAFSI

Mungu baba, naomba uni rehem na kunisamehe makosa yangu niliyo kukosea kwa kujua na kutokujua, nilikaidi njia zako, nikapoteza nafasi yangu uliyo nipa ili kuishi maisha ya sahihi uliyo nipangia wewe, naomba unisamehe na kunirejesha kwenye nafasi yangu kupitia mwanao Yesu Kristo 🙏

Naomba; urejesho wa ndoa yangu iliyo potea, kwa jina la Yesu 🙏

Naomba; urejesho wa afya yangu iliyo potea, kwa jina la Yesu 🙏

Naomba; unirejeshee upendo ulio potea kwa Mume wangu au Mke wangu, kwa jina la Yesu Kristo 🙏

Naomba; urejesho wa pesa na uchumi wangu ulio potea na kuibiwa na shetani kwa sababu ya mimi kutoka inje ya nafasi na kusudi lako, kwa jina la Yesu 🙏

Naomba; unirejeshee nyota na kibali cha maisha yangu nilichopoteza kwenye mambo mbali mbali, kwa jina la Yesu 🙏

Naomba; urejesho wa ibada yako ndani yangu nipate kibali cha kukuabudu na kukubalika mbele zako, unitakase kwa damu ya Yesu iondoe kila kinachoweza kuzuia mahusiano yangu mimi na wewe Mungu kwa jina la Yesu 🙏

NIMEOMBA YOTE KUPITIA MWAONAO YESU KRISTO, AMINA🙏
Mungu akubariki 🙌

Kwa maombi na ushauri nitumie ujumbe 💚Whatsapp 0716 822126 .

✍by Mtumishi Fahim 0716 822126 💥

30/05/2023

MAOMBI KWA MWANAMKE ANAETAKA MUME NA AMANI YA NDOA❤️

By Mtumishi Fahim Whatsapp 0716822126💥

📍 Bwana Yesu, nakuomba unikutanishe na mume sahihi ulie muandaa kwa ajili yangu ili ufute aibu yangu ya kuto kuolewa kwa jina la Yesu.🙏

📍 Achilia nguvu zako ziniweke huru mbali na kila nguvu za giza zinazo zuia mimi nisiolewe kwa jina la Yesu 🙏

📍 Biblia inasema, sivema mtu huyu aishi pekeyake, namimi nimechoka kuishi pekeyangu Mungu, naomba unikutanishe na yule uliye muuandaa kwa ajili yangu ili tuishi pamoja baba naomba katika jina la Yesu 🙏

📍 Kulingana na neno la Mungu, kwenye Mathayo 7: 7💥 ulisema ombeni nanyi mtapewa tena ukasema ombeni lolote kwa jina langu nitawapa, nami naomba unipe mume wangu baba na mimi niolewe na kuitwa mama na mke, kwa jina la Yesu nimeomba🙏

📍 Ni matarajio yangu kwa Mungu wangu. Kupokea mume sahihi na ndoa bora yenye furaha na Amani, kutoka kwa Mungu wangu kwa jina la Yesu 🙏

📍 Moto wa Roho Mtakatifu uka unguze kila madhabahu za giza zilizo mshikilia mume wangu popote alipo zika mwachie kwa jina la Yesu🙏

📍 Kila nguvu za kichawi na mizimu inayonipiga vita nisiolewe navunja kwenye maisha yangu kwa jina la Yesu🙏

📍 Baba, kuna uovu kila mahali, hasa kutoka kwa maadui wa ndoa yangu. Lakini leo, ninatiisha nguvu zao chini ya uweza wa Mungu kwa jina la Yesu 🙏

📍 Kila mwanaume au mwanamke mwovu anaeshikilia nyota yangu ya ndoa nampiga kwa jina la Yesu🙌

📍 Nakataa kila shauri la maadui walilo niamlia kwa uchawi na uganga kuwa sitaolewa nina futa hayo maneno kwa damu ya Yesu🙌

📍 Nafuta kila maneno mabaya niliyo tamkiwa na watu wabaya na mimi mwenyewe kwa kuto kujua kuwa sita olewa, nafuta kwa damu ya Yesu 🙌

📍 Ee Bwana, nipiganie na uwaaibishe wale wote ambao hawataki niolewe, na mimi k**a wanawake wengine kwa jina la Yesu Kristo 🙏

📍 Biblia inasema, utayakamilisha yote yanayonihusu. Baba yangu, nisaidie, nisiachike kwenye ndoa yangu kwa jina la Yesu 🙌

MAOMBI NA USHAURI WHATSAPP 0716822126

SADAKA
VODA MPESA : 0758 601212
TIGO PESA : 0716 822126
JINA FAHIM MAKAME

By Mtumishi Fahim Whatsapp 0716822126💥

USIKUBALI KUUA NDOTO ZAKO KWA SABABU YA KUKOSEA AU KUKWAMISHWA😓📌 K**a bado upo hai, unaweza kuwa chochote wakati wowote....
24/05/2023

USIKUBALI KUUA NDOTO ZAKO KWA SABABU YA KUKOSEA AU KUKWAMISHWA😓

📌 K**a bado upo hai, unaweza kuwa chochote wakati wowote.

✅ INUKA TENA, JARIBU TENA, SUKUMA TENA, OMBA TENA, JIELEZE TENA, ANZA TENA.

Kuanguka siyo mwisho wa safari inuka uendee ushindi wako,

Hata Yesu alianguka na msalaba lakini akainuka tena mpaka akashinda 💪

Maneno husemwa ili kukupunguzia mwendo, wanao kulaan kunasiku watakubariki

Shetani hukuonyesha makosa ili ukate tamaa ushindwe kusonga mbele maana anajua mbele yako kuna ushindi.

Kukosea hakumanishi wewe hufai laa! Inuka mtazame Mungu mwisho utashinda.

📌 Mungu akiweka shauku fulani ndani yako, hakuna kitu chochote nje yako kinachoweza kuua hiyo shauku isipokuwa WEWE mwenyewe ukubali shauku ife. Kwa kukata tamaa

Kumbuka: “Yote Yanawezekana Kwake Aaminie” (Marko 9:23).

K**a unapitia changamoto ya kushindwa jambo fulani kila wakati njoo niombe na wewe ufunguliwe kwa jina la Yesu 🙌

Maombi na ushauri Whatsapp 0716822126🙏

📌By Mtumishi Fahim +255716822126 Whatsapp

ITAMBUE ROHO YA CHUMA ULETE KWENYE PESA ZAKODALILI 5 ZA CHUMA ULETE1 Unapo shika pesa tu lazima kutokee tatizo au ugonjw...
16/05/2023

ITAMBUE ROHO YA CHUMA ULETE KWENYE PESA ZAKO

DALILI 5 ZA CHUMA ULETE

1 Unapo shika pesa tu lazima kutokee tatizo au ugonjwa wa mtu anae kuhusu na unao kulazim utoe pesa

2. Unatumia matumizi kidogo lakini pesa unaona imekwenda nyingi, tofauti na ulivyo tumia

3. Kila issue ya pesa wewe unayo ingia lazima utapata kidogo au pungufu ya ulicho ahidiwa kifupi utazurumiwa kwa sehem.

4. Kila kazi yoyote ya pesa ukisha husishwa lazima ilete ugum wa kupatikana hiyo pesa au Iharibike kabisa.

5. Unaweza kufika sehem unayo ambiwa hapa kuna pesa baada ya kufika wewe unaambiwa kabla hujaja pesa ilikuwa nyingi sana umechelewa kidogo tu mambo yamebadika

Ukiona dalili hizi kwenye maisha yako ujue unahitaji maombi ya ukombozi, siyo hali ya kawaida kuna roho za chuma ulete zina tembea na maisha yako bila wewe kujua.

Inauma sana mtu Unatamani kuwasaidia wazazi ,
ndugu , marafiki lakini ukijitazama wewe mwenyewe hauna chochote na unahitaji msaada pia ,

Yawezekana mshahara wako ni mdogo na hautoshelezi au haujapata kazi kabisa.

K**a unapitia HALI hii usijisikie unyonge , chukua hatua ya kufanya agano na Mungu la uchumi wako na maisha yako kwa njia ya sadaka,
na Mungu ata simama na maisha yako na atampiga yule alae kwenye maisha yako.
📕MALAKI 3: 11💥

Kwa maombi na ushauri nitumie ujumbe au nipigie Whatsapp 0716822126🙏

By Mtumishi Fahim💥 0716822126 💚Whatsapp

JE UNAHITAJI KUPATA MTU SAHIHI KWA AJILI YAKO, AU UNATAMANI KUMBADILISHA ULIYENAYE AWE MTU SAHIHI KWA AJILI YAKO?By Mtum...
01/05/2023

JE UNAHITAJI KUPATA MTU SAHIHI KWA AJILI YAKO, AU UNATAMANI KUMBADILISHA ULIYENAYE AWE MTU SAHIHI KWA AJILI YAKO?

By Mtumishi Fahim Whatsapp 0716822126 💥

Tunapokuja kwenye eneo la Mahusiano, watu wengi wanatamani sana kupata watu sahihi kwa ajili yao.

Hata walio kwenye Ndoa wanatamani wale walionao wangekuwa vile wanahitaji kuwa, wengine wamejaribu kuwabadilisha lakini juhudi zimegonga mwamba.😪

Leo nimekuja na kitu cha kipekee sana ambacho kitakusaidia kuwa na mahusiano ya viwango unavyovitaka.🤝

Hicho kitu mimi ninakiita MSINGI WA MAHUSIANO❤️. Mahusiano yako yakijengwa kwenye hii kitu kuna uhakika mkubwa wa kupata matokeo uliyokuwa unayatamani tangu zamani.

MSINGI NI NINI ?

Msingi ni chanzo cha kitu au jambo fulani,

Watu wengi huwa wanatamani kuwa na mambo mazuri na matokeo makubwa kwa kila jambo wanalo lianzisha,

Zaidi kuna matarajio waliyo nayo wanapoanzisha jambo
pia wanategemea jambo hilo liwe na mwisho mzuri,
lakini wamejikuta haiwi hivo kabisa

Jambo hilo linapelekea kila mtu ajiulize alikosea wapi!
au mtu alie nae siyo sahihi,
au alikosea kuchagua huyo mume/mke alie nae ?
au alikosea kuchagua hiyo
kazi, au hiyo biashara, ?

Kweli inawezekana mwanzo wako au msingi wa mahusiano yako au ndoa yako unamakosa🤔

Lakini pia inawezekana hukukukosea kabisa,
lakini Audui Shetani
Wachawi Mizimu
Majini, Wenye wivu
Wamevamia mahusiano yako ndoa yako kazi yako uchumi wako maisha yako. Ili kuhakikisha hupati matokeo unayo yatarajia kwenye hilo jambo🤔

📕MATHAYO 13: 24 = 28💥
Ukisoma hapa utagundua kazi ya adui au shetani nikufatilia chanzo, cha jambo lolote jema ili kuharibu lisilete matokeo sahihi yanayo tarajiwa katika jambo hilo.

Zaidi shetani anavizia kila misingi inayoanza bila kumshirikisha Mungu
maana Mungu pekee ndiyo anaweza kumzuia
siyo maarifa yako au usahihi wako kwenye hilo jambo

Kuna makosa mengi kwenye kuanzisha mambo kwa kutegemea akili zako mwenyewe au uzoefu ulio nao kwenye hilo jambo au mahusiano❤️

Ndiyo maana unaona matokeo kinyume na matarajio yako kwenye hayo mahusiano
na sehem zingine za maisha yako,
Hayo ni matokeo ya misingi iki haribika au ikiharibiwa.

📕ZABURI 11: 3💥
Ukisoma hili neno utagundua kunawakati hata ukiwa na haki au sifa za kuwa na ndoa nzuri au mahusiano sahihi, bado unakosa namna unavyoweza kufanya ili kumponya mumeo au mkeo.

Inawezekana msingi wa ndoa yako ulikosewa au ulivamiwa na adui na sasa unao mambo kinyume na matarajio yako kwenye hiyo
NDOA, KAZI,
BIASHARA, AFYA
ELIMU au MAHUSIANO YAKO

📕MATHAYO 11: 28=29💥

USIOGOPE HABARI NJEMA NIKWAMBA🙏
Yesu alisema njoni kwangu ninyi nyote msumbukao na kulemewa na mizigo nami nitawapumzisha

JE NI MZIGO GANI UMEKULEMEA? 😭

Pia anaweza kurejesha au kutengeneza kila kitu kilicho haribika kwenye maisha yako 💯
Iwe kwenye ndoa afya kazi uchumi mahusiano elimu madeni kesi au kukosa watoto yote Yesu anaeweza,

Unachopaswa wewe nikusema Yesu nakukabidhi,
Ndoa yangu, Mume wangu
Mke wangu, Kazi yangu,
Uchumi wangu, Afya yangu, Madeni yangu, Kesi yangu.
Uniokoe na mateso haya, wewe ni Baba yangu nisaidie Yesu🙏MUNGU ni mwaminifu atakutoa hapo kwa jina la Yesu 🙌

MUNGU AKUBARIKI SANA NAKUTAKIA MAFANIKIO MEMA KWENYE MAHUSIANO YAKO NA NDOA YAKO KWA JINA LA YESU 🙌

Maombi na Ushauri Whatsapp💚 +255716822126👆

✍️By Mtumishi Fahim 0716822126 💥

12/04/2023

IJUE MIKONO YAKO.💯

Mikono Ina siri Kubwa kwenye Ulimwengu wa Roho, Maandiko yanasema;

Zaburi 144: 1
Na ahimidiwe BWANA, mwamba wangu, Anifundishaye mikono yangu vita, Vidole vyangu kupigana.

Hii Ina Maanisha Mikono yako ni Silaha yaweza kupigana Vita kwaajili ya Maisha Yako. Vita Inaweza kuinuka dhidi ya Mikono yako bila wewe Kujua, Lakini Yakupasa kujua Adui anaiona Mikono yako k**a Silaha ya Vita.

Kumbukumbu 28:20:
BWANA atakuletea laana na mashaka, na kukemewa, katika yote utakayotia MKONO WAKO KUYAFANYA, hata uangamie na kupotea kwa upesi; kwa ule uovu wa matendo yako, uliyoniacha kwayo.

Hii Ina maana kwamba MIKONO Yako Inaweza kuwa chini ya Laana na uharibifu, Ivyo Kuna Umuhimu wa Kukomboa Mikono. Kwakua Mikono ni Lango kwenye ulimwengu wa Roho, Na Lango hili hutumika kuingiza Baraka za Mungu kwenye Maisha ya Watu wake.

Kumbukumbu 15:10b;
Kwa kuwa atakubarikia BWANA, Mungu wako, kwa neno hili katika kazi yako yote, na katika kila utakalotia mkono wako.

K**a Unafanya kazi kubwa Lakini huoni mafanikio au kila unalolishika halifanikiwi ni dalili tosha Mikono yako Imefungwa na Unahitaji Kufunguliwa,

Hivyo unaweza kuifungua mikono yako kwa kuomba na kuachilia sadaka yako ili kufungua baraka na kutakasa mikono yako kutoka kwenye laana ya kuto kuzalisha kwenye kazi yako

Njoo niombe na wewe mpendwa tuifungue mikono yako ikazalishe uone mafanikio ya kazi ya mikono yako kwa jina la Yesu 🙌

✍By Mtumishi Fahim Whatsapp 0716822126

NAMBA YA KUTUMA SADAKA YAKO NI M-PESA 0758601212 JINA FAHIM MAKAME, NA MUNGU AKUBARIKI 🙌

JINSI BABA MDOGO NA DADA WA KAZI WALIVYO WAHARIBU WATOTO WANGU KWA KUWAFUNDISHA NGONO SEX💘😭.....*Najuta kuwatoa Muhanga ...
03/04/2023

JINSI BABA MDOGO NA DADA WA KAZI WALIVYO WAHARIBU WATOTO WANGU KWA KUWAFUNDISHA NGONO SEX💘😭.....

*Najuta kuwatoa Muhanga wototo wangu kwa ajili ya kazi yangu.😭*

Mtumishi Fahim naomba uniombee Mungu anisamehe 🙏

▪️Niliolewa nikiwa na miaka 24.Mimi na mume wangu wote tulikuwa daktari wa binadamu.Wote tulizingatia kazi yetu na kwakweli tulifanikiwa katika yote tuliyofanya lakini sio katika malezi ya watoto wetu, damu na nyama yetu.

▪️Tulikuwa na watoto wawili,Kunle wa kwanza na Tola wa pili.Kunle alikuwa ni mdadisi na muuliza maswali kwa kila kitu hadi alikuwa na jina la utani "mchunguzi".Baba yake na mimi tulichoka maswali yake hata tukaanza kufunga mlango wa chumbani kwetu mara tu tukitoka kazini.Jinsi gani natamani ningejua vema,jinsi gani natamani ngesoma 'post' zako kwa wakati huo.

▪️Wakati Kunle ana miaka minne,alikuwa ana akili sana zaidi ya wenzake na alikuwa mchangamfu sana,yaani huwezi kupoa ukiwa naye.Alimpenda dada yake sana na tulijivunia yeye mno.Baba yake na mimi tulikuwa na uhakika kuwa Kunle pia atakuja kuwa daktari wa binadamu k**a sisi.

▪️Tuliwapenda watoto wetu sana na tulikuwa na mipango ya kuwapa kilicho bora zaidi kwenye kila kitu ingawa tulikuwa 'busy' sana na muda mwingi hatukuwa nyumbani kwa sababu ya asili ya kazi yetu.Hili lilitufanya tumuajiri dada wa kazi na pia tukawa tukaishi na mmoja wa mashemeji zangu.

▪️Siku moja nilirudi toka kazini nikiwa nimechoka sana na mwanangu Kunle akanikimbilia na kuniuliza.

"Kwanini kila siku unafunga mlango wenu wakati wowote wewe na baba mkiwa chumbani?"

"Unapenda kumbusu baba yangu?"

"Kwanini usinibusu na mimi pia?"

▪️Nilikasirishwa naye ,nilimpiga sana na kesho yake nikamripoti kwa mwalimu wake.Tuliamini baadhi ya rafiki zake walikuwa wanajua mambo ya wakubwa na labda tayari wameangalia filamu mbaya.Mwisho wa muhula,tuliwatoa Kunle na Tola shuleni hapo.

▪️Hatukuwaruhusu yeye na dada yake kuangalia televisheni nyumbani na pia tukawakataza kuwatembelea rafiki zao na majirani.Tulifanya yote hayo kutunza ufahamu wa watoto wetu lakini kumbe hatukujua kilichokuwa kinafanyika chini ya dari letu.

▪️Miaka miwili baadaye, kuna siku nlienda nyumbani mapema kuliko kawaida yangu kwa ajili ya kuchukua document flani.Niligundua kuwa mlango haujafungwa na palikuwa kimya sana.Nilinyata ili kuwafanyia wanangu 'suprise' ya utani kidogo ,ndipo niliwakuta baba yao mdogo (yule shemeji yangu) na dada wa kazi wakiwa sebleni na wanangu wakiangalia video ya ngono.Nachukia sana kuikumbuka ile siku.Hawakuwa tu wakiangalia video ya ngono bali pia wote walikuwa uchi, wakifuatisha kile walichokuwa wakiangalia.

▪️Niliwafukuza nyumbani kwangu dada wa kazi na shemeji yangu lakini tayari mbegu ilikuwa imepandwa ndani ya wanangu.Wakati nikilia ,mwanangu Kunle wa miaka 6 alinifata na kusema, Mama kwanini unalia, Anko na anti walikuwa tu wanatufundisha jinsi ya kuwa baba na mama wazuri.Nilipatwa na mshtuko na sikuwa najua kabisa kuwa hili jambo lilikuwa limeendelea kwa miaka miwili na wanangu walikuwa wameshajazwa kichwani upotofu huo wakiwa bado na umri mdogo.

▪️Tulikuwa bado hatujagundua matokeo ya jambo hilo katika maisha yao mpaka tulipowafuma wote wawili wakifanya mapenzi mara kadhaa,yaani hazihesabiki.Tola na Kunle hawakuendelea tu na hilo lakini wakawa wameshashibana mioyo na kufikiriana sana.

▪️Baba yao na mimi tulitunza hii k**a 'siri yetu ndogo' maana tulifahamika sana kwenye kazi yetu.Kila tulipowakuta wakifanya tendo hilo,tulijaribu kuwasahihisha kwa upendo huku machozi yakitutiririka kwenye nyuso zetu.Walituahidi kwamba watabadilika.Tulikuwa tumetoa mimba mbili kwa binti yetu Tola kwakuwa hatukuweza kustahimili matokeo haramu ya mahusiano ya kimapenzi kati ya ndugu.

▪️Siku moja mbaya zaidi,Tola alitufata na kutuambia ni ana ujauzito wa Kunle tena.Baba yake alisisitiza mimba itolewe k**a kawaida, lakini safari hii tulimpoteza binti yetu wa miaka 12 wakati wa utoaji mimba hiyo.Kunle alipojua Tola amefariki hakuzungumza tena na baba yake wala mimi .Akaondoka nyumbani.

▪️Miezi mitatu baada ya Kunle kuondoka nyumbani,tulipokea simu kutoka hospitali ikituambia mtoto wetu alikuwa na hali mbaya na alikuwa ICU.Tulipofika,Kunle alikuwa amelala hajitambui.Alikuwa amekunywa sumu.

▪️Hatimaye,alirudiwa na fahamu na tukafurahi sana, alitutazama tukiwa tumeketi pembeni ya kitanda na akatuambia jinsi gani anatuchukia sana kwa kumuua dada yake.Tulimbembeleza na kumuomba msamaha.Kesho yake tulipoenda hospitali tulikuta mwili wake,alikuwa amefariki kwa kukosa hewa baada ya yeye mwenyewe kutoa mpira wa oksijeni uliokuwa unamsaidia kupumua.

▪️Sasa nina miaka 74 na ni mjane.Mume wangu hakuweza kujisamehe, alifariki kutokana na msongo mawazo miaka mitatu iliyopita.Ninajutia miaka yangu ya ujinga kila siku,Natamani ningeanza upya.

▪️Sijawahi kuiambia familia yangu siri hii hadi hii leo. Nimeona nikuambie Mtumishi Fahim niombee toba Mungu anisamehe😢 .Nimechoka kubeba mzigo huu moyoni bila kumwambia mtu.

▪️Ninafurahi sababu hatimaye nimepata ujasiri wa kukwambia mtumishi wa Mungu niombee Mungu anisaidie maisha yangu ni tatizo kubwa..😭

MWISHO:😢
HII NI STORY ILIYO MTOKEA MAMA MMOJA KWENYE FAMILIA YAKE, AMENIAMBIA ILI NIOMBE NAE NILIMUOMBA K**A NAWEZA KUSHIRIKISHA WATU WENGINE HUU UJUMBE ALIPO NIRUHUSU NDIYO NIMEONA NIKUWEKEE HAPA UJIFUNZE KUPITIA HILI, FAMILIA NYINGI ZINAPITIA HAPA.😭

USHAURI💥
MPENDWA NIKUSHAURI JAMBO, FAMILIA WATOTO NDOA🤝 HAIJENGWI NA UZOEFU AU SAIKOLOJIA TU MAANA SHETANI HAOGOPI SAIKOLOJIA WALA UZOEFU WAKO, TENGA MUDA WA KUWAFUNDISHA MANENO YA MUNGU NA SHERIA YA MUNGU, MUNGU ASIPO WALINDA WATOTO WAKO WEWE HUWEZI KUWALINDA. MPENDWA LINDA WATOTO WAKO NA NDOA YAKO KWA SADAKA NA MAOMBI🙏

USHAURI💥
SHULE ZIMEFUNGWA UFATILIE MAISHA YA WATOTO WAKO, WATU WA NYUMBANI MWAKO USIWAAMINI KUPITA KIASI, FANYA UCHUNGUZI, TENGA MUDA KUSIKILIZA WATOTO WANACHANGA MOTO NYINGI.

WANATAMKIWA MANENO MABAYA
WAPE NENO LA UPENDO KUTOKA KWAKO NI DAWA.
MWISHO TENGA MUDA WA KUFUNGA
NA KUOMBA NAO🙏
MAADUI HAWATAKI KUONA WATOTO WAKO WAKIWA SALAMA ZAIDI TUNAISHI NA WATU WENYE VISASI NA MALIPIZI BILA KUWAJUA WANAWEZA KUWA HATA NDUGU WA KARIBU, AKIKUSHINDWA WEWE ANAHAMIA KWA WATOTO WAKO
ASANTE.🙏 NA UWE NA SIKU NJEMA

✍By Mtumishi Fahim Whatsapp 0716822126💥

Ukiguswa kusapoti uendeshaji wa huduma hii kwa njia ya sadaka unaweza kutuma kwa M-Pesa 0758601212 jina Fahim Makame 🙏 ubarikiwe sana

Kwa maombi na ushauri nitumie ujumbe 💚Whatsapp 📲0716822126🙏

MAOMBI YA KUREJESHA UPENDO💓 ULIO POTEA WA NDOA💍 NA MAHUSIANO💞                 ✍By Mtumishi Fahim 💥 Tunamtumikia Mungu wa...
25/03/2023

MAOMBI YA KUREJESHA UPENDO💓 ULIO POTEA WA NDOA💍 NA MAHUSIANO💞
✍By Mtumishi Fahim 💥

Tunamtumikia Mungu wa urejesho wa ndoa, haijalishi shetani ameipiga ndoa yako kiasi gani, nataka umwamini Mungu wa urejesho.

Mungu hachelewi, haijalishi machafuko ambayo unaweza kuwa unateseka kwenye ndoa yako sasa hivi, Mungu atairejesha. Labda mumeo alikuacha au anaonyesha tabia au mke amekuacha, mwenzi wako si mwaminifu kukufukuza nje ya ndoa yako.

K**a mwanamke labda mumeo anakunyanyasa kimwili, amekutelekeza wewe na watoto.

Haijalishi ni suala la ndoa yako, nataka ubaki ndani na kumwamini Mungu wa urejesho.

Kumbuka! Urejesho maana yake ni Mungu kukurudishia kile ambacho shetani amekuibia kwa kuzidisha.

Je, shetani ameiba amani kwenye ndoa yako? Tarajia amani katika hali iliyozidishwa. Ibilisi ameiba furaha yako katika ndoa, tarajia furaha nyingi kutoka kwa Bwana. Je, mumeo alikuacha kwa mwanamke mwingine na bado unamuombea na unataka arudi, unapoomba nami maombi haya, kabla ya wiki hii kuisha, tarajia kumuona akirudi kwako kwa jina la Yesu.

Labda hisia zako zilitoweka na huna tena hisia na upendo kwa mpenzi wako, Mungu atarejesha hisia zako na upendo wako pamoja utakuwa wa ajabu. Haijalishi shetani amekuibia nini Mungu atakurudishia mara nyingi.

Usikate tamaa kwa Mungu, shiriki dondoo hizi za maombi kwa moyo wako wote. Ndoo hizi za maombi ya urejesho wa ndoa zitasababisha mbingu kushuka kwa niaba yako, kurudisha ndoa yako iwe na amani.

MAOMBI🙏

1. Ninaamuru kila mvunja nyumba, aliyehusika na machafuko katika ndoa yangu kukiri kwa moto, na ninavunja umoja wao wa kishetani juu ya ndoa yangu leo ​​na ninatangaza kurudisha ndoa yangu kwa jina la Yesu.

2. Ninatawanya mipango yote kati ya mwanamume au mwanamke yeyote wa kipepo dhidi ya mwenzangu, katika jina la Yesu.

3. Ninasababisha mkanganyiko na chuki kubwa kati ya mwenzangu na mwanamume au mwanamke yeyote wa kipepo kwa jina la Yesu.

4. Nitapata kibali na upendo wa mume wangu katika jina la Yesu. Ee Mungu inuka uiokoe ndoa yangu isiharibike kwa jina la Yesu

5. Mpendwa Roho Mtakatifu, msh*taki mwenzi wangu kuhusu dhambi na umrudishie Mungu kwa jina la Yesu.

6. Ninasimama dhidi ya mashindano yoyote ya wanawake wa ajabu au wasichana au kikundi cha wanaume na kuwaamuru ‘waniachilie mimi na ndoa yangu, katika jina la Yesu.

7. Ninasimama dhidi ya shetani wowote wa shetani na kuwaamuru ‘waniachilie mimi na ndoa yangu, katika jina la Yesu.

8. Ninasimama dhidi ya kushindwa kwa kifedha na umaskini na kuwaamuru ‘waniachilie na ndoa yangu, katika jina la Yesu.

9. Ninasimama dhidi ya mume na wake wowote wa kipepo na kuwaamuru ‘waniachilie mimi na ndoa yangu, katika jina la Yesu.

10. Ninasimama dhidi ya alama zozote za kishetani na kuwaamuru ‘waniachilie mimi na ndoa yangu, katika jina la Yesu.

11. Ninasimama dhidi ya uharibifu wowote wa kupinga ndoa na kuwaamuru 'waniachilie na ndoa yangu, katika jina la Yesu.

12. Ninasimama dhidi ya roho yoyote ya woga na kuwaamuru ‘waniachilie mimi na ndoa yangu, katika jina la Yesu.

13. Ninasimama dhidi ya roho yoyote ya yazebeli na kuwaamuru ‘nifungue mimi na ndoa yangu, katika jina la Yesu.

14. Ninasimama dhidi ya roho yoyote ya mababu kutoka upande wa baba au mama yangu na kuwaamuru ‘waniachilie mimi na ndoa yangu, katika jina la Yesu.

15. Ninasimama dhidi ya laana zozote za ndoa na kuwaamuru ‘waniachilie mimi na ndoa yangu, katika jina la Yesu.

16. Ninasimama dhidi ya maagano yoyote ya kupinga ndoa na kuwaamuru ‘waniachilie mimi na ndoa yangu, katika jina la Yesu.

17. Ninasimama dhidi ya roho yoyote ya kutokuelewana na kuwaamuru ‘nifungue mimi na ndoa yangu, katika jina la Yesu.

18. Ninasimama dhidi ya uhusiano wowote usio wa KIMUNGU kwa wazazi na kuwaamuru ‘waniachilie mimi na ndoa yangu, katika jina la Yesu.

19. Baba, naamuru urejesho mara saba katika familia yangu. Ninaamuru urejesho mara saba katika ndoa yangu. Ninaamuru urejesho mara saba katika maisha ya mwenzi wangu kwa jina la Yesu

20. Baba, ninaamuru urejesho wa amani mara saba katika ndoa yangu. Ninaamuru urejesho mara saba wa furaha katika ndoa yangu. Asante Yesu kwa kurejesha yote katika ndoa yangu kwa jina la Yesu.

By Mtumishi Fahim Whatsapp 0716822126🙏

Niandikie ujumbe Messenger majina yako mahali unapoishi namba yako ya cm na mahitaji yako nikuombee upokee muujiza wako kwa jina la Yesu

Maombezi Whatsapp 0716822126💥

ITIA JINA LA YESU KWENYE KILA CHANGAMOTO UNAYO PITIA MUNGU NI MWAMINIFU ATAKUTOA HAPO KWA JINA LA YESU
18/03/2023

ITIA JINA LA YESU KWENYE KILA CHANGAMOTO UNAYO PITIA MUNGU NI MWAMINIFU ATAKUTOA HAPO KWA JINA LA YESU

KUPENDWA NA UNAEMPENDA ❤️Ndoa nyingi na mahusiano mengi yanavunjika siyo kwa sababu watu hawa jui kupenda laa! Wengi wan...
14/03/2023

KUPENDWA NA UNAEMPENDA ❤️

Ndoa nyingi na mahusiano mengi yanavunjika siyo kwa sababu watu hawa jui kupenda laa! Wengi wanupendo wa kweli kwa wale wanao wapenda lakini wao hapendwi k**a wanavyo penda❣😪

Maana kupendwa ni kibali maalum mtu hupewa na Mungu, kinaenda kukaa kwenye moyo wako kinakuwa na nguvu kubwa ya ushawishi ukimpenda mtu kile kibali kinaena na upendo wako ndani ya moyo wa huyo mtu kinamtafasiria upendo wako kwake, hivo anashawishika kukupenda zaidi na kukuamini na kuridhika na wewe asione mwingine zaidi yako hapo ndipo utaona raha ya kupenda.🤝

UPENDO NI NINI ❣

Upendo wa mahusiano ya kimapenzi au uchumba ni k**a nguvu ya mwanga wa tochi 💥 unapo mulika unatakiwa ugonge sehem kisha ukurudie, lakini unapo mulika mwanga ukaenda tu ndiyo unakuta hupati maana ya kuwasha tochi

Moyo ni k**a tochi na upendo ndiyo mwanga💥 wake, unapo penda, moyo unatamani upendo ugonge kwenye moyo mwingine ili urudishe upendo, upendo unapo kurudia ndiyo unaona thamani ya ndoa au mahusiano.

Lakini ukipenda na usipendwe unakuwa k**a mtu alie mulika mwanga angani, maana mwanga haumrudii hivo unakuwa hauna maana kwake. Hivyo hata moyo ukikosa upendo kwa unae mpenda una umia na kupoteza ujasiri wakupenda na unakata tamaa.

KWANINI IMEKUWA NGUMU KUPENDWA❤️ NA UNAE MPENDA💓?

Jibu ni kwamba watu wengi wamepoteza kibali au mvuto wa kupendwa na wanao wapenda kwasababu shetani au wachawi wamewaibia nyota au kibali katika ulimwengu wa roho ili kuharibu hatima za watu katika mahusiano na ndoa💘 ili ukipenda usipendwe ili umizwe moyo uchukie kupenda😭.

Niki biblia kabisa wewe kupendwa na unae mpenda 📕YOHANA 13: 34💥 ukisoma hapo utaona Biblia inasema amri mpya nawapeni pendaneni kwahiyo wewe kupendwa na unae mpenda ni haki yako na Mungu asingesema hivo k**a alijua hilo jambo haliwezekani alisema hivo kwakuwa alijua inawezekana, na kunakitu amekiumba ndani ya moyo wa mtu kinacho sababisha apendwe na anae mpenda💯

Wetu wengi wanalia kwenye mahusiano na ndoa kwa sababu hawapati upendo kamili kutoka kwa wale wanao wapenda🤦‍♀️, unaona k**a kuna nguvu iko moyoni mwako unajaribu kuionyesha kwa hisia na matendo lakini unaona k**a yule unaempenda haelewi ile nguvu ya upendo ulio nao kwake💓

Nikwasababu huna nguvu au kibali moyoni mwako kinachoenda na upendo wako moyoni mwa yule unaempenda kikamtafasiria upendo wako kwake, kisha kikazalisha upendo ndani ya moyo wake na yeye akakulipa upendo 💞 matokeo yake unalipwa maumivu na kusaritiwa😭 na kuchukiwa na yule unae mpenda💘 wakati mwingine ana kuona k**a huna thamani wala maana yoyote kwake.
Mpendwa hakuna mtu ambae hana thamani wala maana yoyote maadam yuko hai

Mungu hawezi kukupa uhai k**a maana yako na thamani yako imeisha hapa duniani, bali umepoteza kibali au nyota ya kupendwa😢 ndiyo maana unateseka Kwenye ndoa na mahusiano, ukipoteza hicho kibali cha kupendwa unaweza kushanga hata vitu vya kawaida k**a biashara pesa mafanikio kazi huvipati, vinakukataa kwakuwa unavipenda lakini vyenyewe havi kupendi. Unatakiwa maombi ya kurejesha kibali chako au nyota yakupendwa💓

Moyo ni k**a sumaku na upendo ni nguvu yake, yule unaempenda anatakiwa awe k**a chuma ukitupa upendo kwake yeye anatupa upendo wa nguvu k**a ya chuma ana tafasiri ile nguvu ya upendo wako kwake hivo moyo unanasa kwa nguvu ya upendo

Yeyote unae mpenda anaweza kukupenda lakini unahitaji nguvu ya Mungu iumbe nguvu ya ushawishi ndani yako ili unapo mpenda mtu, ile nguvu iingee ndani ya moyo wa yule unae mpenda na imshawishi kukupenda zadi k**a unavyo mpenda, yani upendo wako uwe k**a mbegu unapo mpenda mtu uingie kwenye moyo wa huyo mtu unae mpenda na kuzalisha upendo zaidi na ajikute amekupenda wewe k**a unavyo mpenda au zaidi.

K**A UMEPOTEZA KIBALI AU NYOTA YA KUPENDWA, UNAPENDA WEWE HUPENDWI NJOO NIKUOMBEE MUNGU AKUPE AU AKUREJESHEE KIBALI NYOTA💥 YA KUPENDWA NA KILA UNACHO KIPENDA❣
Maombezi Whatsapp📲 0716822126🙏

✍️ by Mtumishi Fahim💥
Whatsapp 0716822126

Mungu akubariki sana

ISAYA 42: 22JUMAPILI HII NI MAOMBI YA KUREJESHA KILA KILICHO POTEA KWENYE MAISHA YAKO💥 👉BIASHARA ILIYO POTEZA WATEJA💥) (...
11/03/2023

ISAYA 42: 22
JUMAPILI HII NI MAOMBI YA KUREJESHA KILA KILICHO POTEA KWENYE MAISHA YAKO💥 👉BIASHARA ILIYO POTEZA WATEJA💥) (NDOA❣ILIYO POTEZA UPENDO💓) (MAHUSIANO YALIYO POTEZA MALENGO🤝) (KUINULIWA KIUCHUMI💸) (KAZI ILIYO POTEA🤦‍♀️) (TUMBO LISILOWEZA KUBEBA MTOTO) Yote yatarejeshwa kwa jina la Yesu🙏

Tuandikie sms inbox 📥 majina yako mahali unapoishi namba yako ya cm na mahitaji yako tukuombee 👏

Address

Dar Es Salaam

Telephone

+255716822126

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Yesu ni Jibu posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Category