Daniel Sudi

Daniel Sudi Bwana yesu asifiwe page hii itakuwa chini ya mambo yafuatayo:
1. Mafundisho ya neno la Mungu
2. Matukio na Matangazo ya upambaji,aina za mapambo. Barikiwa

28/11/2021

Namshukuru Mungu kwa nafasi ya kuaminiwa kuhubiri uwanja wa Nyumbani. Nimehubiri nje lakini Mungu amenikumbuka

02/05/2018

Jehovah atukuzwe napenda kuwasalimu katika jina la mwokozi yesu kristo nadhani kila mmoja anatambua kuwa tumeanza mwezi wa tano ambao unatupelekea kufika katikati ya mwaka ndugu yangu hebu fanya tathimini umemfanyia nini jehovah hadi sasa je unastahili kuwepo duniani leo? Biblia inasema kila usio zaa ukatwa je wewe ulistahili kukatwa? Jihoji na ujipe jibu

25/11/2017

Mungu awakumbuke ndugu zangu nyote ambao mnaungana na hii pages hivyo nataka kuwaandalia somo zuri humu ndani bado liko Jikoni

Ukipenda kufanyiwa hichi cha kwenye picha tafadhari wasiliana nasi moja kwa moja kwenye mawaailiano yaliopo kwenye group...
15/09/2017

Ukipenda kufanyiwa hichi cha kwenye picha tafadhari wasiliana nasi moja kwa moja kwenye mawaailiano yaliopo kwenye group page hii

Address

Bwiru

Opening Hours

Monday 18:00 - 20:00
Sunday 20:00 - 12:00

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Daniel Sudi posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share