Mkono wa Bwana Ministry

Mkono wa Bwana Ministry Ukrasa huu ni huduma ya mkono wa Bwana ambayo iko chini ya Mtume Yedadia Lukuba inajihusisha na kutoa huduma za kiroho, kimwili na kijamii.

Maksudi yake ni kuleta Ukombozi, Ustawi na Utukufu kwenye maisha ya binadamu.

Usipange kukosa, uweponi mwa Bwana
08/07/2020

Usipange kukosa, uweponi mwa Bwana

Natamka utaishi kwa jina la Yesu Kristo.
30/05/2020

Natamka utaishi kwa jina la Yesu Kristo.

Yeremia 17:5-8 BHNMwenyezi-Mungu asema hivi: “Alaaniwe mtu anayemtegemea binadamu, mtu ambaye anategemea nguvu za binada...
30/05/2020

Yeremia 17:5-8 BHN

Mwenyezi-Mungu asema hivi: “Alaaniwe mtu anayemtegemea binadamu, mtu ambaye anategemea nguvu za binadamu, mtu ambaye moyo wake umeniacha mimi Mwenyezi-Mungu.

20/05/2020
Neno Mungu alionipa siku ya leo 15/05
15/05/2020

Neno Mungu alionipa siku ya leo 15/05

ZAB. 46:1-3 SUVMungu kwetu sisi ni kimbilio na nguvu, Msaada utakaoonekana tele wakati wa mateso. Kwa hiyo hatutaogopa i...
14/05/2020

ZAB. 46:1-3 SUV
Mungu kwetu sisi ni kimbilio na nguvu, Msaada utakaoonekana tele wakati wa mateso. Kwa hiyo hatutaogopa ijapobadilika nchi, Ijapotetemeka milima moyoni mwa bahari. Maji yake yajapovuma na kuumuka, Ijapopepesuka milima kwa kiburi chake.

JUMAMOSI YA MIUJIZA Yeremia 32:27 Tazama mimi ni Bwana, Mungu wa wote wenye mwili; je! Kuna neno gumu lolote nisiloliwez...
14/05/2020

JUMAMOSI YA MIUJIZA

Yeremia 32:27 Tazama mimi ni Bwana, Mungu wa wote wenye mwili; je! Kuna neno gumu lolote nisiloliweza?

Address

Kinyerezi
Buyuni

Opening Hours

Saturday 16:30 - 17:00
Sunday 09:00 - 17:00

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Mkono wa Bwana Ministry posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Place Of Worship

Send a message to Mkono wa Bwana Ministry:

Share