AICT Tabata Vijana

AICT Tabata Vijana We are Religious Youth Organization, Member of Africa Inland Church Tanzania(AICT), Tabata Pastorate.

*Shalom! Shalom! Wapendwa,Napenda kuchukua nafasi hii kukukaribisha kwenye ibada hii nzuri ambayo Bwana ameiandaa kwa aj...
26/06/2025

*Shalom! Shalom! Wapendwa,

Napenda kuchukua nafasi hii kukukaribisha kwenye ibada hii nzuri ambayo Bwana ameiandaa kwa ajili yetu...

Toka January Hadi June, yapo mambo mengi ambayo Bwana amefanya kwenye maisha yetu, kwenye familia zetu, kwenye Taifa na zaidi sana kwenye kanisa...

Njoo Tumsifu Mungu...
Njoo tumshukuru Mungu kwa pamoja...
Njoo tumwabudu Mungu kwa pamoja...

Lakini pia, mkaribishe jirani, ndugu, jamaa na marafiki waje tushiriki pamoja katika ibada hii njema...

Wagonjwa, waliofungwa na nguvu za giza na wenye shida mbalimbali wataonbewa kwa jina la Yesu Kristo, na wote watafunguliwa na kuponywa kabisa...

Kwaya mbalimbali zitakuwepo ajili ya kutuhudumia...

Kesho, Moto utawaka 🔥🔥🔥🔥🔥

Uwe na Maandalizi mema ya Ibada ya Mkesha
*"USIKU WA SHUKRANI"*

🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

26/02/2025

Mtoko wa Vijana.

Ev Jessie masolwa akizunguymzia mtoko wa AICT Tabata Vijana
Aic Tabata Choir
Voa Choir Tz
Yesu ni Bwana

26/02/2025

Mtoko wa Idara ya Vijana beach.

26/02/2025

Mtoko wa Idara ya Vijana.

Panga kuwepo kwenye Retrere hii ya Vijana . Pia panga kuja na Kijana mwenzako.
03/10/2024

Panga kuwepo kwenye Retrere hii ya Vijana . Pia panga kuja na Kijana mwenzako.

Karibu Sana kwenye Ibada ya maombi na  maombezi.
03/10/2024

Karibu Sana kwenye Ibada ya maombi na maombezi.

Karibu Sana Leo ijumaa kwenye  mkesha wa ibada ya kusifu na kuabudu. Panga kufika na kuwepo kulisikia neno la Mungu.
27/09/2024

Karibu Sana Leo ijumaa kwenye mkesha wa ibada ya kusifu na kuabudu. Panga kufika na kuwepo kulisikia neno la Mungu.

Karibu Sana kwenye hitimisho la Idara ya  Vijana naIdara ya Wanawake AICT Tabata.
26/09/2024

Karibu Sana kwenye hitimisho la Idara ya Vijana naIdara ya Wanawake AICT Tabata.

Mithali 8:14Shauri ni langu, na maarifa yaliyo sahihi; Mimi ni ufahamu, mimi nina nguvu. Nakukaribisha Sana siku ya Juma...
26/09/2024

Mithali 8:14
Shauri ni langu, na maarifa yaliyo sahihi;
Mimi ni ufahamu, mimi nina nguvu. Nakukaribisha Sana siku ya Jumamosi kwenye semina ya Urafiki, Uchumba na Ndoa. Karibu upate maarifa ya kiMungu kuhusu Urafiki, Uchumba na Ndoa. Katibu sana mpendwa.

```Uongozi wa idara ya vijana AIC Tabata Kisiwani,  unakualika wewe kijana katika ibaada maalumu ya Urejesho kwa vijana,...
13/08/2024

```Uongozi wa idara ya vijana AIC Tabata Kisiwani, unakualika wewe kijana katika ibaada maalumu ya Urejesho kwa vijana, vipo vitu vingi tumevipoteza, kwa kujua au kutokujua uthamani wa vijana na maendeleo ndani ya kanisa na Taifa.
```
*Tutakuwa na uimbaji kwa Sanaa, neno, Chakula na vinywaji, ushuhuda, na burudani mbalimbali.*

Ni alhamisi ya tarehe *15.08.2024* katika kanisa letu AIC Tabata Kisiwani.

*Nimewaandikia ninyi vijana sababu mnazo nguvu za kumshinda mwovu* , upatapo ujumbe huu, mwalike na jirani yako sasa.

Karibu mpendwa tujumuike pamoja kwenye Mkesha wa Leo wa Kusifu na kuabudi pamoja na maombi na maombezi hapa kanisani AIC...
25/04/2024

Karibu mpendwa tujumuike pamoja kwenye Mkesha wa Leo wa Kusifu na kuabudi pamoja na maombi na maombezi hapa kanisani AIC TABATA. Tamani kuwepo mtu wa Mungu wa thamani. Isaya 57:15

Kesheni Mwombe!🔥🤝
24/11/2023

Kesheni Mwombe!🔥🤝

Address

Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when AICT Tabata Vijana posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share