27/12/2021
Bwana Yesu asifiwe
Kila lililopangwa na Mungu kwenye maisha yako litakuwa hakuna Binadamu wa kulibadili
Isaya 14:27
[27]Maana BWANA wa majeshi amekusudia, naye ni nani atakayelibatili? Na mkono wake ulionyoshwa, ni nani atakayeugeuza nyuma?