Calvary Assemblies of God-CAG Bukoba

Calvary Assemblies of God-CAG Bukoba Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Calvary Assemblies of God-CAG Bukoba, Religious organisation, Kashai Halisi, Bukoba.

JIPATIE KITABU CHA KIELECTRONIC  (E-BOOK) BURE,UTAKACHOSOMA KUPITIA SIMU YAKO AU COMPUTER YAKOSOMO: HATI YA KIFOMalengo ...
24/10/2020

JIPATIE KITABU CHA KIELECTRONIC (E-BOOK) BURE,UTAKACHOSOMA KUPITIA SIMU YAKO AU COMPUTER YAKO

SOMO: HATI YA KIFO

Malengo ya somo hili yamegawanyika katika maeneo
mawili;

a. Kutoa elimu namna gani shetani huandaa hati za vifo
kwa watu (maisha yao, ndoa zao biashara zao n.k)

b. Namna gani mtu aliyeandikiwa hati ya kifo anaweza kufunguliwa iwe ni yeye, familia yake au hata
biashara au kazi yake.Hivyo usomapo kitabu hiki usisome k**a hadithi au k**a usomavyo vitabu vingine bali unaposoma uone k**a mtumishi wa Bwana Askofu Lazaro
Sesse anaongea na wewe.

Somo hili Askofu alilifundisha kanisani siku ya jumapili
ya tarehe 18/10/2020

JIPATIE KITABU CHA KIELECTRONIC  (E-BOOK) BURE,UTAKACHOSOMA KUPITIA SIMU YAKO AU COMPUTER YAKOSOMO: MAVAZI YA KISHETANIS...
24/10/2020

JIPATIE KITABU CHA KIELECTRONIC (E-BOOK) BURE,UTAKACHOSOMA KUPITIA SIMU YAKO AU COMPUTER YAKO

SOMO: MAVAZI YA KISHETANI
Somo hili Askofu alilifundisha siku ya jumapili ya tarehe
11/10/2020

Lengo la somo hili:
Lengo la somo hili si kufundisha juu ya mavazi ya kimwili haya ya Dunia hii la hasha bali nikuzungumzia zile nguvu za giza ambazo zinaweza kukuvaa au zimekuvaa katika ulimwengu wa roho na zinatesa maisha yako.

K**a unahitaji tutumie ujumbe whatsapp kwa namba 0687 866577

01/10/2020

Kijana afunguliwa kutoka kwenye mateso ya kuanguka kifafa kwa yaliyodumu kwa miaka tisa (9).

kuishi na mateso kwa maombi na maombezi piga +255 754 643084 au +255 762 042469

maombi hayana umbali

01/10/2020

Baada ya kuteseka na tumbo kwa miaka mitatu (3) hatimae mama huyu afunguliwa baada ya maombezi kutoka kwa mtumishi wa Mungu Askofu Lazaro Sesse.

kuishi na mateso kwa maombi na maombezi piga +255 754 643084 au +255 762 042469

maombi hayana umbali

01/10/2020

Mama afunguliwa kutoka kwenye nguvu za giza zilikuwa zikimkaba shingoni mara tu anapoingia kanisani.

kuishi na mateso kwa maombi na maombezi piga +255 754 643084 au +255 762 042469

maombi hayana umbali

01/10/2020

ni nini?
neema?

16/09/2020
16/09/2020

Hakika hii ya kukosa mtu wa Mungu

KARIBU KATIKA WIKI YA MWISHO YA MKUTANO WA NDANI (SEMINA) YA NENO LA MUNGU INAYOENDELEA HAPA CAG-BUKOBAKanisa la Calvary...
14/09/2020

KARIBU KATIKA WIKI YA MWISHO YA MKUTANO WA NDANI (SEMINA) YA NENO LA MUNGU INAYOENDELEA HAPA CAG-BUKOBA

Kanisa la Calvary Assemblies of God (CAG) chini ya Askofu Lazaro Sesse, lililopo kashai centre nyuma ya ilipokuwepo mashine ya kusaga, tunakukaribisha katika semina ya neno la Mungu ambayo inayoendelea tena wiki hii tarehe 14 hadi tarehe 20/09/2020.

Tuko na mtumishi wa Mungu mchungaji Emmanuel Anthony (Gwayaka) kutoka Mwanza.

Muda: Jumatatu-Ijumaa ni kuanzia saa 10:00 jioni hadi saa 12:00 jioni

Jumapili: Saa 2:30 asubuhi hadi saa 7:00 mchana

Wagonjwa na wenye shida mbalimbali wataombewa na Bwana Yesu atawaponya. Upatapo tangazo hili tafadhari tusaidie kuwaalika na watu wengine.

Njoo ufunguliwe! Njoo upokee muujiza wako; hakika hii si ya kukosa

“…Yeyote ajaye kwangu sitamtupa nje kamwe” (Yohana 6:37)

Kwa mawasiliano zaidi piga/sms/whatsapp 0687 866 577, 0757 591652, 0759 975369

Wiki iliyoisha ilikuwa ni wiki ya baraka sana kwa kuhudumiwa na hawa watumishi wa Mungu aliye hai kutoka Karagwe. Kumbe ...
14/09/2020

Wiki iliyoisha ilikuwa ni wiki ya baraka sana kwa kuhudumiwa na hawa watumishi wa Mungu aliye hai kutoka Karagwe. Kumbe mara nyingi tunakosea kuomba na tunajikuta maombi yetu hayajibiwi k**a yakobo 4:3 inavyosema. Mungu huwa hafanyi kazi ya hasara chochote uombacho kwake Mungu anakitazama k**a uwekazaji wake ndani yako, hivyo chochote uombacho lazima uonyeshe mbele za Mungu namna kitakavyompa utukufu au kwa lugha nyingine kitakavyoleta manufaa katika ufalme wake.

JUMAPILI YA LEOSOMO: USIKWAMIE NJIANINa Mchungaji Kiongozi William Kanyambo kutoka Calvary Assemblies of God (CAG) Kaham...
06/09/2020

JUMAPILI YA LEO
SOMO: USIKWAMIE NJIANI
Na Mchungaji Kiongozi William Kanyambo kutoka Calvary Assemblies of God (CAG) Kahama

Njiani kuna vikwazo ila unapaswa kutambua kuwa vikwazo ni changamoto unazotakiwa kuzivuka.

Efeso 3:20
"Basi atukuzwe yeye awezaye kufanya mambo ya ajabu mno kuliko yote tuyaombayo au tuyawazayo, kwa kadiri ya nguvu itendayo kazi ndani yetu"

Sifa zitakazokusaidia kutoka/kuzivuka hizo changamoto

Isaya 66:1-2
"BWANA asema hivi, Mbingu ni kiti changu cha enzi, na dunia ni mahali pa kuweka miguu yangu; mtanijengea nyumba ya namna gani? Na mahali pangu pa kupumzikia ni mahali gani? Maana mkono wangu ndio uliofanya hivi vyote, vitu hivi vyote vikapata kutokea, asema BWANA; lakini mtu huyu ndiye nitakayemwangalia, MTU ALIYE MNYONGE, MWENYE ROHO ILIYOPONDEKA, ATETEMEKAYE ASIKIAPO NENO LANGU"

Address

Kashai Halisi
Bukoba

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Calvary Assemblies of God-CAG Bukoba posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share